Nimemkopesha pesa, baada ya kunipa penzi kagoma kunilipa

Nimemkopesha pesa, baada ya kunipa penzi kagoma kunilipa

Bora shetani aendelee kuwapitia kila siku maana mmezidi
 
Huyo mwanamke hana akili/mpumbavu kabisa ana mimba halafu anagawa nje hawa ndio wanasababisha vitoto vingine vikizaliwa vinakuja kuwa vishoga
 
Wote wapumbavu hasa huyo mwanaume ni mpumbavu na lofa, pepo gan lilowapitia? Labda pepo LA kikwao
 
Acheni kumsimgizia shetani wakati mlikua na akili zenu timamu!! Akili zenu zinafanana nani alikwambia mwanamke anakopeshwa na mwanaume? Pole na ukome at the same time 😊
 
Hakuna namna endelea kupiga hadi scrap value iwe zero
 
Mtafutie team tena na kizazi watoboe. akome umalaya. Wadada wenzangu huu ni ujinga hivi mnajua hela ya mtu inavyouma? Hilo limwanamke limejilegezaaaa ili kumzulumu? Manina zake mtaftie team njema kama tafu ili ajifungue kabla ya siku
 
Aibu kabisa na wewe hukuona hata aibu kulala nae na hiyo hali yake??? kweli wanawake baadhi wameisha mi hata hainiingii akilin kabisa mtu anazubutuje kwenda kulala na mwanaume mwingine ilihali anajijua ni mjamzito kama siyo kujiuza huko ni nn?????
 
Kwa mke wa mtu tena mjamzito laki sita tu, umempunja sana unatakiwa umwongeze karma milioni 3.4, hivi kabla HUJA-R. I. P na kupata adhabu ya kabri.
 
Inatia uchungu sana....yaani unamsubiri wife kwenye parking, huko juu kuna mtu anakandamiza!!! Halafu akiingia kwenye gari 'hello honey' na kiss juu!
 
Si ajabu mume mtu anajua ishu yote na hiyo ni sehemu ya mpango.
Ukikaa kimya umeliwa, ukimwambia mumewe umejichongea.
 
Mkuu una roho ngumu sana. Kulala na mke wa mtu tena mjamzito, una ujasiri wa ziada. All in all kama kweli ulikua serious na hela yako usingethubutu kulala nae, maana mapenzi na kukopeshana pesa mbalimbali.
 
Back
Top Bottom