ndingi mwana nzeki
Member
- May 18, 2015
- 83
- 95
Hi guys, i hope ur good
Kuna huyu workmate wangu tuko kwa department moja, she is married and 7 month pregnant, tumekua normal friends for so long hapa kazini, tumezoeana sana, na tumekua tukisaidiana mambo mengi, at times tumekua tukiazimana hata chapaa na kurudishiana
Sasa tarehe 7 october aliniomba nimupe pesa tshs 600,000 atarudisha end month salary ikitoka, nikakubali nikampatia
Tarehe 16 october, we went to changombe, temeke for a work related trip, we were just two of plus the driver, driver akatushusha hapo akaenda ili baadae tukimaliza tumupigie simu aje atuchukue
Unfortunatly after the job we booked a room somewhere near Tcc club and accidentally we slept togother, to this date i do not know how we got ouselves into that trap
Later the driver came and picked us up back to our main office
Tarehe 23 october company yetu ilifungwa for general election, wazungu wetu waliogopa inaweza tokea vita kama ya Nairobi 2007, so staff wote tulipewa likizo hadi 3rd of november, but salary walitupatia 23 hiyo hiyo
Hiyo 23rd huyu dada hakuja kwa kazi, mnajua mambo ya pregnancy yanakua na complications here and there
Tuliporudi kwa kazi 3rd akaanza kunisumbua kuhusu hiyo pesa yangu, wakati salary ilishatoka since 23rd october, anasema nitakupatia tu, tarehe tisa ama kumi sikumbuki vizuri, alini text nisiondoke, staff wengine wakiondoka jioni mimi nibaki, nikajua anataka kunipatia pesa yangu siku hiyo.
Unfortunatly, tulipobaki wawili, akasema bado hajafanikiwa nimupe muda wa siku mbili atanipa tu, shetani akatupitia hapo ndani ya office, her husband was waiting for her at the parking yard, wakaondoka pamoja, nikangoja wameenda nikaenda pia
Friday ndio ilikua ahadi ya pesa, lakini hadi jioni tunaondoka job hakunisemesha, nikamupigia simu saa mbili usiku kumuuliza kuhusu pesa, hakupokea akawa anakata tu
Saturday akanipigia simu kwa hasira kali sana mchana akasema kwa nn nilimpigia simu usiku kama hubby wake yuko home!
Nikamjibu i just want my money nothin more
Akajibu na pesa sikulipi pesa iliisha tulipolala mara mbili
Akakata na simu
Guys is this a joke or what?
Kulala nae only two times ndio laki sita?
Na leo asubuhi amefika kazini ameniangalia kwa macho makali sana then akaenda kwa kiti chake
Nashindwa kuelewa kwa nini hataki kunipa pesa zangu, mnaonaje niende nimshitaki kwa boss ama nisubiri mr wake akija kumpick jioni nimwambie?
Pls advise
Kuna huyu workmate wangu tuko kwa department moja, she is married and 7 month pregnant, tumekua normal friends for so long hapa kazini, tumezoeana sana, na tumekua tukisaidiana mambo mengi, at times tumekua tukiazimana hata chapaa na kurudishiana
Sasa tarehe 7 october aliniomba nimupe pesa tshs 600,000 atarudisha end month salary ikitoka, nikakubali nikampatia
Tarehe 16 october, we went to changombe, temeke for a work related trip, we were just two of plus the driver, driver akatushusha hapo akaenda ili baadae tukimaliza tumupigie simu aje atuchukue
Unfortunatly after the job we booked a room somewhere near Tcc club and accidentally we slept togother, to this date i do not know how we got ouselves into that trap
Later the driver came and picked us up back to our main office
Tarehe 23 october company yetu ilifungwa for general election, wazungu wetu waliogopa inaweza tokea vita kama ya Nairobi 2007, so staff wote tulipewa likizo hadi 3rd of november, but salary walitupatia 23 hiyo hiyo
Hiyo 23rd huyu dada hakuja kwa kazi, mnajua mambo ya pregnancy yanakua na complications here and there
Tuliporudi kwa kazi 3rd akaanza kunisumbua kuhusu hiyo pesa yangu, wakati salary ilishatoka since 23rd october, anasema nitakupatia tu, tarehe tisa ama kumi sikumbuki vizuri, alini text nisiondoke, staff wengine wakiondoka jioni mimi nibaki, nikajua anataka kunipatia pesa yangu siku hiyo.
Unfortunatly, tulipobaki wawili, akasema bado hajafanikiwa nimupe muda wa siku mbili atanipa tu, shetani akatupitia hapo ndani ya office, her husband was waiting for her at the parking yard, wakaondoka pamoja, nikangoja wameenda nikaenda pia
Friday ndio ilikua ahadi ya pesa, lakini hadi jioni tunaondoka job hakunisemesha, nikamupigia simu saa mbili usiku kumuuliza kuhusu pesa, hakupokea akawa anakata tu
Saturday akanipigia simu kwa hasira kali sana mchana akasema kwa nn nilimpigia simu usiku kama hubby wake yuko home!
Nikamjibu i just want my money nothin more
Akajibu na pesa sikulipi pesa iliisha tulipolala mara mbili
Akakata na simu
Guys is this a joke or what?
Kulala nae only two times ndio laki sita?
Na leo asubuhi amefika kazini ameniangalia kwa macho makali sana then akaenda kwa kiti chake
Nashindwa kuelewa kwa nini hataki kunipa pesa zangu, mnaonaje niende nimshitaki kwa boss ama nisubiri mr wake akija kumpick jioni nimwambie?
Pls advise