Nimemkopesha pesa, baada ya kunipa penzi kagoma kunilipa

Nimemkopesha pesa, baada ya kunipa penzi kagoma kunilipa

Joined
May 18, 2015
Posts
83
Reaction score
95
Hi guys, i hope ur good

Kuna huyu workmate wangu tuko kwa department moja, she is married and 7 month pregnant, tumekua normal friends for so long hapa kazini, tumezoeana sana, na tumekua tukisaidiana mambo mengi, at times tumekua tukiazimana hata chapaa na kurudishiana

Sasa tarehe 7 october aliniomba nimupe pesa tshs 600,000 atarudisha end month salary ikitoka, nikakubali nikampatia

Tarehe 16 october, we went to changombe, temeke for a work related trip, we were just two of plus the driver, driver akatushusha hapo akaenda ili baadae tukimaliza tumupigie simu aje atuchukue
Unfortunatly after the job we booked a room somewhere near Tcc club and accidentally we slept togother, to this date i do not know how we got ouselves into that trap
Later the driver came and picked us up back to our main office

Tarehe 23 october company yetu ilifungwa for general election, wazungu wetu waliogopa inaweza tokea vita kama ya Nairobi 2007, so staff wote tulipewa likizo hadi 3rd of november, but salary walitupatia 23 hiyo hiyo
Hiyo 23rd huyu dada hakuja kwa kazi, mnajua mambo ya pregnancy yanakua na complications here and there

Tuliporudi kwa kazi 3rd akaanza kunisumbua kuhusu hiyo pesa yangu, wakati salary ilishatoka since 23rd october, anasema nitakupatia tu, tarehe tisa ama kumi sikumbuki vizuri, alini text nisiondoke, staff wengine wakiondoka jioni mimi nibaki, nikajua anataka kunipatia pesa yangu siku hiyo.

Unfortunatly, tulipobaki wawili, akasema bado hajafanikiwa nimupe muda wa siku mbili atanipa tu, shetani akatupitia hapo ndani ya office, her husband was waiting for her at the parking yard, wakaondoka pamoja, nikangoja wameenda nikaenda pia

Friday ndio ilikua ahadi ya pesa, lakini hadi jioni tunaondoka job hakunisemesha, nikamupigia simu saa mbili usiku kumuuliza kuhusu pesa, hakupokea akawa anakata tu
Saturday akanipigia simu kwa hasira kali sana mchana akasema kwa nn nilimpigia simu usiku kama hubby wake yuko home!

Nikamjibu i just want my money nothin more
Akajibu na pesa sikulipi pesa iliisha tulipolala mara mbili
Akakata na simu

Guys is this a joke or what?
Kulala nae only two times ndio laki sita?

Na leo asubuhi amefika kazini ameniangalia kwa macho makali sana then akaenda kwa kiti chake

Nashindwa kuelewa kwa nini hataki kunipa pesa zangu, mnaonaje niende nimshitaki kwa boss ama nisubiri mr wake akija kumpick jioni nimwambie?

Pls advise
 
Ha hah ahaha,, shetan anawapitia nyie tu😂😂😂😂😂
 
Maneno kuyapanga mpaka mada ikamipike,...... acha niseme tu sielewi!
 
Duh mimba ya miezi 7 na bado kuchepeka kwa kwenda mbele, kwa nini hua mnaolewa na wakati ujana bado mnaupenda?
 
Bora tu asikulipe inakuwaje unatembea na muke ya mtu tena akiwa mjamzito? Wewe na huyo mwenzio vichwa vyenu wote vibovu wazinzi msiojitambua mfyuuuuu
 
Umenikumbusha kisa changu kipindi nipo udsm kuna mbwa aliwahi nifanyia huo mchezo ila kirahisi rahisi tu akataka nizima pesa yangu, hatokuja nisahau maisha yake yote mana alinipa pesa kwa ambush moja ya hatari yeye alidhan mi ntaogopa mdai kisa alinizawadia penzi ha ha ha kidume nilikaza pesa akatoa na uadui ukaanza siku ile mpka kesho
 
Nimeunganisha dots,nimeishapata jibu.
naomba msiendelee kuiraani office yetu
kwa kuendekeza uzinzi ofisini
isije ikapata laana ikafungwa wenzenu
tukakosa ajira,bado tunahitaji ajira kwa maendeleo yetu na familia zetu.
asante kwa kunielewa.
 
Endelea kupiga kila unapojisikia, maana ushalipia in advance.
 
Duh mimba ya miezi 7 na bado kuchepeka kwa kwenda mbele, kwa nini hua mnaolewa na wakati ujana bado mnaupenda?

Tena anagongwa(sijui kama ile line ndogo ilisalimika)
huku mume wake yupo
hapo nje anamsubilia, uchafu wa namna gani huo.,..?
yaani nimechefukwa, natamani tena hiyo hela
asikupe kabisa kwani umefanya ufedhuri mkubwa.

Pia enyi wanawake , kwanini mnatutenda namna hiyo waume zenu..??
.
 
Cha mimba kitamu! Ulifaida mazee! Ile kitu inakuwanga tamu, mshupuu akiwa na mimbaa..! Cha lapa
 
aisee mlaaniwe wote wawili..ndo ushalipwa hivo unadhani alikua anakupanulia bure...usituletee habar za uzinzi wenu humu tena
 
Back
Top Bottom