Nimemkopesha pesa, baada ya kunipa penzi kagoma kunilipa

Nimemkopesha pesa, baada ya kunipa penzi kagoma kunilipa

Jamanai kuna watu wana Moyo,ivi huogopi kulala na mke wa mtu tena ana MIMBA? mmmm wewe chiboko...
 
Kwa ulichofanya kwa mama mjamzito hata laki 6 haitoshi.....Nadhani akili ndogo iliongoza kubwa kwa muda. Ushauri mwongezee laki 4 ili hesabu lisome sawa maana madhara makubwa umesababisha kwa kiumbe kilicho tumboni.
 
mķuu ni vizuri umwambie mume wake ili akusaidie ulipwe tsh. 600,000/= zako.
 
yaani bro na huyo demu nyie ni malofa sana mnatiana mimba ina miezi saba babake natamani huyo mme wa mtu angewakuta sijui ingekueje by the way ww jamaa ndo lofa zaidi acha uzimwe iyo ela ata kama ingekua milion bora uzimwe tu na ukijaribu kumwambie mme wake na mm namwambia kuwa umemgegeda mke wake kuku kweli wewe
 
Discount ya nn??..Kashalipwa huyu..

Si analalamika kauziwa kwa bei kubwa? Aongee nae amrudishie hata 100,000 tu ili awe amenunua kwa 500,000. Nadhani itakuwa ni 'kifuta jasho'.
 
mwambie akupe tena na tena ili mkikutwa unambwia bwana ake unamdai atamsaidia kulipa tu
 
Umenikumbusha kisa changu kipindi nipo udsm kuna mbwa aliwahi nifanyia huo mchezo ila kirahisi rahisi tu akataka nizima pesa yangu, hatokuja nisahau maisha yake yote mana alinipa pesa kwa ambush moja ya hatari yeye alidhan mi ntaogopa mdai kisa alinizawadia penzi ha ha ha kidume nilikaza pesa akatoa na uadui ukaanza siku ile mpka kesho
Hapo penye red,nadhani kwa kuwa tukio la kwako lilihusisha mbwa
ni tofauti na la mwenzio.
 
Si analalamika kauziwa kwa bei kubwa? Aongee nae amrudishie hata 100,000 tu ili awe amenunua kwa 500,000. Nadhani itakuwa ni 'kifuta jasho'.

Teh teh...Huyu kwanza anadaiwa..Inabidi aongeza hela..
 
Ulidhan unamla bure? Alikua na plan zake na yeye! Tulia tu bro, wote nyie ni wanzizi...
Hata mim ungenikopesha while unanila nisingekurudishia, tena lak 6 tu? Walaaa hata weaving sinunui
 
Duh mimba ya miezi 7 na bado kuchepeka kwa kwenda mbele, kwa nini hua mnaolewa na wakati ujana bado mnaupenda?
Kwa uswailini hata 8 na nusu kwani ndio nmna ya kupata fedha za kulea kinda, huku mwanamke ndie msimamia shoo... Hapa hadi gari ipo ila mwanamke mcharuko
 
kweli mkuu, unajua kuna watu hawajui kuficha
some potential identities katika nyuzi zao
yaani hapo kwa mtu anayeijua hiyo taasisi tayari
ashamjua fika kwani ukiunganisha dots kiinteligensia
unapata kuijua taasisi husika.

sasa hapo cha kufanya , mkuu@JT2014 print kabisa huu
uzi kisha ubandike japo masaa kadhaa tu kwenye mbao za
matangazo hapo ofisini kwenu , uone kama hujaja kuombwa poo
au nawewe kutaka kupewa mchezo ili uya malize kimya kimya.

Nimeunganisha dots,nimeishapata jibu.
naomba msiendelee kuiraani office yetu
kwa kuendekeza uzinzi ofisini
isije ikapata laana ikafungwa wenzenu
tukakosa ajira,bado tunahitaji ajira kwa maendeleo yetu na familia zetu.
asante kwa kunielewa.
 
Hapo penye red,nadhani kwa kuwa tukio la kwako lilihusisha mbwa
ni tofauti na la mwenzio.

hahahahahahahaahah tukio lake linahusisha umbwa hahahahaha nimecheka sana aise
 
Last edited by a moderator:
Kaka hio pesa sahau kulipwa, mimi suala la kukopesha nishalifuta kichwa i mwangu. Nimekopesha ndugu zangu wa damu watatu hawajanilipa.
Usiwe unakopesha kopesha kenge wewe.
 
Muite ubandue tena gogo.. Chovya kibuyu cha mbele na cha nyuma, then mwambie mume wake kua unamdai mkewe, maana inaonesha unahasira sana na hiyo 600K
 
Hi guys, i hope ur good

Kuna huyu workmate wangu tuko kwa department moja, she is married and 7 month pregnant, tumekua normal friends for so long hapa kazini, tumezoeana sana, na tumekua tukisaidiana mambo mengi, at times tumekua tukiazimana hata chapaa na kurudishiana

Sasa tarehe 7 october aliniomba nimupe pesa tshs 600,000 atarudisha end month salary ikitoka, nikakubali nikampatia

Tarehe 16 october, we went to changombe, temeke for a work related trip, we were just two of plus the driver, driver akatushusha hapo akaenda ili baadae tukimaliza tumupigie simu aje atuchukue
Unfortunatly after the job we booked a room somewhere near Tcc club and accidentally we slept togother, to this date i do not know how we got ouselves into that trap
Later the driver came and picked us up back to our main office

Tarehe 23 october company yetu ilifungwa for general election, wazungu wetu waliogopa inaweza tokea vita kama ya Nairobi 2007, so staff wote tulipewa likizo hadi 3rd of november, but salary walitupatia 23 hiyo hiyo
Hiyo 23rd huyu dada hakuja kwa kazi, mnajua mambo ya pregnancy yanakua na complications here and there

Tuliporudi kwa kazi 3rd akaanza kunisumbua kuhusu hiyo pesa yangu, wakati salary ilishatoka since 23rd october, anasema nitakupatia tu, tarehe tisa ama kumi sikumbuki vizuri, alini text nisiondoke, staff wengine wakiondoka jioni mimi nibaki, nikajua anataka kunipatia pesa yangu siku hiyo.

Unfortunatly, tulipobaki wawili, akasema bado hajafanikiwa nimupe muda wa siku mbili atanipa tu, shetani akatupitia hapo ndani ya office, her husband was waiting for her at the parking yard, wakaondoka pamoja, nikangoja wameenda nikaenda pia

Friday ndio ilikua ahadi ya pesa, lakini hadi jioni tunaondoka job hakunisemesha, nikamupigia simu saa mbili usiku kumuuliza kuhusu pesa, hakupokea akawa anakata tu
Saturday akanipigia simu kwa hasira kali sana mchana akasema kwa nn nilimpigia simu usiku kama hubby wake yuko home!

Nikamjibu i just want my money nothin more
Akajibu na pesa sikulipi pesa iliisha tulipolala mara mbili
Akakata na simu

Guys is this a joke or what?
Kulala nae only two times ndio laki sita?

Na leo asubuhi amefika kazini ameniangalia kwa macho makali sana then akaenda kwa kiti chake

Nashindwa kuelewa kwa nini hataki kunipa pesa zangu, mnaonaje niende nimshitaki kwa boss ama nisubiri mr wake akija kumpick jioni nimwambie?

Pls advise

Hahahhahahahah! Aisee hapo kwenye red nimecheka sana dah! Ulidhani ni demu wa ALFU SALASINI? Yaani umtafune mjamzito, tena mke wa mtu, halafu uone laki 6 nyingi? Tena hapo kakusamehe. Au kama vipi wewe mwambie mumewe akulipe yaishe. Uone kama kweli maharage ni mboga au kiungo cha makande!
 
Kaka hio pesa sahau kulipwa, mimi suala la kukopesha nishalifuta kichwa i mwangu. Nimekopesha ndugu zangu wa damu watatu hawajanilipa.
Usiwe unakopesha kopesha kenge wewe.

mkuu kama nakuona vile..yaaani unamkopesha mtu
unayedhani unamuamini kumbe yeye katulia anaongea tu
na moyo kuwa , ngoja tu ajichanganye aone maumivu yake.
 
Back
Top Bottom