Nimemfuma kaka yangu anaabudu mizimu

Nimemfuma kaka yangu anaabudu mizimu

Kila mmoja ana uhuru wa kufanya ibada kutokana na imani yake !
 
Sawa lakini mungu hazihakiwi
Ni hivi ninachokwambia kila mtu ana Mungu anae muamini Ukienda kwa wahindi utakuta wanaabudu ng'ombe Kama Mungu wao,Wewe pia una Mungu wako ,Waislam wanamuabudu Allah,wengine ndo hao wanaanabudu miti na vinginevyo DINI ZENYEWE WAMELETA WAZUNGU NA WAARABU JE DINI ZA MABABU ZETU HAZIKUA SAHIHI ZA WAZUNGU NDO SAHIHI? KILA MMOJA AISHI NA ANACHOKIAMINI
 
Samahani sikuweza kumpiga picha angeniona.

Kweli mnaweza mkawa Familia moja mkidhani ni watu wa dini lakini Kuna mmoja yupo tofauti. Ni kaka etu wa kwanza kwenye Familia nimeshuhudia kwa macho yangu katika kipindi hiki nipo kijijini, nilipotoka kanisani ikabidi nichukue baiskel kwenda shambani lakini nilipofika shambani sikumkuta. Nikafikli labda yupo ndani ya shamba ngoja nimuangalie.

Nilipoona mzigo nyuma umenilemea niliingia polini na kidumu cha maji kwenda kuushusha, lahaulaah!

Sikuamini macho yangu ni kaka angu kabisa anainama na kuinuka huku akisujudu mti. Nikaona sio kweli ikabidi nijifiche ila nilichokishuhudia nikajua kumbe ndomambo yake sisi jumapil kila tukienda kanisani yeye huwa anasema naenda shambani kumbe ana ibada zake za kipumbavu.

Sasa najipanga namna yakuliweka wazi hili swala mbele ya baba na mama ilikusudi tusije Pata laana kizazi na kizazi mbele ya Mwenyezi Mungu
Hakuna Dhambi kuabudu Mizimu. Ni Maamuzi yake. Yeye ameamua kuabudu Mizimu, kwani amemkosea Nani??
 
Sasa laana Inatoka wapi. Kwani Yesu si aliongea na Mizimu ya Musa na Elia.

Wakristo wengi mnaabudu nini kama si Mizimu. Mmewabatiza Watakatifu. Mmeacha Mizimu yenu mnaabudu Mizimu ya Wazungu na Watu wasiowajua
Mad
 
Huo ndio ukweli hata kama Ukikataa

1. Yesu alipanda mlimani kama Kaka yako alivyoenda Shambani,akawapiga Usingizi wanafunzi wake wasione kinachoendelea,kumbe alikuwa anaenda Kuongea na Musa na Elia (watu waliokwisha Kufa)

2. Wakristo wengi wanaabudu mizimu ya Kanisani bila Kujua kisa wamebatizwa wao ni Watakatifu. Kumbe ni Mizimu ile ile kama ya Babu yako na Bibi yako tu

Mnaacha Kuiabudu Mizimu yenu Inayowajua Mnaenda kwenye Mizimu isiyowatambua. Mtakatifu fulani atakusaidia nini kama Wewe si wa Ukoo wake na Hakujui
 
Samahani sikuweza kumpiga picha angeniona.

Kweli mnaweza mkawa Familia moja mkidhani ni watu wa dini lakini Kuna mmoja yupo tofauti. Ni kaka etu wa kwanza kwenye Familia nimeshuhudia kwa macho yangu katika kipindi hiki nipo kijijini, nilipotoka kanisani ikabidi nichukue baiskel kwenda shambani lakini nilipofika shambani sikumkuta. Nikafikli labda yupo ndani ya shamba ngoja nimuangalie.

Nilipoona mzigo nyuma umenilemea niliingia polini na kidumu cha maji kwenda kuushusha, lahaulaah!

Sikuamini macho yangu ni kaka angu kabisa anainama na kuinuka huku akisujudu mti. Nikaona sio kweli ikabidi nijifiche ila nilichokishuhudia nikajua kumbe ndomambo yake sisi jumapil kila tukienda kanisani yeye huwa anasema naenda shambani kumbe ana ibada zake za kipumbavu.

Sasa najipanga namna yakuliweka wazi hili swala mbele ya baba na mama ilikusudi tusije Pata laana kizazi na kizazi mbele ya Mwenyezi Mungu
Kwani wewe kinachokuuma nini amini unacho amini sio kuita wenzio wapumbavu kila mtu na imani yake hata ukimsema haina faida yoyote kwani kashakua na mapenzi ya kuabudu mizimu hata mkimpereka kanisani kwa lazima atakubari ila moyoni utabaki mzimu so fata yako yake hayakuhusu kila mtu ana haki ya kuamini anacho amini
 
Samahani sikuweza kumpiga picha angeniona.

Kweli mnaweza mkawa Familia moja mkidhani ni watu wa dini lakini Kuna mmoja yupo tofauti. Ni kaka etu wa kwanza kwenye Familia nimeshuhudia kwa macho yangu katika kipindi hiki nipo kijijini, nilipotoka kanisani ikabidi nichukue baiskel kwenda shambani lakini nilipofika shambani sikumkuta. Nikafikli labda yupo ndani ya shamba ngoja nimuangalie.

Nilipoona mzigo nyuma umenilemea niliingia polini na kidumu cha maji kwenda kuushusha, lahaulaah!

Sikuamini macho yangu ni kaka angu kabisa anainama na kuinuka huku akisujudu mti. Nikaona sio kweli ikabidi nijifiche ila nilichokishuhudia nikajua kumbe ndomambo yake sisi jumapil kila tukienda kanisani yeye huwa anasema naenda shambani kumbe ana ibada zake za kipumbavu.

Sasa najipanga namna yakuliweka wazi hili swala mbele ya baba na mama ilikusudi tusije Pata laana kizazi na kizazi mbele ya Mwenyezi Mungu
Kama na wewe Roma nimpagani pia wakristo wa kweli ni Orthodox
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom