alphonce.NET
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,721
- 6,075
Naombeni ushauri wa haraka jamani.
Nimemkuta mke wangu anapika uchi,kama alivyozaliwa.Sijui kwa sababu gani na kwanini afanye hivyo.
baada ya kupika huo uchi uliiva na mkaula au ilikuaje?
Naombeni ushauri wa haraka jamani.
Nimemkuta mke wangu anapika uchi,kama alivyozaliwa.Sijui kwa sababu gani na kwanini afanye hivyo.
Sasa si umuulize kwanini?
Khaa!! Watu wengine wanakutana na fursa wanaziacha! Hivi umewahi kula tunda jikoni? Au unataka hadi akwambie? Changamka bana usije kuchapiwa ukaanza kulialia tenaNaombeni ushauri wa haraka jamani.
Nimemkuta mke wangu anapika uchi,kama alivyozaliwa.Sijui kwa sababu gani na kwanini afanye hivyo.
Nawewe nawe unapikaga ukiwa uchi?Kipi cha ajabu?
kupika akiwa mtupu?
kuna watu wengine humo ndani?
Mmeoana watu msioendana.
na wewe kakae mezani ukiwa uchi usubiri kula
Haswaa. Kupika uchi kwangu hapana. Mnalisha watu shombo za papuchi.
Naombeni ushauri wa haraka jamani.
Nimemkuta mke wangu anapika uchi,kama alivyozaliwa.Sijui kwa sababu gani na kwanini afanye hivyo.
Naombeni ushauri wa haraka jamani.
Nimemkuta mke wangu anapika uchi,kama alivyozaliwa.Sijui kwa sababu gani na kwanini afanye hivyo.