Nimemfuma anapika chakula akiwa uchi jikoni

Nimemfuma anapika chakula akiwa uchi jikoni

Binafsi napenda kuwapongeza wale wote waliomshauri bro mleta mada in positive way.Maana ya nn kumhisi mkeo vibaya?.Tunakuombea zidi kumpenda na kumuamin mkeo.Mimi huwa naona ni bora nisidili na mambo ya mke wangu,napaswa kumuamini isipokuwa nikija kugundua mambo mabaya hapo ndio tutatambuana.,lkn kukaa kujiumiza umiza kuhisi mabaya tuuu nooo,maisha yenyewe mafupi.
 
Ulileleea vibaya wewe. Mwanamke anayejitambua hawezi fanya huo ujinga labda awe hazimtoshi.

Umekariri vibaya mkuu hilo la kupika utupu siwezi kulisemea ila kuvaa kyupi na shirt ni kawaida saaana, inategemea tu mazingira unayovaa nikimaanisha unakaa na nani nyumbani kama unakaa mwenyewe, au na mumeo au na wadogo zako jinsia moja hakuna cha ajabu wala malezi mabaya hapo,
 
KWani hamuaminiani na mkeo??au mna tatizo lolote linaloweza kupelekea kumhisi vibaya??
yawezekana ni mapozi tu binafsi hua najikuta nafanya shughuli za nyumbani nikiwa na kichupi na brauz au tshrt

Ewaaa! mtu uko kwako ujibane bane nini.sasa?? Yani ukiwa nyumbani kwenye mazingira yanayokuruhusu ujiachie we ukavae skin tight ndefu, sidiria , dera na kitenge!?
 
raha ya kukaa ndani kama mko wawili mr & mrs inabidi muwe uchi wa mnyama, mimi huwa napenda sana, kama hakuna wageni au watoto, napenda niwe uchi wa mnyama niwe nijimwayamwaya na kaubaridi ka EC kuna raha sana.

Mh kaubaridi ka "EC" mashaka!
 
Ni mahaba hayo wala sio vibaya anakuhamasisha ili usimchoke, yaani ukiona unavutiwa nae halafu unapiga kimoja kabla ya msosi !
 
utakuwa umeshikwa ngarangara hakuna mwanamke anaheshima zake afanye huo ujinga hata siku moja utakuwa ushalishwa vitu vingi sana wewe duh
 
Naomba uweke picha hapa ilitujue namna ya kuchangia. Ukute ndo limbwata mkuu
 
Naombeni ushauri wa haraka jamani.

Nimemkuta mke wangu anapika uchi,kama alivyozaliwa.Sijui kwa sababu gani na kwanini afanye hivyo.

Kwani VIA vyake havihitaji KUPUMUA??? Wacha ajimwage apate hewa kotekote🙂
 
Back
Top Bottom