Nimemfuma anapika chakula akiwa uchi jikoni

Nimemfuma anapika chakula akiwa uchi jikoni

mambo ya limbwata hayo boy ucpokuwa makini,:bange:utafanyiwa kitu mbaya na huyo mkeo
 
chakula kitakuwa kitamu sana huyo mke anajua anachokifanya.mi nampongeza kama anapikia ndani na hakuna anayemwona zaidi yako.
 
Si ungemuuliza yeye kwanini anafanya hivyo?
 
Acheni kushabikia ujinga. Wengine wanaenda kwa waganga wanawambia ivo. Wala sio mahaba. Bora angekuwa na kanga tuu.

Kuna story furani nishaskiaga mganga kamwambia avue mbele ya sufuria ya chakula atawaze na hayo maji ayapikie chakula be carefull

Aiseeee kwa Mimi nimehisi kitu kama hicho,kwa sababu si kawaida yake.
 
Mapenz tu, usiwaze lingne. Ashinde na manguo ya nn wkt mnaishi wawil tu.!!
 
Naombeni ushauri wa haraka jamani.

Nimemkuta mke wangu anapika uchi,kama alivyozaliwa.Sijui kwa sababu gani na kwanini afanye hivyo.


Mabadiliko yalikuwa yanasikia joto that's why kayaacha ili yapigwe upepo.
 
Kipi cha ajabu?
kupika akiwa mtupu?
kuna watu wengine humo ndani?
Mmeoana watu msioendana.
 
Maagizo ya kishirikina amepewa au ni mchawi anawangia mengi anayoyajua yeye.

Mshukuru Mungu kwa kukuonyesha maana utakuwa umetendwa mengi, anza kusali sana mengine amua mwenyewe.
 
Hahaaaa hiyo nimeipenda me nikimukuta hivyo nampa doz ,kwa mtazamo wangu mkeo hana nia mbaya ndivyo walivyo wao huwa wanasema kujiachia
 
kweli tunatofautiana....Mimi ningemrukia nigonge mashine kwanza then maswali baadae
 
Back
Top Bottom