Ulileleea vibaya wewe. Mwanamke anayejitambua hawezi fanya huo ujinga labda awe hazimtoshi.
Hakuna ushirikina hapo . Unakata unakunja unajihija hadi chakula kiungue..Mhh labda mapozi au ushirikina
Naombeni ushauri Wa haraka jamani.nimemkuta mke wangu anapika uchi,kama alivyozaliwa.Sijui kwa sababu gani na kwanini afanye hivyo.
Chakula kinakua kitamu, ni wengi tunafanya hivo japo ye kazidi
wengine twavaa madera bila vyupi
usiwaze.....
Ulileleea vibaya wewe. Mwanamke anayejitambua hawezi fanya huo ujinga labda awe hazimtoshi.
Naaam sio vema kupika na mivyupi vyupiKama mama Shida Mtaani kwetu vitumbua vyake vitamu ajabu lakini havai chupi wakati wa kupika
Kuanzia leo naanza kumchunguza mke wangu aisee. Ndiyo maana wachawi wengi huwa ni jinsi ya kike.Chakula kinakua kitamu, ni wengi tunafanya hivo japo ye kazidi
wengine twavaa madera bila vyupi
usiwaze.....
Kwa hiyo ni tabia ya wanawake wote kukaa kupika uchi siyo?Niko kwangu! tena mwenyewe na mme wangu nishindwe kujiachia kisa nini??!
Hata maza wako huenda alikua anafanya hivyo wakati hajakuleta duniani na ndugu zako.
Mchunguze tu shauri ako uanze kupikiwa chakula kibayaKuanzia leo naanza kumchunguza mke wangu aisee. Ndiyo maana wachawi wengi huwa ni jinsi ya kike.
achananae mama wa toto, mi mwenyewe mali mwenyewe nimeridhika na vichupi vyako, sasa kelele za nini tena?Niko kwangu! tena mwenyewe na mme wangu nishindwe kujiachia kisa nini??!
Hata maza wako huenda alikua anafanya hivyo wakati hajakuleta duniani na ndugu zako.
mambo ya kawaida sana hayo...tatizo wewe na ushamba wako na mbaya zaidi kujifunza hutaki.
Haswaa. Kupika uchi kwangu hapana. Mnalisha watu shombo za papuchi.Hongera uliyeleleea vizuri ambaye mkeo akikupa mwaliko mpaka aandike barua
Nikashagundua anapika uchi hata hicho chakula kiwe kizuri kiasi gani sili. Na atapata kadi nyekundu.Mchunguze tu shauri ako uanze kupikiwa chakula kibaya
Chakula kinakua kitamu, ni wengi tunafanya hivo japo ye kazidi
wengine twavaa madera bila vyupi
usiwaze.....
achananae mama wa toto, mi mwenyewe mali mwenyewe nimeridhika na vichupi vyako, sasa kelele za nini tena?