rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,106
- 18,715
Kimbelembele muomba chumvi ni ngumu ila kibongobongo uku usishangae mswaili anagonga geti
Naishi bongo na mtaani kwetu ni ngumu kuombana chumvi wala moto.
Kimbelembele muomba chumvi ni ngumu ila kibongobongo uku usishangae mswaili anagonga geti
Nina wasiwasi na wewe pia...
wasiwasi juu ya jambo gani?
Unapika ilhal u uchi....sufuria likianguka gafulaaa?????
Mzee wangu huo sio ushirikina????
Hapana bali ni aina ya limbwata
Linaokotwa tu kwani tatizo liko wapi?
LitAkuwa na madhara gani kwa huyo mumewe????
Litaunguza sehem muhimu
Hatapenda michepuko wala nyumba ndogo
KWani hamuaminiani na mkeo??au mna tatizo lolote linaloweza kupelekea kumhisi vibaya??
yawezekana ni mapozi tu binafsi hua najikuta nafanya shughuli za nyumbani nikiwa na kichupi na brauz au tshrt
dada nakukubali kwa coment zako hongera!wafundishe chipukiziChakula kinakua kitamu, ni wengi tunafanya hivo japo ye kazidi
wengine twavaa madera bila vyupi
usiwaze.....
Naishi bongo na mtaani kwetu ni ngumu kuombana chumvi wala moto.