Anataka tumjibie mke wake eti nikwanini alikua anapika uchiuchi
Ni sheeder kwakweli!!!
Anataka tumjibie mke wake eti nikwanini alikua anapika uchiuchi
Upo sahihi mkuu.Binafsi napenda kuwapongeza wale wote waliomshauri bro mleta mada in positive way.Maana ya nn kumhisi mkeo vibaya?.Tunakuombea zidi kumpenda na kumuamin mkeo.Mimi huwa naona ni bora nisidili na mambo ya mke wangu,napaswa kumuamini isipokuwa nikija kugundua mambo mabaya hapo ndio tutatambuana.,lkn kukaa kujiumiza umiza kuhisi mabaya tuuu nooo,maisha yenyewe mafupi.
watu wa mikoani bwana.....
cha ajabu kipi hapo...
teh! mikoani ndo wapi mkuu
uchi wa mnyama au
mikoani i mean nje ya pwani....
Mmmmh, kaaaazi kweli kweli.Ewaaa! mtu uko kwako ujibane bane nini.sasa?? Yani ukiwa nyumbani kwenye mazingira yanayokuruhusu ujiachie we ukavae skin tight ndefu, sidiria , dera na kitenge!?
Wa binadamu.uchi wa mnyama au
Alikuwa anahamu ya kugegedwa huyo.Naombeni ushauri wa haraka jamani.
Nimemkuta mke wangu anapika uchi,kama alivyozaliwa.Sijui kwa sababu gani na kwanini afanye hivyo.
Uchi Wake Mwenyewe Sio Wa Mnyama