Mfalme_wa_Nyika
JF-Expert Member
- May 24, 2023
- 684
- 1,579
UME ACT KIUME ...MWAMBA NDO WEWE HAPA MAN! UMETISHA KAZA USILEGEZE MSIMAMO, NDO DAWA YAO KAMA TULIVYOKUBALIANA KWENYE KAMATI YA ROHO MBAYA KIKAO CHA WANAUME
asante nlijua kuna pesa sa bure bure niwahi pm 😒Ulimbo huo. Wahenga tunajua utawanasa ndege wengi sana.
Wape chai kavu ivoivo bila mkate na nyumba ya nyasiWatu wazima hawatakiwi kutumia sukari
Mkuu nenda PM usiogope.asante nlijua kuna pesa sa bure bure niwahi pm 😒
Napataje na mimi mkuuKwa hii Serikali... Pesa zipo sana tu
Wape chai kavu ivoivo bila mkate na nyumba ya nyasi
Fanya kazi serikalini uwe kitengo cha maokoto.Napataje na mimi mkuu
kawaida mkuukulingana na kipatoDuh yani unatuma 300k kwa mwanamke Ambae si mke wako?
Nifundishe na mimi jinsi ya kurudisha mwamalaYaani limeomba pesa jana kuwa lina shida nayo. Kwa uungwana hata sikuliuliza shida gani. Na lina fanya kazi. Nimetuma 300,000 halisemi hata asante ila linalalamika sijatuma ya kutolea.
Hii ndi siku njema. Mi sijui kwa nini nina bahati mbaya ya kupata mijidada ina shape nzuri ila haina akili nzuri. Itakuwa nami sina akili kama yao. Nasikitika sana
View attachment 3426642
Pole sana. Hiyo ndio tabia ya ukweli, kuna wakati ukweli hua unamiza. Ndipo ukaja ule usemi wa "ukweli mchungu"Duuuuh... Umetumia maneno makali ya kunichoma moyo. Uwe na huruma basi ndgu yangu....
Sawa sawaFanya kazi serikalini uwe kitengo cha maokoto.
Kuwa chawa/msanii
Nenda kwenye menu ya kutumia. JihudumieNifundishe na mimi jinsi ya kurudisha mwamala
Roho kama hizi tunazo sisi tuliozaliwa ukanda wa GAZA..Yaani limeomba pesa jana kuwa lina shida nayo. Kwa uungwana hata sikuliuliza shida gani. Na lina fanya kazi. Nimetuma 300,000 halisemi hata asante ila linalalamika sijatuma ya kutolea.
Hii ndi siku njema. Mi sijui kwa nini nina bahati mbaya ya kupata mijidada ina shape nzuri ila haina akili nzuri. Itakuwa nami sina akili kama yao. Nasikitika sana
View attachment 3426642
na ndo kilichobakiSijui kizazi hiki kina shida gani. Zawadi anahoji bei? Na kukusema kuwa umepigwa. Next time unaichukua zawadi unamwambia unaenda rudisha ununue nyingine. Kisha unampa hata maskini mmoja njiani.
Safi sana kwenye Kikao ulikaa mbele kabisaYaani limeomba pesa jana kuwa lina shida nayo. Kwa uungwana hata sikuliuliza shida gani. Na lina fanya kazi. Nimetuma 300,000 halisemi hata asante ila linalalamika sijatuma ya kutolea.
Hii ndi siku njema. Mi sijui kwa nini nina bahati mbaya ya kupata mijidada ina shape nzuri ila haina akili nzuri. Itakuwa nami sina akili kama yao. Nasikitika sana
View attachment 3426642
Imagine😂Du watu mna hela za kuchezea