Nimelala na mwanamke kitanda kimoja usiku kucha ..........

Nimelala na mwanamke kitanda kimoja usiku kucha ..........

Huko hakuna ndomu mkuu wachakutudhalilisha wanaume bwana.Kula maini hayo kaka.Ukimaliza mwambie hakuna kujuana

Anakula halafu anamsikilizia,akiona kama anaanza kudiverge kutoka kwenye cost sharing na kuleta dependancy,basi anamgeuzia kibao anakua baba wa kauzu
 
yaan mpaka semina iishe najua na mimba itkuwa imepatikana!

Vipi Mussolin ushakabidhiwa Card baada ya kujivua gamba? Samahani imebidi nikuulize hili swali huku mtaa wa MMU baada ya kukusoma.
 
jembe iman yako kama ime relate kidin unaweza kuamisha milima kuwa tambalale.maana c mchezo c unajua rijali anavyo kuwa lazma isimame na isimike km kuna nanii....!
 
Jamani mweeee, yaani ofisini humohumo mnafanyiana mambo kama hayo ,badae kazi zitaenda kweli
 
aisee hapo una mtihani mkubwa sana,,, sbb ukimlala utajishushia heshima.
na usimpomfanya atakutangazia wewe sio rijali..
cha msingi mweleze kuwa uzalendo umekushinda then uhame chumba na heshima yako ibaki palepale mwanaume rijali
 
Yote inategemea na malengo na uhusiano na mlengwa mwenzako. Suala la kulala na msichana au mvulana chumba kimoja si sababu ya kutenda dhambi ikiwa angalau mmoja wenu ana msimamo imara.

Lakini hilo la kukumbatiana na kutegana, mimi simo!
 
Hahahahahaha. hii kitu imenichekesha kinoma hadi machozi.. Watu mna fix kudaddki
 
subiri kiama wewe kwani kama utaeza lala na mwanamke usimlabue kuna mambo 2 eidha hanisi min hauko swafi au subiri mungu aje akuchome kiama coz hukutumia talanta aliyoklupa
 
hiki kitu nimeshakiona kwa jamaa yangu alikuwa anatembelewa na dada yake kutoka nchi moja kweli walikuwa wana lala kitanda kimoja ila mimi si shauri kitu hiki kifanyike maana wanawake usiku au ukiwa nao karibu wanabadilika nakuwa ibilisi fanya ufanyavyo utatembea naye tu. nakushauri tafuta kitanda kingine.
 
hiki kitu nimeshakiona kwa jamaa yangu alikuwa anatembelewa na dada yake kutoka nchi moja kweli walikuwa wana lala kitanda kimoja ila mimi si shauri kitu hiki kifanyike maana wanawake usiku au ukiwa nao karibu wanabadilika nakuwa ibilisi fanya ufanyavyo utatembea naye tu. nakushauri tafuta kitanda kingine.

Hahahahha!~ Yaani mwanamke ulale naye mwenyewe kitanda kimoja kwa hiari yako, halafu eti baadaye mkitiana useme eti yeye ndiye ibilisi. Come on guys, that is non-sense. Honestly, mimi siwezi ku-entertain mambo ya kulala na mwanamke kitanda kimoja kama najua kabisa si maadili mema kufanya naye ngono.

Hahahahah!
 
Mkiona hivyo mjue uzalendo umemshinda mbona kimya kashindwa kuendelea na ushuhuda wake

Leo ni siku ya tatu .bado mbili warudi home :A S 109:
I have a strong feeling that huyu jamaa amem do huyu mama ndiyo maana sasa kanyamaza. Si rahisi hata kidogo kushare kitanda kimoja kwa siku tano mkivuliana nguo bila ya kufanya chochote! Labda awe na matatizo ya kiafya (Uhanithi).
 
Ni mfanyakazi mwenzangu tumeenda nchi jirani kwa semina ya siku 5.Tulivyofika tu wakati tunacheki hotel ambayo ni nzuri bei kidogo ipo juu ila kampuni wametupa pesa za kutosha sana,Sasa wakati tunajadiliana jinsi ya kufanya yule sister akasema, Kwa nini tusichukue chumba kimoja tukashare ili tusave hizi pesa? Nilijua ananitania lakini akasisitisha kwamba yupo serious.

Tukachukua chumba kimoja chenye kitanda kimoja tukazama ndani.Ile kuingia tu ndani yule sister akasema anataka kuoga sababu ya uchovu wa safari akjifunga taulo kavua nguo kazama bafuni.Picha nyingi sana zikanijia ifikapo usiku itakuwaje? Sababu yeye ni mke wa mtu na mimi nina mke home.

Nikajiapisha sintofanya chochote na huyu sister kwanza tunaeshimiana sana. Nmimi nikaenda kuoga baada ya yeye kutoka nilivyorudi nikakuta ashavaa nguo. Story story kidogo tukashuka chini tukaenda pata dinner mpaka kwenye saa 5 usiku tukarudi room.
Kufika tu yule sister kavua nguo zake hii sasa alivua mbele yangu akapiga night dressing kajitupa bed.

Na mimi nikajipa moyo nikavua nikapiga bukta nikazama bed.Tukapiga story mbili tatu huku tukiwa tumejifunikia shuka moja.
Mara usingizi ukanipitia kushtuka nimemkumbatia ile mbaya nikijua ni wife home kuchek na yeye kanikumbatia na kaweka mguu juu yangu.Ki ukweli hali ilikuwa ngumu sana mpaka mapigo ya moyo yalibadilika.

Ki ukweli usingizi ulikata nikawa nimemkumabatia mpaka asubuh. Palipokucha yaani yule sister hana time akazama zake bafuni katoka kapiga suti yake na mimi nikazama bafuni kutoka tukaelekea kwenye hotel inapofanylika semina.

Jamani hii ndio siku ya kwanza kweli niatweza maliza siku tano bila kuingiza ndoa yangu matatani kwa style hii kweli.
Ila nimeapa kutofanya chochote na huyu sister.
Ee mungu nipe ujasiri.
Amin Amin nakwambia yeyote amwangaliaye jicho la kutamani mke wa mwenzie amezini naye tayari! sasa hapo ndugu si umalizie tu? manake kama umeshatamani, umeshakumbatia na umeshaona akikuvulia nguo, unasubiri nini au kama ofisini kwenu wamemtuma kuthibitisha tetesi kuwa wewe ni nyoka wa kibisa basi mwache lakini majibu utayakuta ofisi mkirudi!
 
jamani njoo utuambie imeendeleaje,mbona unatuacha tukiandikia mate wakati wino umekaa nao kimya.
 
Acha uongooo, achaaaaa.... impossible.....


Ni mfanyakazi mwenzangu tumeenda nchi jirani kwa semina ya siku 5.Tulivyofika tu wakati tunacheki hotel ambayo ni nzuri bei kidogo ipo juu ila kampuni wametupa pesa za kutosha sana,Sasa wakati tunajadiliana jinsi ya kufanya yule sister akasema, Kwa nini tusichukue chumba kimoja tukashare ili tusave hizi pesa? Nilijua ananitania lakini akasisitisha kwamba yupo serious.

Tukachukua chumba kimoja chenye kitanda kimoja tukazama ndani.Ile kuingia tu ndani yule sister akasema anataka kuoga sababu ya uchovu wa safari akjifunga taulo kavua nguo kazama bafuni.Picha nyingi sana zikanijia ifikapo usiku itakuwaje? Sababu yeye ni mke wa mtu na mimi nina mke home.

Nikajiapisha sintofanya chochote na huyu sister kwanza tunaeshimiana sana. Nmimi nikaenda kuoga baada ya yeye kutoka nilivyorudi nikakuta ashavaa nguo. Story story kidogo tukashuka chini tukaenda pata dinner mpaka kwenye saa 5 usiku tukarudi room.
Kufika tu yule sister kavua nguo zake hii sasa alivua mbele yangu akapiga night dressing kajitupa bed.

Na mimi nikajipa moyo nikavua nikapiga bukta nikazama bed.Tukapiga story mbili tatu huku tukiwa tumejifunikia shuka moja.
Mara usingizi ukanipitia kushtuka nimemkumbatia ile mbaya nikijua ni wife home kuchek na yeye kanikumbatia na kaweka mguu juu yangu.Ki ukweli hali ilikuwa ngumu sana mpaka mapigo ya moyo yalibadilika.

Ki ukweli usingizi ulikata nikawa nimemkumabatia mpaka asubuh. Palipokucha yaani yule sister hana time akazama zake bafuni katoka kapiga suti yake na mimi nikazama bafuni kutoka tukaelekea kwenye hotel inapofanylika semina.

Jamani hii ndio siku ya kwanza kweli niatweza maliza siku tano bila kuingiza ndoa yangu matatani kwa style hii kweli.
Ila nimeapa kutofanya chochote na huyu sister.
Ee mungu nipe ujasiri.
 
Usimuhusishe Mungu wkt amekupa hekima,tena ametuambia TUIKIMBIE ZINAA, YESU alimwambia SHETANI USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO,lakini ktk SALA YA BWANA TUNAOMBA HIVI,USITUTIE KTK VISHAWISHI, sasa wwe can't u THINK, KWAMBA U HAVE THE RESULTS ARLEADY AT HAND TO WHAT U'R DOING?. THE STRONGEST MAN ISN'T HE WHO WINS MANY TERRITORIES BUT IT IS HE WHO WINS OVER HIMSELF. Period
 
@manuu
hebu kuja hapa ujibu hoja iikuwaje.
Unantania kabisa, nina mastaz ya umbea.
Hapa maini yashasimama kwa kupokea taarifa ya kamati.
 
Back
Top Bottom