.kaka akili mali zitumie Mungu kakupa utashi ndugu mbona busara ni kitu kidogo wakazi, unathamini pesa ya cmpnzaidi zaidi ya ndoa yako?! Nyie mnayenu bhana ebu tupe fback ya cku zilizofuata cz mmejitakia wenyewe.
.
![]()
.
Wakuu,
Tulikuwa tunajiuliza mbona huyu jamaa haonekani kutupa updates za day 2!
Kumbe jamaa kakamatwa Dubai kwa kosa la kubaka ... wanadai alitaka kumbaka mfanyakazi mwenzake hotelini.
Source: CNN hapo juu!
Haya mliokuwa mnamshauri mwenzenu vibaya .... nendeni mkamuwekee dhamana!
.
chagua kusaliti ndoa yako?unachokifanya ni kibaya zaidi , nunua kondomu piga mzigo kuliko ukwepa alfu mnatesana wote . Kama unampenda mke wako utamlinda tu kwa kondomu hapa la sivyo unahatarisha maisha yako na familia yako . dunia yako chaguo lako
huyo dada ana matatizo, kwani kulala na mtu ni lazima aku-nanihii? hivi ni kweli kabisa hakuna mkaka ambaye anaweza lala kitanda kimoja na mdada bila kuomba? kwa hawa, wamejitakia, hela wamelipwa lakini wanataka kufanyia shopping au kwenda kuendeleza site zao wakirudi home, je kama umepatwa na dharura itakuwaje? yaani huna jinsi, inabidi mlale wote...........Hadithi hii inanikumbusha kisa cha rafiki yangu wa karibu kabisa. Yeye alisafiri na mfanyakazi mwenzie. Sasa wakati wanakata ticket ilikuwa pamoja. Walipofika qatar wakakuta wamewekwa chumba kimoja wakidhani ni bibi na bwana. Anyway kwa sababu ya ugeni wakapiga kimya. Rafiki yangu akajikaza usiku mzima wakiwa wamelala wote, na asubuhi wakaendelea na safari. Walipofika kazini, yule mrembo akatwambia mwenzenu vipi? Hivi ni mwanamme kweli? atalalaje na mm kitanda kimoja mpaka asubuhi bila kufanya lolote kwani mm dada yake? Habari zikamfikia rafiki yangu. alifedheheka sana tena sana.
Sikushauri ufanye lolote ni vizuri kujizuia kwa sababu huwezi jua utaangukia pua wapi. Ila jiandae ukiludi kama huyo dada ana nia mbaya na ww vijembe vya hapa na pale. Binadamu hana jema.
"Nitayaweza yote katika yeye anitiae nguvu"
huyo dada ana matatizo, kwani kulala na mtu ni lazima aku-nanihii? hivi ni kweli kabisa hakuna mkaka ambaye anaweza lala kitanda kimoja na mdada bila kuomba? kwa hawa, wamejitakia, hela wamelipwa lakini wanataka kufanyia shopping au kwenda kuendeleza site zao wakirudi home, je kama umepatwa na dharura itakuwaje? yaani huna jinsi, inabidi mlale wote...........
Nikuulize wewe mkwe................Mkwe hulali?
Hivi kweli men, Mu wa dhaifu kihivyo?mnashindwa kuvumilia japo kwa hilo!week! Duh mnawaza uzinzi tu? Kwani mkilala na mwanamke mzungu wa4,hapakuchi!?
Asee mnasikitisha,advices nyingi humu ni za kumshauri aombe mechi,kwani lazimaa? Dah imani graph 2wards you creatures imegota kwenye -1,ad zero imevuka!
Manuu kama mmedhamiria kwa faida yenu,hakika utazoea na utashinda.af si ajabu,ukijaribu kudokezea ombi,akakugeuka na ukafedheheka, ni jaribu zito la kujitakia,so You need to be strong!
mmoja ya strenght ya simba ni kurarua mawindo yakiingia kumi na nane.... u strenght wake anatakiwa auoneshe kwa kuomba gemu sio kuachia mzigo uondoke... remember he iz a MAN
hata kama hamtafanya chochote lakini amin nakwambia itakukost badae.
kikubwa toa mawazo yote yatakayoweza haribu ndoa yako...chukulia poa tu.mnaweza mkashinda vishawish ila yataka moyo sana:disapointed: