Nimelala na mwanamke kitanda kimoja usiku kucha ..........

manuu

JF-Expert Member
Apr 23, 2009
4,064
10,723
Ni mfanyakazi mwenzangu tumeenda nchi jirani kwa semina ya siku 5.Tulivyofika tu wakati tunacheki hotel ambayo ni nzuri bei kidogo ipo juu ila kampuni wametupa pesa za kutosha sana,Sasa wakati tunajadiliana jinsi ya kufanya yule sister akasema, Kwa nini tusichukue chumba kimoja tukashare ili tusave hizi pesa? Nilijua ananitania lakini akasisitisha kwamba yupo serious.

Tukachukua chumba kimoja chenye kitanda kimoja tukazama ndani.Ile kuingia tu ndani yule sister akasema anataka kuoga sababu ya uchovu wa safari akjifunga taulo kavua nguo kazama bafuni.Picha nyingi sana zikanijia ifikapo usiku itakuwaje? Sababu yeye ni mke wa mtu na mimi nina mke home.

Nikajiapisha sintofanya chochote na huyu sister kwanza tunaeshimiana sana. Nmimi nikaenda kuoga baada ya yeye kutoka nilivyorudi nikakuta ashavaa nguo. Story story kidogo tukashuka chini tukaenda pata dinner mpaka kwenye saa 5 usiku tukarudi room.
Kufika tu yule sister kavua nguo zake hii sasa alivua mbele yangu akapiga night dressing kajitupa bed.

Na mimi nikajipa moyo nikavua nikapiga bukta nikazama bed.Tukapiga story mbili tatu huku tukiwa tumejifunikia shuka moja.
Mara usingizi ukanipitia kushtuka nimemkumbatia ile mbaya nikijua ni wife home kuchek na yeye kanikumbatia na kaweka mguu juu yangu.Ki ukweli hali ilikuwa ngumu sana mpaka mapigo ya moyo yalibadilika.

Ki ukweli usingizi ulikata nikawa nimemkumabatia mpaka asubuh. Palipokucha yaani yule sister hana time akazama zake bafuni katoka kapiga suti yake na mimi nikazama bafuni kutoka tukaelekea kwenye hotel inapofanylika semina.

Jamani hii ndio siku ya kwanza kweli niatweza maliza siku tano bila kuingiza ndoa yangu matatani kwa style hii kweli.
Ila nimeapa kutofanya chochote na huyu sister.
Ee mungu nipe ujasiri.
 
Mhh Manuu kama una hofu ya Mungu ndani yako na unampenda mkeo achana na hii kitu,mwambie huyo dada wewe utashindwa kukaa naye chumba kimoja hivyo either mchukue chumba chenye double kama mnataka sana ku-save au kila mmoja awe na chumba chake.

Hiyo kitu itawashinda halafu iwe balaa bure. Huyo mwanamke atakuwa ana pepo la ngono.
 
Hongera kwa kupitisha siku ya kwanza.Nakukumbusha tu kuwa Yesu aliwaambia wanafunzi wake kesheni mkiomba msije mkaingia majaribuni,nawe nakusihi ufanye hivyo.Maana lengo la kushea chumba ni zuri kama ulivyoeleza,ila tu ukiingia majaribuni yawezekana hata kile ulichokuwa unasevu kwa kushea chumba ukamuachia huyo mke wa mtu na kukawa hakuna maana tena ya kushea chumba ili kupunguza gharama.Kama unaona utaingia mtegoni ni bora uhame kabisa na kuchukua chumba chako mwenyewe.
 
mshughulikie tu boss kwani hakitapungua kitu; la sivyo basi usilale naye tena mtumie pesa mlizopewa kila mtu kujikimu peke yake
 
Ni mfanyakazi mwenzangu tumeenda nchi jirani kwa semina ya siku 5.Tulivyofika tu wakati tunacheki hotel ambayo ni nzuri bei kidogo ipo juu ila kampuni wametupa pesa za kutosha sana,Sasa wakati tunajadiliana jinsi ya kufanya yule sister akasema, Kwa nini tusichukue chumba kimoja tukashare ili tusave hizi pesa? Nilijua ananitania lakini akasisitisha kwamba yupo serious,Tukachukua chumba kimoja chenye kitanda kimoja tukazama ndani.Ile kuingia tu ndani yule sister akasema anataka kuoga sababu ya uchovu wa safari akjifunga taulo kavua nguo kazama bafuni.Picha nyingi sana zikanijia ifikapo usiku itakuwaje? Sababu yeye ni mke wa mtu na mimi nina mke home.
Nikajiapisha sintofanya chochote na huyu sister kwanza tunaeshimiana sana.
Nmimi nikaenda kuoga baada ya yeye kutoka nilivyorudi nikakuta ashavaa nguo.
Story story kidogo tukashuka chini tukaenda pata dinner mpaka kwenye saa 5 usiku tukarudi room.
Kufika tu yule sister kavua nguo zake hii sasa alivua mbele yangu akapiga night dressing kajitupa bed.
Na mimi nikajipa moyo nikavua nikapiga bukta nikazama bed.
Tukapiga story mbili tatu huku tukiwa tumejifunikia shuka moja.
Mara usingizi ukanipitia kushtuka nimemkumbatia ile mbaya nikijua ni wife home kuchek na yeye kanikumbatia na kaweka mguu juu yangu.Ki ukweli hali ilikuwa ngumu sana mpaka mapigo ya moyo yalibadilika.
Ki ukweli usingizi ulikata nikawa nimemkumabatia mpaka asubuh.
Palipokucha yaani yule sister hana time akazama zake bafuni katoka kapiga suti yake na mimi nikazama bafuni kutoka tukaelekea kwenye hotel inapofanylika semina.
Jamani hii ndio siku ya kwanza kweli niatweza maliza siku tano bila kuingiza ndoa yangu matatani kwa style hii kweli.
Ila nimeapa kutofanya chochote na huyu sister.
Ee mungu nipe ujasiri.

lenu moja tu ngoja kesho tuone utaleta uzi gani kuhusiana na huyo bidada..
 
Mhh Manuu kama una hofu ya Mungu ndani yako na unampenda mkeo achana na hii kitu,mwambie huyo dada wewe utashindwa kukaa naye chumba kimoja hivyo either mchukue chumba chenye double kama mnataka sana ku-save au kila mmoja awe na chumba chake.

Hiyo kitu itawashinda halafu iwe balaa bure. Huyo mwanamke atakuwa ana pepo la ngono.

kwanini iwe mwanamke ana pepo la ngono na siyo mwnaume? unaweza kabisa ukalala naye siku 5 pasi kufanya chochote kwani wewe huwez kulala na dada yako?
 
Mkuu sidhani kama unaipenda ndoa yako
Maana kulla na mwanamke ambaye sio mke wako chumba kimoja tena kitanda kimoja kwa siku tano na utegemee miujiza ni ngumu
Achana na hizo mambo za kusave utasave pesa ila ndoa yako itakuwa imeingia kwenye mkopo


hii ni sawa na kufungia fisi kwenye bucha akulindie nyama
 
Mkuu sidhani kama unaipenda ndoa yako
Maana kulla na mwanamke ambaye sio mke wako chumba kimoja tena kitanda kimoja kwa siku tano na utegemee miujiza ni ngumu
Achana na hizo mambo za kusave utasave pesa ila ndoa yako itakuwa imeingia kwenye mkopo
Mr Rocky, acha wivu mkuu badala umshauri jamaa akandamize wewe unamshauri aache kweli?....hahahahaha
 
Hiyo haiwezekani. Haina mantiki. There can be no self control wakati mwanamke yupo karibu. Hiyo ni kama ukienda juu mlimani ,wewe na mke wako,ukamkuta ascetic anaishi pale katika pango. Utamwambia,'' We unaishi peke yako huku mlimani bila mwanamke,kama mimi siwezi.''
Kweli anaweza kuishi peke yake almost indefinetly bila mwanamke,lakini huyo mke wako lazima ukae nae karibu. Kwa sababu ukiwaacha wawili muda mfupi,itakuwa balaa.
 
Back
Top Bottom