Nimelala na mwanamke kitanda kimoja usiku kucha ..........

Nimelala na mwanamke kitanda kimoja usiku kucha ..........

Hiyo haiwezekani. Haina mantiki. There can be no self control wakati mwanamke yupo karibu. Hiyo ni kama ukienda juu mlimani ,wewe na mke wako,ukamkuta ascetic anaishi pale katika pango. Utamwambia,'' We unaishi peke yako huku mlimani bila mwanamke,kama mimi siwezi.''
Kweli anaweza kuishi peke yake almost indefinetly bila mwanamke,lakini huyo mke wako lazima ukae nae karibu. Kwa sababu ukiwaacha wawili muda mfupi,itakuwa balaa.
hiyo point nimeielewa sana...!!!!!
 
Naona ni zamu ya Sredi zako kufufuliwa.

Hiyo inaitwa kutiana Majaribuni.

Maana!
 
Huyo mwanamke anapepo la ngono 100% na kama unabisha endelea na uwe muaminifu kushare siku tano zikiisha.

Na wewe pia nakushauri uokoke maana na wewe una shida. Ndoa na iheshimiwe na watu wote. Umeshindwa kuiheshimu ndoa yako kwa kumvulia mwanamke mwingine utupu wako tena ukampa na kifua chako. Yako mambo mawili.

1. Je, mke wako angefanya hivyo ungekubali? Biblia inasema jambo usilopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzako.

2. Je, unajua maana ya kuzini kibliblia. Yesu alisema imeandikwa katika torati kuwa usizini lakini mimi (Yesu) nawaambia amtazamaye mwanamke kwa kumtamani amekwisha kuzini naye moyoni mwake. Yesu alikuwa akisisitiza dhambi ya ndani. Wewe umeshafanya dhambi ya ndani na unachosubiri ni udhihirisho wa hiyo dhambi ya uzinzi. Na kwa taarifa yako na sisi tunasubiri kusikia kwamba ulifanikiwa kuzini naye.

Kama kweli hutaki kumtenda kwa hiana mke wako ondoka acha kujifariji na dhambi unaiona.

Njia pekee ya kuepuka uzinzi ni kukimbia sio vinginevyo.

Biblia inasema ikimbieni zinaa.

Yusufu alikimbia kwa mke wa Potifa na kuliacha vazo lake. Alikimbia uchi.

pamoja na kwamba umekosea unayo nafasi ya kurekebisha. Huo ni ushauri tu.

Mwanandoa aliyeokoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom