Nimelala na mwanamke kitanda kimoja usiku kucha ..........

Nimelala na mwanamke kitanda kimoja usiku kucha ..........

Ni mfanyakazi mwenzangu tumeenda nchi jirani kwa semina ya siku 5.Tulivyofika tu wakati tunacheki hotel ambayo ni nzuri bei kidogo ipo juu ila kampuni wametupa pesa za kutosha sana,Sasa wakati tunajadiliana jinsi ya kufanya yule sister akasema, Kwa nini tusichukue chumba kimoja tukashare ili tusave hizi pesa? Nilijua ananitania lakini akasisitisha kwamba yupo serious.

Tukachukua chumba kimoja chenye kitanda kimoja tukazama ndani.Ile kuingia tu ndani yule sister akasema anataka kuoga sababu ya uchovu wa safari akjifunga taulo kavua nguo kazama bafuni.Picha nyingi sana zikanijia ifikapo usiku itakuwaje? Sababu yeye ni mke wa mtu na mimi nina mke home.

Nikajiapisha sintofanya chochote na huyu sister kwanza tunaeshimiana sana. Nmimi nikaenda kuoga baada ya yeye kutoka nilivyorudi nikakuta ashavaa nguo. Story story kidogo tukashuka chini tukaenda pata dinner mpaka kwenye saa 5 usiku tukarudi room.
Kufika tu yule sister kavua nguo zake hii sasa alivua mbele yangu akapiga night dressing kajitupa bed.

Na mimi nikajipa moyo nikavua nikapiga bukta nikazama bed.Tukapiga story mbili tatu huku tukiwa tumejifunikia shuka moja.
Mara usingizi ukanipitia kushtuka nimemkumbatia ile mbaya nikijua ni wife home kuchek na yeye kanikumbatia na kaweka mguu juu yangu.Ki ukweli hali ilikuwa ngumu sana mpaka mapigo ya moyo yalibadilika.

Ki ukweli usingizi ulikata nikawa nimemkumabatia mpaka asubuh. Palipokucha yaani yule sister hana time akazama zake bafuni katoka kapiga suti yake na mimi nikazama bafuni kutoka tukaelekea kwenye hotel inapofanylika semina.

Jamani hii ndio siku ya kwanza kweli niatweza maliza siku tano bila kuingiza ndoa yangu matatani kwa style hii kweli.
Ila nimeapa kutofanya chochote na huyu sister.
Ee mungu nipe ujasiri.

Get out from that FANTASY World brother ang get a life. Hii stori ni ya kutunga. Na kama kuna mwanamke unamtamani hapo ofisini kwenu, ni bora ukamtongoza tu. Maana ukimtongoza kuna mawili, kukubaliwa au kukataliwa. Lakini kutomtongoza kabisa, kunakufanya uendelee kuishi kwenye dunia ya kufikirika kama hivi.
 
Mhmmmm!!! kazi unayo kaka. ila ulifanya makosa toka mwanzo kulala na mwanamke mwingine ili hali ukijua wewe ni mke wa mtu. Ila bado haujachelewa kwani unaweza kuondoka hapo chumbani na kupangisha chumba kingine ili kulinda ndoa yako.
 
huyu Manii or sorry Manuu mbona harudi?bora Mandieta na mlalia zipu wake aliendeleza movie lake mpaka kikaeleweka!
 
Ningekua mimi ningemega tu ku-maintain heshima!!
 
duuu kusoma tu hii post nimedinfisha je nkekuwa nmelala naye!!!!!!!!! mkuu unahitaji ujasiri wa kihanisi hushinda hilo jaribu
 
Ningekua mimi ningemega tu ku-maintain heshima!!
 
Hiyo kulala na demu bila kumega mbona inawezeka hata mimi nilisha safiri na dada mmoja kutoka dar kwenda singida hakuwa na pesa za kutosha nikachukua chumba nikamkaribisha nikanunulia na chips kuku wa kienyeji akala tukalala hakuwa na mvuto kwangu .Sasa huyu jamaa aweke wazi kama huyo dada ana mvuto au la kama ana mvuto amege pole sana,pili nilikutana mtalaka wangu kwa miaka 8 tukalala bad moja sikumega kwani mvuto kwake ulishaisha naomba kuwakilisha
 
Manuu umepotelea wapi, huleti mrejesho na siku tano karibu zinaisha
 
C mnataka mpige pesa, na pesa ni shetani, na umeshamkaribisha bac endeleeni kucheza ngoma hiyo, ww mpk unamkumbatia eti unafikir ni ur wyf, ipo cku utaenda kuoga nae ukijua wyf, na mwsho utaomba game ukijua, bado 2 unataka miujiza,
 
So fsr nadhani issues sio chumba kimoja, bali kitanda kimoja na shuka moja hiyo hapana ni kumpa shetani nafasi. Halafu hata kama Manuu hayajafanya naye sex kwa maana ya penetration ya ile organ lakini tayari kichwani amekwisha fanya sex muda mrefu tu. Cha muhimu hapa wahamie chumba cha vitanda viwili ili kila mmoja alinde ndoa yake maana huwezi kujua huenda wakianguka tu haitaishia huko bali hata wakirejea nyumbani wataendeleza mchezo
 
Mengine unaweza mtu ukavumilia. Hii yakuwekewa mguu juu! hiyo siwadanganyi sintaweza. Uzalendo utanishinda. Kwa wenye uwezo huo hongereni sana. Nawapa BiG up.
 
duu watu bwana bado wanasubiria episode2 wakati leo ni episode4
 
Kama kweli unahc lengo lako ni zuri, mjulishe mkeo nae umwambie amjulishe mumewe. Hapo mtajua kuwa mnalolifanya ni sawa au si sawa mbele za mwenyezi MUNGU. Hela zipo tuu kaka, utaziacha....
 
mh! stori hii ni ngumu kuaminika. hata kama una hofu ya mungu, kitendo tu cha kuwa na mdada chumba kimoja, ni vigumu kupitisha siku namna hiyo.ingekuwa heri kila mmoja akawa na chunba chake. unatuzuga tu wewe......ushakula tunda kwa sana........
 
Back
Top Bottom