Nimelala na mwanamke kitanda kimoja usiku kucha ..........

Nimelala na mwanamke kitanda kimoja usiku kucha ..........

Mengine unaweza mtu ukavumilia. Hii yakuwekewa mguu juu! hiyo siwadanganyi sintaweza. Uzalendo utanishinda. Kwa wenye uwezo huo hongereni sana. Nawapa BiG up.
Huyu jamaa mwongo sana tu anatuzuga, ukweli wote anaujua mwenyewe ndiyo maana kakaa kimya
 
Mhhhh yaani paka aone samaki asilie nyau? hii ni hadithi ya kusadikika mkuu.............
 
Ni mfanyakazi mwenzangu tumeenda nchi jirani kwa semina ya siku 5.Tulivyofika tu wakati tunacheki hotel ambayo ni nzuri bei kidogo ipo juu ila kampuni wametupa pesa za kutosha sana,Sasa wakati tunajadiliana jinsi ya kufanya yule sister akasema, Kwa nini tusichukue chumba kimoja tukashare ili tusave hizi pesa? Nilijua ananitania lakini akasisitisha kwamba yupo serious.

Tukachukua chumba kimoja chenye kitanda kimoja tukazama ndani.Ile kuingia tu ndani yule sister akasema anataka kuoga sababu ya uchovu wa safari akjifunga taulo kavua nguo kazama bafuni.Picha nyingi sana zikanijia ifikapo usiku itakuwaje? Sababu yeye ni mke wa mtu na mimi nina mke home.

Nikajiapisha sintofanya chochote na huyu sister kwanza tunaeshimiana sana. Nmimi nikaenda kuoga baada ya yeye kutoka nilivyorudi nikakuta ashavaa nguo. Story story kidogo tukashuka chini tukaenda pata dinner mpaka kwenye saa 5 usiku tukarudi room.
Kufika tu yule sister kavua nguo zake hii sasa alivua mbele yangu akapiga night dressing kajitupa bed.

Na mimi nikajipa moyo nikavua nikapiga bukta nikazama bed.Tukapiga story mbili tatu huku tukiwa tumejifunikia shuka moja.
Mara usingizi ukanipitia kushtuka nimemkumbatia ile mbaya nikijua ni wife home kuchek na yeye kanikumbatia na kaweka mguu juu yangu.Ki ukweli hali ilikuwa ngumu sana mpaka mapigo ya moyo yalibadilika.

Ki ukweli usingizi ulikata nikawa nimemkumabatia mpaka asubuh. Palipokucha yaani yule sister hana time akazama zake bafuni katoka kapiga suti yake na mimi nikazama bafuni kutoka tukaelekea kwenye hotel inapofanylika semina.

Jamani hii ndio siku ya kwanza kweli niatweza maliza siku tano bila kuingiza ndoa yangu matatani kwa style hii kweli.
Ila nimeapa kutofanya chochote na huyu sister.
Ee mungu nipe ujasiri.

Kwanza hali ya hewa ya nchi hiyo ikoje? Maana kama ni kipindi cha baridi pepo baridi anaweza kukusumbua na ukaingia majaribuni, kama hali ni ya kawaida jitahidi kufanikisha ndoto yako ya kusave kuja kusaidia familia yako, But mashaka yangu ni usije shangaa ukakuta tayari bibie kajipimia na kwa upuuzi wako wewe ukajifanya unaota tuuuuu.
 
Ni mfanyakazi mwenzangu tumeenda nchi jirani kwa semina ya siku 5.Tulivyofika tu wakati tunacheki hotel ambayo ni nzuri bei kidogo ipo juu ila kampuni wametupa pesa za kutosha sana,Sasa wakati tunajadiliana jinsi ya kufanya yule sister akasema, Kwa nini tusichukue chumba kimoja tukashare ili tusave hizi pesa? Nilijua ananitania lakini akasisitisha kwamba yupo serious.

Tukachukua chumba kimoja chenye kitanda kimoja tukazama ndani.Ile kuingia tu ndani yule sister akasema anataka kuoga sababu ya uchovu wa safari akjifunga taulo kavua nguo kazama bafuni.Picha nyingi sana zikanijia ifikapo usiku itakuwaje? Sababu yeye ni mke wa mtu na mimi nina mke home.

Nikajiapisha sintofanya chochote na huyu sister kwanza tunaeshimiana sana. Nmimi nikaenda kuoga baada ya yeye kutoka nilivyorudi nikakuta ashavaa nguo. Story story kidogo tukashuka chini tukaenda pata dinner mpaka kwenye saa 5 usiku tukarudi room.
Kufika tu yule sister kavua nguo zake hii sasa alivua mbele yangu akapiga night dressing kajitupa bed.

Na mimi nikajipa moyo nikavua nikapiga bukta nikazama bed.Tukapiga story mbili tatu huku tukiwa tumejifunikia shuka moja.
Mara usingizi ukanipitia kushtuka nimemkumbatia ile mbaya nikijua ni wife home kuchek na yeye kanikumbatia na kaweka mguu juu yangu.Ki ukweli hali ilikuwa ngumu sana mpaka mapigo ya moyo yalibadilika.

Ki ukweli usingizi ulikata nikawa nimemkumabatia mpaka asubuh. Palipokucha yaani yule sister hana time akazama zake bafuni katoka kapiga suti yake na mimi nikazama bafuni kutoka tukaelekea kwenye hotel inapofanylika semina.

Jamani hii ndio siku ya kwanza kweli niatweza maliza siku tano bila kuingiza ndoa yangu matatani kwa style hii kweli.
Ila nimeapa kutofanya chochote na huyu sister.
Ee mungu nipe ujasiri.

Nenda dukani nunua kondomu kabisaaaaa.......maana unaweza shindwa uzalendo
 
hapo hali ya hewa haijlishi joto au baridi.... kaka wewe mzigo usaonja na kama bado najua leo utakula tu , sababu kwanza amekushawishi kupanga chumba kimoja ukamkubalia na chumba lazima umelipa wewe... pili lazima akupe uchi na utaulipia tu kwa kumnunulia misosi yote mpaka mnarudi... utarudi kwako mtupu huku yeye kasave anaenda kula na bwana yake na watoto......kitanda kimoja ni haramu kulala na mwanamke asiyekuwa mke wako... sababu sisi ni wadhaifu utamlamba tu.
 
Manuu na Mamii bado wanalala, wakiamka watabaelezea
 
It happened kwamba huyo dada aliyesafiri na Manuu naye ni mwana JF. Kamstukia alichoandika na kumsemea mbovu hivyo Manuu hawezi kuendelea kuanika jukwaani kilichojiri.
 
Manuu, vipi mbona kimya au mmenasana kwenye tego la mumewe?????????????
 
Binadamu tuna vituko!!!! wewe kama umeoa na unampenda mke/mme wako WHY WOULD YOU PUT YOURSELF IN THAT POSITION to start with. You might save few dollars but lose your marriage!
 
lol you made my day . eti ukashtuka umemkumbatia, na mguu kakuwekea. Usitudanganye bana hii ni man made story hahaha hahaa
 
Mkiona hivyo mjue uzalendo umemshinda mbona kimya kashindwa kuendelea na ushuhuda wake

Leo ni siku ya tatu .bado mbili warudi home :A S 109:
 
Jamaa anaona noma kutupa mrejesho maana kashakula mzigo. Mvuto wa ngono ni noma!
 
Mkiona hivyo mjue uzalendo umemshinda mbona kimya kashindwa kuendelea na ushuhuda wake

Leo ni siku ya tatu .bado mbili warudi home :A S 109:

Damu ikishashuka kiunoni, ujue kwisha habari yako. Salama yako ni kukwepa mitego...sasa jamaa amejitega. Alaumiwe nani?
 
Back
Top Bottom