yaani watu tungejua what lies behind these avatars sidhani thread za hivi kama tungeziona.
Mamito feis watafutwa huku njoo uoke jahazi la Gbollin linazama jama, mwenzio hajiwezi juu fanya uje utulize mwenzio!
Usijali mkuu kwa sauti hizi zote ataibuka soon na we roho yako itapona lol!
Fesibuku imekutana na twita!!
ndio maana hadi leo sijajua niweke avatar gani......nisiwa mislead watu.yaani watu tungejua what lies behind these avatars sidhani thread za hivi kama tungeziona.
Dah kumbe member wa hii kitu tulikua wengi..lolNa karibia itakua ze utamu!
1.hawatafutani wala nini si ajabu wakati jamaa anarusha thread wapo wote.
2.kwani si mseme tuuuuu,tuanze michango ya arusi mkuu??????
Na karibia itakua ze utamu!
Dah kumbe member wa hii kitu tulikua wengi..lol
Hujambo bi dada?
Na karibia itakua ze utamu!
Dah kumbe member wa hii kitu tulikua wengi..lol
Hujambo bi dada?