Niambie Tu
Senior Member
- May 29, 2022
- 162
- 272
Wakuu.
Mimi naona mapenzi yaenda kunishinda.
Kuna mwanamke ilitokea nilimpa ujauzito mwaka jana nikamwambia usitoe mimi ntalea kipindi hiko niko nae mkoa yeye alikuja kunisalmia na sikujiandaa kuwa na mtoto kwa wakati huo japo nilikuwa nafanya kazi isiyokidhi mahitaji.
Mwaka huohuo mimi nikapata kazi mjini, ikabidi nimwache aendelee na miradi ambayo nilimfungulia kabla sijaondoka. Baada hali ya ujauzito kumsumbua sana ikabidi nimwambie nae aje mjini aachane na miradi tutakuja kufanya huku japo ilikuwa haijasimama.
Baada ya kuendelea kuishi nae nikamfungulia duka na mimi nikaendelea na kazi, Mungu amesaidia Kujifungua tumepata mtoto ila kiukweli kilichonileta hapa Jf huyu binti wakuu hayupo kabisa moyoni naona najiforce kumpenda na hatuachi kugombana leo kesho.
Wazazi wake sijui hata wako upande gani maana tangia ajifungue hawajawahi kukanyaga hapa alipo wao wanaulizia mahali nitatoa lini wakati wanaelewa hali halisi ya uchumi wangu nilitoa barua.
Natamani nimwache tu, anilelee watoto wangu tu maana mimi malengo ya maisha yangu sijafukia hata Robo na ninaona uwezo wake ni mdogo wa mimi kuendelea kuwa nae.
Hiko hivi nilimwambia asitoe mimba kiukweli mimi niliweka nadhiri mwanamke akipata mimba yangu sitaitoa, huyu dada nilikuwa nae kwenye mahusiano ila sio seriously maana ilipita muda kila mtu akawa na mishe zake.
Mwaka jana tulirudisha mawasiliano akatoroka kazini kwake na kuja kwangu na mwisho akijikuta amekaa kwangu mwezi, kiukweli sikujiandaa kabisa kwa hili.
Sasa nina hasira nae na tunagombana muda wote na mambo yangu naona hayaendi tu.
Mimi naona mapenzi yaenda kunishinda.
Kuna mwanamke ilitokea nilimpa ujauzito mwaka jana nikamwambia usitoe mimi ntalea kipindi hiko niko nae mkoa yeye alikuja kunisalmia na sikujiandaa kuwa na mtoto kwa wakati huo japo nilikuwa nafanya kazi isiyokidhi mahitaji.
Mwaka huohuo mimi nikapata kazi mjini, ikabidi nimwache aendelee na miradi ambayo nilimfungulia kabla sijaondoka. Baada hali ya ujauzito kumsumbua sana ikabidi nimwambie nae aje mjini aachane na miradi tutakuja kufanya huku japo ilikuwa haijasimama.
Baada ya kuendelea kuishi nae nikamfungulia duka na mimi nikaendelea na kazi, Mungu amesaidia Kujifungua tumepata mtoto ila kiukweli kilichonileta hapa Jf huyu binti wakuu hayupo kabisa moyoni naona najiforce kumpenda na hatuachi kugombana leo kesho.
Wazazi wake sijui hata wako upande gani maana tangia ajifungue hawajawahi kukanyaga hapa alipo wao wanaulizia mahali nitatoa lini wakati wanaelewa hali halisi ya uchumi wangu nilitoa barua.
Natamani nimwache tu, anilelee watoto wangu tu maana mimi malengo ya maisha yangu sijafukia hata Robo na ninaona uwezo wake ni mdogo wa mimi kuendelea kuwa nae.
Hiko hivi nilimwambia asitoe mimba kiukweli mimi niliweka nadhiri mwanamke akipata mimba yangu sitaitoa, huyu dada nilikuwa nae kwenye mahusiano ila sio seriously maana ilipita muda kila mtu akawa na mishe zake.
Mwaka jana tulirudisha mawasiliano akatoroka kazini kwake na kuja kwangu na mwisho akijikuta amekaa kwangu mwezi, kiukweli sikujiandaa kabisa kwa hili.
Sasa nina hasira nae na tunagombana muda wote na mambo yangu naona hayaendi tu.