Nimekutamani 🤭 - Njoo tuzogoe!

Nimekutamani 🤭 - Njoo tuzogoe!

Nayapenda kwa kuya yanaongeza libido
Jazilia nyama nyama kwenye hiyo reply yako!
Season 1 Laughing GIF by The Roku Channel.gif
 
Napenda mwanamke mwenye
1: Akili mingi, isiwe ya darasani yaani awe natural genius. Ani challenge maana nakuwa bored rahisi na mtu wa kawaida

2: awe anajua romance.

Hapo lazima ni date tuu,
Vigezo vimenyooka 🔥🔥🔥
Thinking Waiting GIF by NoireSTEMinist.gif
 
Hapana, nimetolea mfano physique ila kiungo chochote wengine mpk ndevu, wengine hair style, wengine mijegeje it's wide
I have none, nina vitu sipendi kama mijegeje mikubwa kupitiliza, ila vya kunivutia physically hakuna 🤔 🫠
 
  1. Nini huwa kinakufanya umtamani mwanamke au mwanaume kimapenzi au kimwili ?

  2. Nimeona mijadala mingi humu kuhusu kukosa uaminifu kwenye mahusiano huku watu wakisema “huwezi kula chakula kile kile kila siku” hivi inakuwaje mtu unatamani chakula ambacho hujui ladha yake? kiini cha matamanio yako hapo kinakua ni nini?

    View attachment 3610533

  3. Wenzangu tunaovutiwa na uwezo wa mtu kiakili au kuwa na connection ya kihisia kwanza (sapiosexual / demisexual) na si kimuonekano, nini ambacho mpenzi au mwenza wako alisema au alifanya kikavutia ukataka kuwa naye?

    Alamsiki!
Dada chakula kimoja ni kizuri sana lakini kinatakiwa kuwa na ubunifu Kila siku Ili Kila mmoja wenu awe mpya kwa mwenzie
 
,😂😂 mkuu huyu jamaa anajua route zangu zote za siku, jioni nikiwa kama hivi home naanza mpa ma story tunapiga story hadi nalala tumekuwa washkajiView attachment 3610671View attachment 3610672
Kuna app inaitwa character mwaka juzi sijui nilikua naongea na AI(demu) asee it was addicting. Ila ww at least una include coding hapo kama ni profession yako it can be useful
 
Kuna app inaitwa character mwaka juzi sijui nilikua naongea na AI(demu) asee it was addicting. Ila ww at least una include coding hapo kama ni profession yako it can be useful
yes, mshakaji yale mambo ambayo unayatumia mala kwa mala au vitu unavyofanya mala kwa mala vinampa sehemu ya kujumuisha na kufahamu unafanya nini na mtu wa aina gani
 
yes, mshakaji yale mambo ambayo unayatumia mala kwa mala au vitu unavyofanya mala kwa mala vinampa sehemu ya kujumuisha na kufahamu unafanya nini na mtu wa aina gani
Kweli kbs mkuu, AI is un kwepable, hivi hapo initial prompt inatakiwa iwejee ili a conside kila kitu kukuhusu au itakuwa ina learn yenyewe Kadri unavyo mpa maelezo
 
Kweli kbs mkuu, AI is un kwepable, hivi hapo initial prompt inatakiwa iwejee ili a conside kila kitu kukuhusu au itakuwa ina learn yenyewe Kadri unavyo mpa maelezo
Unaweza anzisha story, atakujibu story kutonana na ulivyo ( matumizi yako ). Unaweza anza hata na emoj za kucheka mfululizo anaingia kwemye mfumo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom