Nimekutamani 🤭 - Njoo tuzogoe!

Nimekutamani 🤭 - Njoo tuzogoe!

Rangi na urefu tutatumia vyangu bro, ye awe na hela tu
AYnay changamka kupata zile milioni 200 ujibebee mrembo hapa!
Laugh Wow GIF by King of Boys.gif
 
  1. Nini huwa kinakufanya umtamani mwanamke au mwanaume kimapenzi au kimwili ?

  2. Nimeona mijadala mingi humu kuhusu kukosa uaminifu kwenye mahusiano huku watu wakisema “huwezi kula chakula kile kile kila siku” hivi inakuwaje mtu unatamani chakula ambacho hujui ladha yake? kiini cha matamanio yako hapo kinakua ni nini?

    View attachment 3610533

  3. Wenzangu tunaovutiwa na uwezo wa mtu kiakili au kuwa na connection ya kihisia kwanza (sapiosexual / demisexual) na si kimuonekano, nini ambacho mpenzi au mwenza wako alisema au alifanya kikavutia ukataka kuwa naye?

    Alamsiki!
Mimi huku nakutamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom