Nimekuta vidonge kwenye pochi ya mchumba

Nimekuta vidonge kwenye pochi ya mchumba

Kwa ajili ya kuingiza Mkunduni labda ana tatizo la Mgolo yaan Constipation anakunya mavi magumu sana hali matunda kwa wingi na vyakula vywenye nyuzi nyuzi
Mkuu, anusol suppotiries nazijua zina mfanano huo hata paracetamol suppotiries zina mfanano huo so kwa kua jamaa hajui which is which itoshe kusema hiyo ni probably anusol au gynex v pess
 
'Suppostori', ni pain killer ama ni dawa za kuua fungus za ukeni.

Hazimezwi, hutumika kwa kupachikwa ukeni.

Dawa za namna hiyo pia hutumika kupachika sehemu ya haja kubwa kwa watoto wenye degedege.

Kwa huyo 'mkeo' kuna mawili, aidha anajitibu fungus au kupunguza maumivu.
I bet itakua fungus.
 
Tumsifu yesu kristo./ asalama leko
wakuu juzi kati nilikua kwa mchumba wangu. kulikua na mvua siku hiyo nikaomba aniwekee simu kwenye pochi yake.

Ukawa muda umepita tumefika nyumbani sikuchukua simu kwa wakati. so pochi akawa ameiweka kabatini ile nachukua naenda kuchukua simu nikaona vidonge vikubwa vikubwa vigumu na haviko na unga kama vidonge vya kawaida kwa shape vipo kama TORPEDO. vimekaa kwa mstari vinene😳😳
mwili wote ulisisimka niliiba kimoja nikichunguze sijui nilidondosha wapi haki hata hamu ya kugonga ilinikata

Na hajawai kuniambia anachangamoto nimeondoka sasa ila kumbu kumbu ipo kichwani nimeenda kupima afya mimi nipo vizuri

Yangu ni hayo tuwe tunawachunguza kabla na kupima afya kabla ya kulala nae na kama kuna mtu anajua hivyo vidonge kazi yake aniambie maana naogopa hata kuuliza vipo vimeandika CYNEX TORPEDO kama sijakosea aisee
View attachment 3447496
vidonge aina ya CYNEX hutumika kitaalamu kutibu hali zinazohusiana na kutokwa kwa damu nyingi, kama vile hedhi nzito au bleeding kwenye matibabu mbalimbali.
 
Tumsifu yesu kristo./ asalama leko
wakuu juzi kati nilikua kwa mchumba wangu. kulikua na mvua siku hiyo nikaomba aniwekee simu kwenye pochi yake.

Ukawa muda umepita tumefika nyumbani sikuchukua simu kwa wakati. so pochi akawa ameiweka kabatini ile nachukua naenda kuchukua simu nikaona vidonge vikubwa vikubwa vigumu na haviko na unga kama vidonge vya kawaida kwa shape vipo kama TORPEDO. vimekaa kwa mstari vinene😳😳
mwili wote ulisisimka niliiba kimoja nikichunguze sijui nilidondosha wapi haki hata hamu ya kugonga ilinikata

Na hajawai kuniambia anachangamoto nimeondoka sasa ila kumbu kumbu ipo kichwani nimeenda kupima afya mimi nipo vizuri

Yangu ni hayo tuwe tunawachunguza kabla na kupima afya kabla ya kulala nae na kama kuna mtu anajua hivyo vidonge kazi yake aniambie maana naogopa hata kuuliza vipo vimeandika CYNEX TORPEDO kama sijakosea aisee
View attachment 3447496
Kwa msaada wa mimi age-go. Si huwa mnasema sisi ni wajomba hatujui mitandao haya shika jibu hilo.
 

Attachments

  • Screenshot_20250821_203759_Chrome.jpg
    Screenshot_20250821_203759_Chrome.jpg
    255.9 KB · Views: 20
Watu Kweli ni wavivu siku hizi, then Hivi wewe kweli Ni MWanaume ? Yaani unawoga hata wa Kumuuliza Mkeo, Kwamba My Love nimeona Vidonge kwenye Pochi yako unaweza kunieleza ni kwa matumizi gani ? .... si hivyo tu unapatajibu ..... au chukua jina la vidonge ingia Google unapata jibu, au piga picha, nenda kwenye duka lolote la dawa waulize Unapata jibu ..... lakini waaaapiiii ..... siku moja mtu atauliza

" Wadau nina miaka 40 na leo nimegundua nina tundu Matakoni hivi hili tundu kila mtu analo na linaitwaje ? )
Kwa Uvivu huu maswali kama haya yanakuja wadau.......
🤣🤣🤣
 
mmh lkn hata angesema tu mi sina noma mbona siwezi lazimisha kupiga mtu ako anatoka damu bro ningemuonea uruma kumeza midonge vikubwa vile
Kwanza za kuzuia bleeding tunazijua sio hizo
Hizo zina kusudi jingine kabisa
 
Dawa zinazotumika kwa kupitia njia ya haja kubwa , ziko za matumizi tofaut mfano kutibu bawasiri, dawa za maumivu na kulainisha choo
View attachment 3447434
Haja kubwa ni anusol zinaingizwa tunduni, hizi za manzi ni cynex za kuingiza kwenye uke..
Nasubiri malaya waje hapa watoe majibu ila naona wamebunda tu kama vile hii issue hawaijui kumbe ndio msingi wao
 
Mgeni NI wimbo wa late Capt John Komba wenye maudhui ya ukimwi enzi hizo .
sijakuelewa madam una maanisha mimi kuwa mimi mgeni??
Mkuu hivyo vidonge NI bomu wanadada wasokomeza kwenye kum.a na mikund u Yao au urethra Kwa lengo la kuzuia mimba
 
H

Hizo zitakua ni GYNEX PESSARIES ni combination ya Clotrimazole+Miconazole ni kwa ajili ya matibabu ya Vaginal infections like Vaginal candidiasis, Trichomoniasis, Bacterial vaginosis.
Hapa umeua na hilo ndilo jibu lake,,
Ongezea pia kuwa hutumiwa sana na wauza uchi
 
Tumsifu yesu kristo./ asalama leko
wakuu juzi kati nilikua kwa mchumba wangu. kulikua na mvua siku hiyo nikaomba aniwekee simu kwenye pochi yake.

Ukawa muda umepita tumefika nyumbani sikuchukua simu kwa wakati. so pochi akawa ameiweka kabatini ile nachukua naenda kuchukua simu nikaona vidonge vikubwa vikubwa vigumu na haviko na unga kama vidonge vya kawaida kwa shape vipo kama TORPEDO. vimekaa kwa mstari vinene😳😳
mwili wote ulisisimka niliiba kimoja nikichunguze sijui nilidondosha wapi haki hata hamu ya kugonga ilinikata

Na hajawai kuniambia anachangamoto nimeondoka sasa ila kumbu kumbu ipo kichwani nimeenda kupima afya mimi nipo vizuri

Yangu ni hayo tuwe tunawachunguza kabla na kupima afya kabla ya kulala nae na kama kuna mtu anajua hivyo vidonge kazi yake aniambie maana naogopa hata kuuliza vipo vimeandika CYNEX TORPEDO kama sijakosea aisee
View attachment 3447496
Bawasiri, mfariji anapata maumivu makali
 
Kama jinga vile! Hivi hili ni jambo la kuleta mtandaoni na una picha na jina ya dawa! Pathetic🚮
Asingeleta ungepata wapi wasaa wa kumtukana na hilo komwe lako kama kibaraza cha ficha bati?
 
Back
Top Bottom