Bwana Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 4,337
- 9,378
Suppository ni muundo wa dawa inayotumika kawa njia ya haja kubwa zipo paracetamol, diclofenac, dawa kwa ajili ya bawasiri mfano anusol hii ni brand name nyingine ni pylocaineHaja kubwa ni anusol zinaingizwa tunduni, hizi za manzi ni cynex za kuingiza kwenye uke..
Nasubiri malaya waje hapa watoe majibu ila naona wamebunda tu kama vile hii issue hawaijui kumbe ndio msingi wao
Pessaries zinatumika kwa njia ya uke inaweza kuwa dawa ya fangus au antibiotic.