Nimekuta vidonge kwenye pochi ya mchumba

Nimekuta vidonge kwenye pochi ya mchumba

Kupiga demu kavu kwa Zama hzi ni moja ya ujasiri wa hovyo hasa Kwa nchi kama Tanzania iliyopo kwenye top ten ya VVU Worldwide , na victim wakubwa ni hawa mabinti below 26 , kupiga kavu jilipue Kwa mke wako tuu
Kwel kabisa,yaan ni bora kutofanya mapenz kabisa kama huwez kutumia kondom
 
Tumsifu yesu kristo./ asalama leko
wakuu juzi kati nilikua kwa mchumba wangu. kulikua na mvua siku hiyo nikaomba aniwekee simu kwenye pochi yake.

Ukawa muda umepita tumefika nyumbani sikuchukua simu kwa wakati. so pochi akawa ameiweka kabatini ile nachukua naenda kuchukua simu nikaona vidonge vikubwa vikubwa vigumu na haviko na unga kama vidonge vya kawaida kwa shape vipo kama TORPEDO. vimekaa kwa mstari vinene😳😳
mwili wote ulisisimka niliiba kimoja nikichunguze sijui nilidondosha wapi haki hata hamu ya kugonga ilinikata

Na hajawai kuniambia anachangamoto nimeondoka sasa ila kumbu kumbu ipo kichwani nimeenda kupima afya mimi nipo vizuri

Yangu ni hayo tuwe tunawachunguza kabla na kupima afya kabla ya kulala nae na kama kuna mtu anajua hivyo vidonge kazi yake aniambie maana naogopa hata kuuliza vipo vimeandika CYNEX TORPEDO kama sijakosea aisee
View attachment 3447496
Angalia vizuri kama kuna jina lingine la Piroxicam 20mg, ambazo ni anti-pains and anti-inflammatory.
 
Hyo itakuwa dawa ya injections wa mku...ndu...ni...yawezekana ana fungus
 
Tumsifu yesu kristo./ asalama leko
wakuu juzi kati nilikua kwa mchumba wangu. kulikua na mvua siku hiyo nikaomba aniwekee simu kwenye pochi yake.

Ukawa muda umepita tumefika nyumbani sikuchukua simu kwa wakati. so pochi akawa ameiweka kabatini ile nachukua naenda kuchukua simu nikaona vidonge vikubwa vikubwa vigumu na haviko na unga kama vidonge vya kawaida kwa shape vipo kama TORPEDO. vimekaa kwa mstari vinene😳😳
mwili wote ulisisimka niliiba kimoja nikichunguze sijui nilidondosha wapi haki hata hamu ya kugonga ilinikata

Na hajawai kuniambia anachangamoto nimeondoka sasa ila kumbu kumbu ipo kichwani nimeenda kupima afya mimi nipo vizuri

Yangu ni hayo tuwe tunawachunguza kabla na kupima afya kabla ya kulala nae na kama kuna mtu anajua hivyo vidonge kazi yake aniambie maana naogopa hata kuuliza vipo vimeandika CYNEX TORPEDO kama sijakosea aisee
View attachment 3447496
Ahsante kwa picha 🙏


Hicho ulichopiga picha siyo kidonge cha kumeza (tablet), bali ni suppository (torpedo) – dawa inayowekwa sehemu ya haja kubwa (rectum) au wakati mwingine uke, kulingana na aina ya dawa.


  • Zinaitwa torpedo kwa sababu ya umbo lake kama kombora dogo.
  • Hutumika pale ambapo mtu hawezi kumeza dawa, ana kutapika sana, au dawa inafanya kazi haraka zaidi kupitia njia hiyo.
  • Ndani yake kuna dawa iliyoyeyushwa kwenye mafuta ya kakaobutter au glycerin ambayo huyeyuka mwilini baada ya kuingizwa.

Kwa hiyo, Cynex Torpedo ni aina ya suppository, siyo kidonge cha kawaida cha kumeza.
Ili nijue vizuri zaidi inatibu nini (maumivu, homa, minyoo, au kingine), ningehitaji kuona kifurushi chake au kujua kiambato kikuu (active ingredient).


Unataka nikutafutie moja kwa moja matumizi ya Cynex Torpedo (kama ni ya homa, maumivu au mengineyo)?
 
Tumsifu yesu kristo./ asalama leko
wakuu juzi kati nilikua kwa mchumba wangu. kulikua na mvua siku hiyo nikaomba aniwekee simu kwenye pochi yake.

Ukawa muda umepita tumefika nyumbani sikuchukua simu kwa wakati. so pochi akawa ameiweka kabatini ile nachukua naenda kuchukua simu nikaona vidonge vikubwa vikubwa vigumu na haviko na unga kama vidonge vya kawaida kwa shape vipo kama TORPEDO. vimekaa kwa mstari vinene😳😳
mwili wote ulisisimka niliiba kimoja nikichunguze sijui nilidondosha wapi haki hata hamu ya kugonga ilinikata

Na hajawai kuniambia anachangamoto nimeondoka sasa ila kumbu kumbu ipo kichwani nimeenda kupima afya mimi nipo vizuri

Yangu ni hayo tuwe tunawachunguza kabla na kupima afya kabla ya kulala nae na kama kuna mtu anajua hivyo vidonge kazi yake aniambie maana naogopa hata kuuliza vipo vimeandika CYNEX TORPEDO kama sijakosea aisee
View attachment 3447496
Ni vidonge kwa uzazi wa mpango. Siyo vya kunywa wanatumia kuingiza ku.....ni.
 
Back
Top Bottom