ewaaaa asante sana nina amani sasa halooo mweee wanawake mtatuua kwa peesha muwe mnasema saa hii nina tatizo hiliRelief: Torpedo SP Tablet relieves mild to moderate pain, such as headaches, toothaches, and post-surgical pain, effectively controlling numerous acute pain disorders. Anti-Inflammatory: Torpedo SP Tablet also serves to reduce swelling.8 Aug 2025 Leonce jr
ndioo hiii kabisa mkuuu iko hivi hivi ko anadumbukiza matakoni auDawa zinazotumika kwa kupitia njia ya haja kubwa , ziko za matumizi tofaut mfano kutibu bawasiri, dawa za maumivu na kulainisha choo
View attachment 3447434
Hizo zitakua ni GYNEX PESSARIES ni combination ya Clotrimazole+Miconazole ni kwa ajili ya matibabu ya Vaginal infections like Vaginal candidiasis, Trichomoniasis, Bacterial vaginosis.CYNEX TORPEDO
Kwa hiyo picha aliyoweka haiwezi kuwa Torpedo SP tablet. Picha inaonesha hiyo dawa ina shape ya pessary au suppository(inatumika kwa kuchomekwa kwenye vagina/anus).Relief: Torpedo SP Tablet relieves mild to moderate pain, such as headaches, toothaches, and post-surgical pain, effectively controlling numerous acute pain disorders. Anti-Inflammatory: Torpedo SP Tablet also serves to reduce swelling.8 Aug 2025 Leonce jr
Na hili ndio jibu lake nje ya jibu hili utaambiwa majibu ya uongo.Dawa zinazotumika kwa kupitia njia ya haja kubwa , ziko za matumizi tofaut mfano kutibu bawasiri, dawa za maumivu na kulainisha choo
View attachment 3447434
bora huyo kuna demu alikuja kwangu ana begi lina vidonge nikajua famasia MSDChangamoto zakazi
Mamdogooooooooo..!!painkiller hiyo yenye jishepu lile ni ipi hiyo???sasa mtu asitembee hata na pain killer 😀😀
Ndio hivindioo hiii kabisa mkuuu iko hivi hivi ko anadumbukiza matakoni au
Mgeni Huyuu...Balaaa......!!Mgeni huyoo ameingiiia mgenii mgenii mgeniiii iiii mgeeeeniiii
Wewe mbona mjinga sana ndio unatarajiwa uje kuitwa baba? Mwanamke yupo kinachofanya ushindwe kumuuliza ni nini? Hivyo sio vidonge vya Ukimwi.sijui pain killer znazijua kama unajua niambie haloo natamani kumuuliza lkn nashindwa
Itakua Ni nurse 😁bora huyo kuna demu alikuja kwangu ana begi lina vidonge nikajua famasia MSD
mimi sio mjinga mkuu. halafu sipo nishaondoka nipo mbali nae nimekumbuka tu. hata hivyo sio lazima kujibuWewe mbona mjinga sana ndio unatarajiwa uje kuitwa baba? Mwanamke yupo kinachofanya ushindwe kumuuliza ni nini? Hivyo sio vidonge vya Ukimwi.
Mgeni huyoo ameingiiia mgenii mgenii mgeniiii iiii mgeeeeniiii
JF kituo cha ushauri nasaha, JF ianze kutoza kila uzi wa kuomba ushauri, halafu kila senti igaiwe kwa watoa ushauri.Watu Kweli ni wavivu siku hizi, then Hivi wewe kweli Ni MWanaume ? Yaani unawoga hata wa Kumuuliza Mkeo, Kwamba My Love nimeona Vidonge kwenye Pochi yako unaweza kunieleza ni kwa matumizi gani ? .... si hivyo tu unapatajibu ..... au chukua jina la vidonge ingia Google unapata jibu, au piga picha, nenda kwenye duka lolote la dawa waulize Unapata jibu ..... lakini waaaapiiii ..... siku moja mtu atauliza
" Wadau nina miaka 40 na leo nimegundua nina tundu Matakoni hivi hili tundu kila mtu analo na linaitwaje ? )
Kwa Uvivu huu maswali kama haya yanakuja wadau.......
Kweli mkuuKupiga demu kavu kwa Zama hzi ni moja ya ujasiri wa hovyo hasa Kwa nchi kama Tanzania iliyopo kwenye top ten ya VVU Worldwide , na victim wakubwa ni hawa mabinti below 26 , kupiga kavu jilipue Kwa mke wako tuu