Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,313
mkuu sorry hapo juu nimekosea kuandika wew c dada, samahani ni makosa ya kiuandishi plzTeh teh hapana Sheikh nilichukua tu baraka zote kwa bibi na babu
mkuu sorry hapo juu nimekosea kuandika wew c dada, samahani ni makosa ya kiuandishi plzTeh teh hapana Sheikh nilichukua tu baraka zote kwa bibi na babu
asante wangu mpaka nimelia khaa!!!!
Mweeeh ngoja niwaache maana mimi bibi alinihusia ,chochote utakachofanya baada ya saa sita usiku ni evil ,matokeo yake ndio haya tena ya kuitwa dada na mbele yake kufuatiwa na neno zigo utata mtupu ..teh teh !alimaanisha dah!!
mkuu nimeomba msamaha hapo juu plzAstakafirulahi ,dada tena ??
Teh usijali mkuu najua ni hizi keyboard zetu ,ukiandika neno kabla hujamalizia lenyewe lishamalizia ,sasa usipokua makini ndio vioja hivyo hutokeamkuu nimeomba msamaha hapo juu plz
asante ni kweli ndivyo nilitaka kuandikaalimaanisha dah!!
hahahaha mkuuu cna mbavu, acha hayo bhana ni makosa ya kibindam bhana cwajua haya matouch mkuu?Mweeeh ngoja niwaache maana mimi bibi alinihusia ,chochote utakachofanya baada ya saa sita usiku ni evil ,matokeo yake ndio haya tena ya kuitwa dada na mbele yake kufuatiwa na neno zigo utata mtupu ..teh teh !
shukrani kunielewa mkuu, c nia yangu kimharibia mtu usikuTeh usijali mkuu najua ni hizi keyboard zetu ,ukiandika neno kabla hujamalizia lenyewe lishamalizia ,sasa usipokua makini ndio vioja hivyo hutokea
Teh teh mkuu mimi nafurahisha jukwaa tu wala hakuna kitu personal hapa ,,naogopa kuendelea kubaki hapa nitakuja kumfuata Pm burehahahaha mkuuu cna mbavu, acha hayo bhana ni makosa ya kibindam bhana cwajua haya matouch mkuu?
tumpe dada kampani bhana tuko wengi tunaoumia ka yeye wengine pia tuna miezi tuko mbali na hivi vitu!!!
Pole mwaya.... yatapita tuasante wangu mpaka nimelia khaa!!!!
khaa huyo wako ni ke mwenzio au!hapana siwezi fanya hivyo,unajua wanaume sijui hata wapoje
hahaha but anapoelekea maelezo ni ya dume maana asa hamjui mwanaumeTeh teh mkuu mimi nafurahisha jukwaa tu wala hakuna kitu personal hapa ,,naogopa kuendelea kubaki hapa nitakuja kumfuata Pm bure
Kumbe na wewe huwaga unamisi....Yaan huyu mwanaume nimemmiss hadi nahisi kuzima jamani,sijui hata nifanyeje long distance inaniumiza ,kwa vile nampenda hakuna jinsi japo ajue naumia jamani mi ni binadamu kha!!!!sio robot
ngoja nijilalie mie
nawatakia usiku mwema
Ndio....!!!Watu na mapenzi yao...jambo we binti
..wakati wewe unajilia kwa raha zako kila ukijisikia[emoji1] yeye analia kwa kuwa mpweke[emoji21]. Tumuombee shetani asimpitie...Pole mwaya.... yatapita tu
Inafanya kazi kabisaHivi hii kitu ya long distance inafanyaga kazi kweli?