Nimekumiss hadi nahisi kuumwa jamani

Nimekumiss hadi nahisi kuumwa jamani

Mimi hiyo longi disitensi tredi imeishanishinda siku nyingi nikiwa mbali lazima nipinde kushoto.
mkuu ukipinda hutafaidi bora uvumilie ck mkionana na mpenzi wako dah acha tu
 
Yaan huyu mwanaume nimemmiss hadi nahisi kuzima jamani,sijui hata nifanyeje long distance inaniumiza ,kwa vile nampenda hakuna jinsi japo ajue naumia jamani mi ni binadamu kha!!!!sio robot
ngoja nijilalie mie
nawatakia usiku mwema
Mtaje jina tukusaidie kumtafuta, then tukuletee hapo ulipo
 
pole shosti lala ...au usingizi umepotea... yupo kwangu sikuhizi ......@Dinazarde msahau kabisa.
 
Yaan huyu mwanaume nimemmiss hadi nahisi kuzima jamani,sijui hata nifanyeje long distance inaniumiza ,kwa vile nampenda hakuna jinsi japo ajue naumia jamani mi ni binadamu kha!!!!sio robot
ngoja nijilalie mie
nawatakia usiku mwema
Tuliza presha................................ nakuja siku za Easter/pasaka!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom