Nimekumiss hadi nahisi kuumwa jamani

Nimekumiss hadi nahisi kuumwa jamani

Mkuu wengine vijukuu vya mtume ,hatuna pesa ila ndio hivyo tena ,hunyimwi vyote
hahaha kweli naskia wapo wenye kaharufu flani vicheche wakinusa wanajileta wenyewe, nawe unacho nini mkuu?
 
hahaha kweli naskia wapo wenye kaharufu flani vicheche wakinusa wanajileta wenyewe, nawe unacho nini mkuu?
Teh teh hapana Sheikh nilichukua tu baraka zote kwa bibi na babu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom