Nimekumiss hadi nahisi kuumwa jamani

Nimekumiss hadi nahisi kuumwa jamani

Yaan huyu mwanaume nimemmiss hadi nahisi kuzima jamani,sijui hata nifanyeje long distance inaniumiza ,kwa vile nampenda hakuna jinsi japo ajue naumia jamani mi ni binadamu kha!!!!sio robot
ngoja nijilalie mie
nawatakia usiku mwema
huna lolote unahamu tu usiku wa leo we sema nije nikutoe hizo hamu
 
teh! teh! kurukaruka kwa maharahe ndo kuiva kwake, vumilia hiyo hali, b'day yako lini nikuzawadie kifuniko cha bati

mi sifanyagi birthday naonaga hainaga umuhimu
 
huna lolote unahamu tu usiku wa leo we sema nije nikutoe hizo hamu

sio hamu Tu vingi namiss kutoka kwake,ambavyo hunibembeleza,nalala kifuani kwake sio ngono tu
 
Yaan huyu mwanaume nimemmiss hadi nahisi kuzima jamani,sijui hata nifanyeje long distance inaniumiza ,kwa vile nampenda hakuna jinsi japo ajue naumia jamani mi ni binadamu kha!!!!sio robot
ngoja nijilalie mie
nawatakia usiku mwema
Nakushauri usisome zile hadithi za mambo yetu
 
Mfate tu. Ila pia,unashauriwa utumie dawa maumivu yakizidi muone daktari. Tafuta kakijana kengine kawe dawa yako huku unamsubiria daktari. Pole na ugua vyema na dawa ikusaidie
khaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom