Nimekumiss hadi nahisi kuumwa jamani

Nimekumiss hadi nahisi kuumwa jamani

Mi navyojua sio wanaume tu hata wanawake pia wapo ambao hawawezi kukaa muda mrefu bila kuwa na wapenzi wao. Hivyo tabia hizo ni za kujiendekeza tu wala hazina uhusiano na maumbile
Zina uhusiano na maumbile mama ,kuna wanawake mpaka uamshe hisia zao umefanya kazi kubwa ,ila kuna mwingine ukitia ulimi tu kwenye sikio umemaliza kazi , na ndio maana nikasema nirahisi sana kwa mwanamke kuvumilia kuliko mwanaume ,mwanaume akiona tu mstari wa pichu ama upaja kichwa cha chini inakua tatizo na kutokana na udhaifu huo ni rahisi sana mwanaume kufanya asiyo yategemea
 
Hakuna mahali popote nimetaja stranger ,rafiki zako hawawezi kuwa stranger kwako inaweza ikawa ni rafiki zako unaofanya nao kazi ama uliosoma nao mnakutana ,

Unapokua club kwa hizo starehe zako ndio akaomba kucheza na wewe mnacheza nyimbo kama hiyo ya Marvin Gaye the guy is whispering in your ears ,mikono yake ipo kwenye kiuno inafanya movement ya kutoka kwenye tumbo mpaka kwenye nyonga ,ama you face each other your breasts are touching his chest na mdomo wake kauweka kwenye shingo yako huku mikono ikiwa inapanda kutoka mgongoni mpaka kwenye hips ,hapo akili za kawaida zinakua hazifanyi kazi ni hisia tu ,halafu uniambie mwanamke naye date naye yupo weak ? Mwee labda wewe hisia zako zipo kwenye kisigino
Kwakweli zipo kwenye kisigino....urafiki nje ya eneo la kazi,au shule?urafiki gani huo? Na kutoka kwangu kote sijawahi kutoka na rafiki wa kiume,the only man I go out with is my hitter...hakuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke mazoea mpaka kutoka ya nini....kwahio wewe baby wako ana marafiki wa kiume wa kutoka nao?
Haya maisha sio kila mtu aishi kama wengine wanavyo ishi,upo hapo
 
Kwakweli zipo kwenye kisigino....urafiki nje ya eneo la kazi,au shule?urafiki gani huo? Na kutoka kwangu kote sijawahi kutoka na rafiki wa kiume,the only man I go out with is my hitter...hakuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke mazoea mpaka kutoka ya nini....kwahio wewe baby wako ana marafiki wa kiume wa kutoka nao?
Haya maisha sio kila mtu aishi kama wengine wanavyo ishi,upo hapo
Ndio ana marafiki wa kiume ,mtu gani anaishi dunia hii hana marafiki wa kiume ama wa kike ?? Tuache kuongopeana bana ,kwa hiyo unaofanya nao kazi hamna wanaume ?? ama unaposoma hakuna wanaume ?Kama unakaa na wanaume hawa kusemeshi utakua na matatizo ,mtu yupo miles away halafu nianze tu kumpangia nini cha kufanya na watu wakua nao inawezekana ?? Ndio maana uongo ni dhambi moja kubwa sana hapa duniani
Nikiwa nae karibu naweza kidogo kumonitor sio hayo mambo ya long distance
Or else utakua lesbo ama psychologically traumatized
 
Ndio ana marafiki wa kiume ,mtu gani anaishi dunia hii hana marafiki wa kiume ama wa kike ?? Tuache kuongopeana bana ,kwa hiyo unaofanya nao kazi hamna wanaume ?? ama unaposoma hakuna wanaume ?Kama unakaa na wanaume hawa kusemeshi utakua na matatizo ,mtu yupo miles away halafu nianze tu kumpangia nini cha kufanya na watu wakua nao inawezekana ?? Ndio maana uongo ni dhambi moja kubwa sana hapa duniani
Nikiwa nae karibu naweza kidogo kumonitor sio hayo mambo ya long distance
Or else utakua lesbo
Hahahaa, duh kwahio gurl wako anatoka weekend na marafiki zake wa kiume?asee mimi hii ni ajabu kwangu...
Nielewe nimesema wanaume nainteract nao maeneo husika baada ya hapo kila mtu hamsini zake...tumeshinda wote kazini siku nzima inatosha kuinteract,tuna magrup watsap inatosha pia,misiba harusi sawa lakini siwezi kutoka nao,okei that's me...tuishie hapa ila jua maisha watu wanaishi tofauti usikariri....
 
Ndio ana marafiki wa kiume ,mtu gani anaishi dunia hii hana marafiki wa kiume ama wa kike ?? Tuache kuongopeana bana ,kwa hiyo unaofanya nao kazi hamna wanaume ?? ama unaposoma hakuna wanaume ?Kama unakaa na wanaume hawa kusemeshi utakua na matatizo ,mtu yupo miles away halafu nianze tu kumpangia nini cha kufanya na watu wakua nao inawezekana ?? Ndio maana uongo ni dhambi moja kubwa sana hapa duniani
Nikiwa nae karibu naweza kidogo kumonitor sio hayo mambo ya long distance
Or else utakua lesbo ama psychologically traumatized
Alafu hio ni life style yangu sio mwanaume kanipangia...huwezi kumonitor mtu kijana usijidanganye..mbona nyie bado huwa mnatendwa?haya mambo hayana formula my dear we ishi unavyoweza...
 
Hahahaa, duh kwahio gurl wako anatoka weekend na marafiki zake wa kiume?asee mimi hii ni ajabu kwangu...
Nielewe nimesema wanaume nainteract nao maeneo husika baada ya hapo kila mtu hamsini zake...tumeshinda wote kazini siku nzima inatosha kuinteract,tuna magrup watsap inatosha pia,misiba harusi sawa lakini siwezi kutoka nao,okei that's me...tuishie hapa ila jua maisha watu wanaishi tofauti usikariri....
Mimi ndio naposhindwa kuwaelewa wanawake kila siku mnalia haki sawa ,mimi nimeheshimu hilo nimempa uhuru wa kujiamulia mambo yake badala yake naonekana lofa ,ukimkazia oh jamaa old fashioned sana ,mimi sina mwanamke ambaye tupo miles away nayemwita baby ,baby ni ukiwa next to me ,tofauti na hapo ,she is just a woman i know
 
Kumbe na wewe huwaga unamisi....
Kuna namna mbali mbali unaweza kufanya kupunguza upweke.

1. Skype chat naye kwa sana,
2. Jiweke bize na kazi/shule.
3. Anzisha activity ya kukuweka bize kwa mfamo Gym, Evening class e.t.c


... Au nitafute nikupe kampani.[emoji41] [emoji41]
... Au mfate huko aliko [emoji23]

kwanini nisimiss,mi sio Robot bana
kuchart na nachart nae kila siku,
nipo nasoma na mazoezi nafanya pia kila jioni,lakin Kuna muda nakosa raha najiona mpweke nakimfikiria natamani niwe pembeni yake

haya banaa nashindwa kumaliziaa
 
Alafu hio ni life style yangu sio mwanaume kanipangia...huwezi kumonitor mtu kijana usijidanganye..mbona nyie bado huwa mnatendwa?haya mambo hayana formula my dear we ishi unavyoweza...
Sasa kumbe unajua hayana formula kumbe mda wote tulikua tunajadili nini ? Mimi sijakupangia uishi maisha nayotaka ,mada hapa ilikua ni long distance na kila mtu kachangia kwa anacho kiamini sio vinginevyo
 
Mimi ndio naposhindwa kuwaelewa wanawake kila siku mnalia haki sawa ,mimi nimeheshimu hilo nimempa uhuru wa kujiamulia mambo yake badala yake naonekana lofa ,ukimkazia oh jamaa old fashioned sana ,mimi sina mwanamke ambaye tupo miles away nayemwita baby ,baby ni ukiwa next to me ,tofauti na hapo ,she is just a woman i know
Yes,hapo nimekuelewa hakuna mwanaume mwenye akili zake timamu amruhusu mpenziwe atoke na wanaume wengine,unless he doesn't care...otherwise ni lofa tu,mwanaume wa hivyo ntamuacha siwezi ni kama si date mtu hapo..
Nilikuwa naeleweshana na mtu ambaye haamini kuhusu relationship, now nimekuelewa...
 
Sasa kumbe unajua hayana formula kumbe mda wote tulikua tunajadili nini ? Mimi sijakupangia uishi maisha nayotaka ,mada hapa ilikua ni long distance na kila mtu kachangia kwa anacho kiamini sio vinginevyo
Oyooo usipanic nilimaanisha my man hanipangii hayo maisha sababu tu tupo mbali ni maamuzi yangu mimi...relax usome vizuri..
 
Yes,hapo nimekuelewa hakuna mwanaume mwenye akili zake timamu amruhusu mpenziwe atoke na wanaume wengine,unless he doesn't care...otherwise ni lofa tu,mwanaume wa hivyo ntamuacha siwezi ni kama si date mtu hapo..
Nilikuwa naeleweshana na mtu ambaye haamini kuhusu relationship, now nimekuelewa...
Na ndio maana mimi nadharia ya long distance kwangu haifanyi kazi kwa sababu sipo nae na siwezi kumwamulia cha kufanya wether its the company she keeps au chochote atakacho jiamulia ,ila ukiwa karibu na mimi kuna mambo naweza kidogo kumonitor ,maana mwanadamu ni mwanadamu tu hata awe under 24/7 surveillance akiamua kufanya jambo atafanya tu
 
Oyooo usipanic nilimaanisha my man hanipangii hayo maisha sababu tu tupo mbali ni maamuzi yangu mimi...relax usome vizuri..
Duu sasa nipanic kwa sababu ipi ??
Yeah ni maamuzi yako wala hamna pahala nimekataa sio maamuzi yako
 
Hiii long distance luv naisikia kwa majirani zangu tuuh.but siipendi.
 
Duu sasa nipanic kwa sababu ipi ??
Yeah ni maamuzi yako wala hamna pahala nimekataa sio maamuzi yako
Nimeona umeanza kwenda nje ya mada,haya yaishe tumemaliza mjadala,tunatofautiana ndio maisha na yote yanawezekana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom