........nimekukumbuka sana :'(

........nimekukumbuka sana :'(

Babu natambua uwepo wako....
Naona Mkongwe mwenzio Mbu katurejesha....
Kweli tusiziache nyakati zitupite hadi tuanze kujuta kama huyu mkongwe mwenzio babu Major Dc


Unajua nini,

Huyu swahiba kasahahu kitu kimoja, kwamba wakongwe hawatupani...tena kwenye yale mambo yanayotishia uhai wa mwenzao...

Basi Mbu arudi kwenye club ili wakongwe wampige tafu arejeshe furaha yake...

Why not?

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Hahaha memory card zinakuwaga na makusudi mabaya! Yaani ndo maana unaweza jikuta imeirushiankwenye glass ya maji.

Tatizo la kuturn back the hands of time ni kuwa it will never be the same
.....kaka we acha tu, memory card yangu ime reboot na ku scan ma faili yote kichwani mwangu bila hata kujali mida, kha!
 
......salaam aleykum! ehh, swahiba Dark City ushamsoma King'asti hapo juu -it will never be the same-....

Au ndio King'asti asili yake pessimism? isijeikawa na kauli ya malenga, 'maji yakishamwagika,.....!'
 
Last edited by a moderator:
Eti? TIMING............ hivyo eeh? Lakini Soulmate Mbu keshakwambia kuwa siku hazigandi. But honestly, kwa heshma na taadhima ya Soulmate ninaomba kutoka nje ya mada kidooooogo (Angalau kupunguza hili wimbi la huzuni lililotanda katika hii thread yake)............. Seriously is it really? kuwa a woman in love husamehe na kuzika na kusahau machungu alotendewa au ndo kama asemavyo Mbu hapo kuwa she will take you half hearted? Mie sijawahi kurudia, ndio mana nauliza .........

.........duh, MwanajamiiOne, weye ukitoa Red card hata waje FIFA kazi buree?

Halafu dah, umenikumbusha mbaaali SRM na mambo ya 'kujipendelea muhimu!' .....mnh. raha jipe mwenyewe wallah, No Regrets at all!
 
Last edited by a moderator:
Shukrani Mkuu jouneGwalu nyuzi za Mbu ziko juu sana zinakufanya mtu kukaa chini na kutafakari mambo mbali mbali ya kimaisha. Ndio sababu zilikuwa zinapata michango mingi ya haja badala ya hii michango ya kisanii, labda Mkuu ndio anaashiria kurudi rasmi jamvini mara baada ya kumalizika mwezi mtukufu. Msalimie binti yetu Mkuu na mama pia.

hahahaha hiyo Mutu klorokwini nanadhani we ndio utuambie maana mlipotea kipindi kimoja tu, hao wadau wengine tupo nao japo kwa kunusanusa...... BelindaJacob tupo naye sana kwenye idara ya movie tukiongozwa na na mkuu BAK.
Hamna kinachoharibika hapa....
Rudi tafadhali kiongozi..... Nimezikumbuka sred zako nyiiingi
 
Last edited by a moderator:
Hahaha memory card zinakuwaga na makusudi mabaya! Yaani ndo maana unaweza jikuta imeirushiankwenye glass ya maji.

Tatizo la kuturn back the hands of time ni kuwa it will never be the same

Hebu acha unoko na wewe...

Watu kibao wamejaribu tena bahati zao na kuibuka na bingo za nguvu. Why not Mbu?
 
Last edited by a moderator:
......salaam aleykum! ehh, swahiba Dark City ushamsoma King'asti hapo juu -it will never be the same-....

Au ndio King'asti asili yake pessimism? isijeikawa na kauli ya malenga, 'maji yakishamwagika,.....!'

Swahiba wangu Mbu,

Huyo King'asti achana naye kabisa.....we will do it our way..

Kwani umesahau kwamba "no matter what, men sink and rise together"?

cc: Asprin, Kaizer, BAK, EMT, Mtambuzi, The Boss....

Na hawa wadogo zetu wanakaribishwa kwenye kikao (with no voting rights) ili wajichotee hekima za bure...
Fixed Point, Nyamayao, Kongosho, King'asti, MwanajamiiOne, teachers gfsonwin & sonwhite..

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Swahiba wangu Mbu,

Huyo King'asti achana naye kabisa.....we will do it our way..

Kwani umesahau kwamba "no matter what, men sink and rise together"?

cc: Asprin, Kaizer, BAK, EMT, Mtambuzi, The Boss....

Na hawa wadogo zetu wanakaribishwa kwenye kikao (with no voting rights) ili wajichotee hekima za bure...
Fixed Point, Nyamayao, Kongosho, King'asti, MwanajamiiOne, teachers gfsonwin & sonwhite..

Babu DC!!

.....halafu yule binamu mwingine The Finest kapotelea wapi aisee?
 
Last edited by a moderator:
babu Dark City mie nilipouona huu uzi wa Mbu nilisema tu jamani utu uzima dawa.

sikutaka kabisa kuchangia as kila nikivuta hisia namwona Mwanajamii one nikajisemea swaumu ya leo imebamba ile mbaya.

lakini King'asti kaongea point sana ingawa wewe umesema ni unoko but that is the reality sometimes.

myself naomba ni deklee interest kwamba haya ni mageni sana kwangu ngoja nijiondokee kama kaka yangu TANMO
 
Last edited by a moderator:
Never be the same...in a better way...i suppose!


Hahaha memory card zinakuwaga na makusudi mabaya! Yaani ndo maana unaweza jikuta imeirushiankwenye glass ya maji.

Tatizo la kuturn back the hands of time ni kuwa it will never be the same
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
haswaaaaaaaaaa...

Like swahiba Mbu said, if i could turn back the hand of time

Kila mmoja ana lake la kumbukumbu, ila miaka inatoka mita kuliko saa wallahi

I miss those days, so fresh, so sweet and soo beautiful

Nyamayao hujambo mama??

sijambo baba, aisee na wewe nimekumiss sana sana jamani! kwema baba?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ngoja niongezee kidogo...

Everyday of my life until forever
Is spoken for when you looked at
me.
Now that you're gone my life goes
on
But all of the heart is out of me.


And I've got time on my hands, you
on my mind.
No where to send all my love
And I'll be here waiting if you ever
change your plans
'Cause you own this time on my
hand.
Each mornin' I see the future
before me
Empty and as endless as the sky
I should be here to build life again
But I just can't find the reason
why.



While, I've got time on my hands,
you on my mind.
No where to send all my love,
I'll be here waiting if you ever
change your plans.
'Cause you own the time on my
hand...
 
my point is purely scientific. you cant sink and rise at the same point! Unless un-dip!
Hehehehe :noidea:

Ngoja nirudi shamba nikalimie mie. Saa ya kufturu nakuja na dera:wave:
Cc Asprin, Mbu, gfsonwin
Swahiba wangu Mbu,

Huyo King'asti achana naye kabisa.....we will do it our way..

Kwani umesahau kwamba "no matter what, men sink and rise together"?

cc: Asprin, Kaizer, BAK, EMT, Mtambuzi, The Boss....

Na hawa wadogo zetu wanakaribishwa kwenye kikao (with no voting rights) ili wajichotee hekima za bure...
Fixed Point, Nyamayao, Kongosho, King'asti, MwanajamiiOne, teachers gfsonwin & sonwhite..

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Hivi waweza zuia kujuta?
Nafikiri ukifanya yafuatayo hautajuta kama Mbu afanyavyo leo.

1. Tambua penzi la mwenzako
2. lithamini penzi lake pamoja na mazagazaga yake (muda, kujali, kujitoa etc)
3. Jitoe na wewe pengine zaidi yake (kupenda kama ilivyo kutoa kuna leta furaha zaidi kuliko kupendwa au kupokea)
4. Ishi naye kama vile leo ni siku ya mwisho kuwa naye
5. Kumbuka hakuna aliyemkamilifu, hivyo kusamehe na kubebeana mizigo iwe sehemu ya mapenzi.

back to you Mbu pole, wanasema majuto ni mjukuu; ila angalia isiwe sehemu ya maisha yako.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom