.
And you had enough love for the both of us But I, I, I did you wrong, I admit I did But now I'm facing the rest of my life alone, whoa....."
..... Umeona ee? Mwezi wa amani na upendo.....kutakiana mema na kusameheana.
Hivi, yule chalii klorokwini aliishia wapi? Nami humu MMU nishakuwa mgeni sasa...
Those days we'd kina Gaga, BelindaJacob na kisa cha "ameuteka moyo wangu," Nyamayao, LD na wengi wengineo hata kuwataja naogopa nisijeambiwa walishatangulia!...
khaaa, hahaha! hata mie bwana nimem miss klorokwini sana, na The Finest,maisha nayo yanatukimbiza haswaaa kuingia humu kama awali imekuwa ngumu, si unajua tunawatafutia na wenetu hela ya kuwalipia kodi ya simcard, bado huko vijijini kwa wazee wetu, sijui mjomba, bado kaka yake na baba, khaa Mbu maisha makali haswaa.
haswaaaaaaaaaa...khaaa, hahaha! hata mie bwana nimem miss klorokwini sana, na The Finest,maisha nayo yanatukimbiza haswaaa kuingia humu kama awali imekuwa ngumu, si unajua tunawatafutia na wenetu hela ya kuwalipia kodi ya simcard, bado huko vijijini kwa wazee wetu, sijui mjomba, bado kaka yake na baba, khaa Mbu maisha makali haswaa.
..... Umeona ee? Mwezi wa amani na upendo.....kutakiana mema na kusameheana.
Hivi, yule chalii klorokwini aliishia wapi? Nami humu MMU nishakuwa mgeni sasa...
Those days we'd kina Gaga, BelindaJacob na kisa cha "ameuteka moyo wangu," Nyamayao, LD na wengi wengineo hata kuwataja naogopa nisijeambiwa walishatangulia!...
hahaaa, kamanda... i believe kabisa kwamba a woman in love can take back a man mara milioni moja, mie dalali tu; kazi ni kwako
Hahahah Da Mkubwa@Nyamayao nilipokuona leo humu, nimetenda dhambi ya kukuwazia nadhani uwongo....nimewaza mawili, 1. Either wewe ndio Soulmate Mbu umeamua kuzipasa moto ID zako au 2. Wewe na Soulmate Mbu mlikuwa mmejificha sehemu pamoja (Mambo ya SRM) so mnagaiana muda tu wa kucheza na kuingia JF................. mnisamehe lakini nimefurahi kuwaonayaani watu wamepotea kweli, Nyumba Kubwa nae kapotea kweli kweli, MJ1 nae sijui tunapishana ama vipi, khaa maisha haya yanatusambaratisha kwa kweli!