100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 8,733
- 30,458
Mkuu umejibu vyema, na huo ndio ukweli...Hakukuwa na kuingizwa mkenge. Kiufupi ni kuwa hakuna aliyekuwa ametarajia Samia ataamuru watu wapigwe risasi kwa kiwango kile, hivyo mauaji yalipoanza kila mtu akawa kama amepigwa bumbuazi. Wale wauaji waliokuwa wanazunguka mtaani kuua, hata wananchi (kama siyo kupigwa butwaa) tungeweza kuwanyang'anya zile silaha na kuwageuzia. NB: sikatai kuwa jeshi lilitakiwa kufanya zaidi, ila ugeni wa kilichotokea kwa nchi yetu ndiyo ulisababisha kila mtu apate mshtuko na kushindwa cha kufanya.
Hakuna mwananchi alitarajia polisi wanaweza kuua watu kwa kuwapiga risasi vichwani bila huruma...
Wengi walijiandaa kukabilina na mabomu ya machozi, maji ya kuwasha n.k...