Nimekukumbuka Polepole: You made a terrible mistake!

Nimekukumbuka Polepole: You made a terrible mistake!

wakuu tutakubaliana kwamba ccm haifanyi vyema na watu wengi hawaitaki.

ila hamuwezi kukataa msukumo wa wanaharakati na taarifa zilizo sio sahihi --- nataka kusema kwamba taarifa zile nyingi zilikua za kilaghai. na kama hamku-anticipate kutawepo na risasi wakuu basi serikali ya ccm tulikua tiunaisingizia kwamba ni katili hapo awali.

kwa maneno waliokua watu wanasema watafanya ile okt 29 - nyi mnaona kweli ingewezekana hali kutulia bila shaba? --- ukiachana na wanaharakati wetu waliopo nje ya nchi wale wa ndani ya nchi nyi mmeona wakiandamania wapi? - kama issue ilikua mabomu ya machozi na maji ya kuwasha tu?

tuendelee kuangalia hali ilivyo --- ila kuna siku mtakuja kukiri okt 29 ilikua blunder kubwa sana kwa walioandaa na walioisupport - wote walikua na uwezo mdogo wa kufikiri
Wengine pengine hamjui kwa undani ni nini kilitokea, hivyo unaona ni kama jambo lililotegemewa. Sitaki kuendelea kubishana na wewe kwa sababu sielewi uelewa wako wa kuchangunua mambo au unaweza kuwa ni mnufaika wa unyama uliofanyika. Kwamba unasema ulitegemea wangeuawa watu wengi namna ile tena kwa mtindo ule..... kunanifanya nione una kasoro kubwa.
 
Mkuu wewe unasema kweli? Naomba unitajie uchaguzi gani magu alishinda kwa asilimia 90 Kama ulivyosema?

Pia nimekuwekea hapo taarifa kuwa walioahinda kura za maoni kukkatwa haikuanzia wakati wa magu, hiyo tabia ccm wamekua miaka mingi.

Pia kusema utekaji ulianza wakati wa magu ni uongo mkubwa huu. Magu alizidisha utekaji na kuwa mkubwa lakini utekaji ulikuwepo miaka yote
Ungeorodhesha watu waliotekwa wakati wa Nyerere, Mwinyi na Mkapa nadhani ungehalalisha zaidi unachosema. Nasema hivi kwa sababu watanzania nawajua sana kwa kukariri mambo wanayosikia na pengine hayana ukweli. Kipindi cha Nyerere kilikuwa ni kipindi cha vita baridi... kipindi cha giza kwa siasa za dunia. Hakukuwa na uwazi, uelewa wala mataifa makubwa kumulika siasa za ndani za nchi za dunia ya tatu kwa raia wake kama ilivyo sasa. Nyerer angekuwa katili na mtekaji kama unavyosema angefanya mara kumi ya Samia na hakuna mtu yoyote angeleta fyoko fyoko. Kwa hiyo unajaribu kufananisha awamu za marais wetu, ni lazima utilie maanani hali ya dunia ya wakati ule ie. siasa za vita baridi, mawasiano duni, ustaarabu wa kiwango cha chini... etc
 
Wengine pengine hamjui kwa undani ni nini kilitokea, hivyo unaona ni kama jambo lililotegemewa. Sitaki kuendelea kubishana na wewe kwa sababu sielewi uelewa wako wa kuchangunua mambo au unaweza kuwa ni mnufaika wa unyama uliofanyika. Kwamba unasema ulitegemea wangeuawa watu wengi namna ile tena kwa mtindo ule..... kunanifanya nione una kasoro kubwa.
sawa mkuu
 
Ukishaamini Mungu anakulinda, unaweza kufanya ujinga wowote.
Na wanakua wajinga haswa maana wanaji contradict kwa matendo yao!! Polepole aliamini Mungu ni wake alipokua upande wa wanyanyasaji na kushadadia ule ukatili wa Magufuli dhidi ya binadamu wenzie akiwemo Lissu!! Alienda mbali zaidi ya kujiona mjamaa aliyekomaa na kuamini yeye na alichopambania kukijenga ni immortal!!

Akaamini aliyemtumikia hakua na Mungu akauawa ila yeye ana Mungu atamlinda then??

Ila waafrika tuna safari ndefu sana ya evolution katika akili zetu.
 
Na wanakua wajinga haswa maana wanaji contradict kwa matendo yao!! Polepole aliamini Mungu ni wake alipokua upande wa wanyanyasaji na kushadadia ule ukatili wa Magufuli dhidi ya binadamu wenzie akiwemo Lissu!! Alienda mbali zaidi ya kujiona mjamaa aliyekomaa na kuamini yeye na alichopambania kukijenga ni immortal!!

Akaamini aliyemtumikia hakua na Mungu akauawa ila yeye ana Mungu atamlinda then??

Ila waafrika tuna safari ndefu sana ya evolution katika akili zetu.
Watu wengi wanaoona Polepole alikuwa anatetea haki, anapinga udhalimu, hawaelewi kuwa Polepole hakuwa anatetea haki wala kupinga udhalimu.

Alikuwa anapinga Samia kuwa rais.

Maana yake Samia angeondolewa halafu akapatikana rais mwingine wa kutupeleka ki Magufuli Magufuli, wa team ya Polepole, Polepole angefurahi sana.

Ndiyo maana mpaka mwisho Polepole alikataa kutoka CCM na alikuwa anamsifia Magufuli.

Sijui kwa nini watu wengi hawalioni hili.
 
Watu wengi wanaoona Polepole alikuwa anatetea haki, anapinga udhalimu, hawaelewi kuwa Polepole hakuwa anatetea haki wala kupinga udhalimu.

Alikuwa anapinga Samia kuwa rais.

Maana yake Samia angeondolewa halafu akapatikana rais mwingine wa kutupeleka ki Magufuli Magufuli, wa team ya Polepole, Polepole angefurahi sana.

Ndiyo maana mpaka mwisho Polepole alikataa kutoka CCM na alikiwa anamsifia Magufuli.

Sijui kwa nini watu wengi hawalioni hili.
Siku moja tulisafiri pamoja naye akiwa Katibu wa itikadi na uenezi enzi za Magufuli nikabahatika kumuuliza maswali kadhaa na alinipa majibu yaliyonishangaza sana juu ya hawa watu walioamini Magufuli alikuwa masihi oengine baada ya Yesu!

Nilimuuliza huoni hii biashara yenu ya kununua wabunge wa upinzani mtanyamazisha nchi na hakutakua na wakuhoji wala kusemea wasio na sauti? Nilimuuliza kwakua nilifahamu mengi sana katika utawala wao! Alinijibu Magufuli ni mtumishi mwema wa Mungu hakuna haja ya watu kuwa na wapinzani wa kuwasemea!! Akaenda mbali na kunambia watanzania sasa wana masihi hawana haja ya kuhofu!

Nikamuuliza kama Magufuli ni masihi anapata wapi hofu ya kununua na kunyamazisha wabunge wa upinzani?
Alinijibu vile vile kwamba kwa sasa nchi haihitaji sauti kinzani.

Waswahili walisema 'mchimba kisima huingia mwenyewe' kwa asilimia kubwa Samia bado anaogelea kwenye ule ule mfumo walioasisi kina Polepole na itachukua muda sana ile legacy ya Magufuli kufutika ndani ya CCM na Serikali.

Ndo maana naunga mkono hiyo hoja yako... Polepole alitoa sauti ambayo yeye binafsi alishiriki kuhakikisha inazimika Tanzania.
 
Siku moja tulisafiri pamoja naye akiwa Katibu wa itikadi na uenezi enzi za Magufuli nikabahatika kumuuliza maswali kadhaa na alinipa majibu yaliyonishangaza sana juu ya hawa watu walioamini Magufuli alikuwa masihi oengine baada ya Yesu!

Nilimuuliza huoni hii biashara yenu ya kununua wabunge wa upinzani mtanyamazisha nchi na hakutakua na wakuhoji wala kusemea wasio na sauti? Nilimuuliza kwakua nilifahamu mengi sana katika utawala wao! Alinijibu Magufuli ni mtumishi mwema wa Mungu hakuna haja ya watu kuwa na wapinzani wa kuwasemea!! Akaenda mbali na kunambia watanzania sasa wana masihi hawana haja ya kuhofu!

Nikamuuliza kama Magufuli ni masihi anapata wapi hofu ya kununua na kunyamazisha wabunge wa upinzani?
Alinijibu vile vile kwamba kwa sasa nchi haihitaji sauti kinzani.

Waswahili walisema 'mchimba kisima huingia mwenyewe' kwa asilimia kubwa Samia bado anaogelea kwenye ule ule mfumo walioasisi kina Polepole na itachukua muda sana ile legacy ya Magufuli kufutika ndani ya CCM na Serikali.

Ndo maana naunga mkono hiyo hoja yako... Polepole alitoa sauti ambayo yeye binafsi alishiriki kuhakikisha inazimika Tanzania.
Mkuu,

Mimi nilishaona tangu zamani kuwa hii habari ya Mungu ndiyo ujinga wote unaanzia hapo.

Ukishaamini uko upande wa Mungu unaweza hata kuua watu kwa jina la Mungu.
 
Mkuu,

Mimi nilishaona tangu zamani kuwa hii habari ya Mungu ndiyo ujinga wote unaanzia hapo.

Ukishaamini uko upande wa Mungu unaweza hata kuua watu kwa jina la Mungu.
Hata interview ya mwisho alopiga na jenerali ulimwengu alimkataza mambo hayo ya kumuhusisha Mungu, akaishia kucheka tu
 
Hata interview ya mwisho alopiga na jenerali ulimwengu alimkataza mambo hayo ya kumuhusisha Mungu, akaishia kucheka tu
Polepole ama alikuwa mjinga sana, ama muongo sana.

Inawezekana alikuwa mjinga na muongo sana pia.

Yote majanga.
 
Watu wengi wanaoona Polepole alikuwa anatetea haki, anapinga udhalimu, hawaelewi kuwa Polepole hakuwa anatetea haki wala kupinga udhalimu.

Alikuwa anapinga Samia kuwa rais.

Maana yake Samia angeondolewa halafu akapatikana rais mwingine wa kutupeleka ki Magufuli Magufuli, wa team ya Polepole, Polepole angefurahi sana.

Ndiyo maana mpaka mwisho Polepole alikataa kutoka CCM na alikuwa anamsifia Magufuli.

Sijui kwa nini watu wengi hawalioni hili.
Sahihi kabisa.

Japo aliomba radhi kwa kushiriki kwa namna moja au nyingine kuvuruga mfumo wa uchaguzi Ili kuinufaisha Ccm.
 
Sahihi kabisa.

Japo aliomba radhi kwa kushiriki kwa namna moja au nyingine kuvuruga mfumo wa uchaguzi Ili kuinufaisha Ccm.
Hata hiyo radhi hakuomba, alipiga danadana za kisanii tu, ila kwa sababu Tanzania tuna low standards ikaonekana kaomba radhi.
 
Hata hiyo radhi hakuomba, alipiga danadana za kisanii tu, ila kwa sababu Tanzania tuna low standards ikaonekana kaomba radhi.
Nadhani Polepole kawa mhanga tu wa hizi siasa za kupotezana ambazo hakuwahi kuzikemea akiwa huko Ccm.

Hilo la kuomba radhi inategemea na Kila mtu atakavyotafsiri ila kitendo tu cha kusema kwa umma hadharani juu ya hiyo hujuma ilikuwa ishara njema.
 
Sahihi kabisa.

Japo aliomba radhi kwa kushiriki kwa namna moja au nyingine kuvuruga mfumo wa uchaguzi Ili kuinufaisha Ccm.
Wanetu kuna vitu tukisema mnatuangushia zigo la lawama kwamba tunafanya uchawa, ila pale kwa polepole hapakua na kuomba radhi wala kupigania haki.

Mnalalamika ccm ni dhalimu alafu anakuja yeye anasema kuna wanamtandao wameiteka ccm, waondoke wao waendelee na nyi mnapiga makofi tu
 
Wanetu kuna vitu tukisema mnatuangushia zigo la lawama kwamba tunafanya uchawa, ila pale kwa polepole hapakua na kuomba radhi wala kupigania haki.

Mnalalamika ccm ni dhalimu alafu anakuja yeye anasema kuna wanamtandao wameiteka ccm, waondoke wao waendelee na nyi mnapiga makofi tu
Nyie Pro-regime mnajaribu kutengeneza propaganda kuhalalisha kilichomkuta Polepole Ili kuusafisha huu utawala.
 
Nyie Pro-regime mnajaribu kutengeneza propaganda kuhalalisha kilichomkuta Polepole Ili kuusafisha huu utawala.
Mkuu kiranga kakupa maelezo ya kueleweka kabisa hapo, kama umeshindwa kumuelewa sawa tuendelee tu kuona tatizo ni serikali pekeyake,
 
Mkuu kiranga kakupa maelezo ya kueleweka kabisa hapo, kama umeshindwa kumuelewa sawa tuendelee tu kuona tatizo ni serikali pekeyake,
Wewe Pro-regime tunajua upo hapa kuhalalisha kilichomkuta Polepole.
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Nadhani Polepole kawa mhanga tu wa hizi siasa za kupotezana ambazo hakuwahi kuzikemea akiwa huko Ccm.

Hilo la kuomba radhi inategemea na Kila mtu atakavyotafsiri ila kitendo tu cha kusema kwa umma hadharani juu ya hiyo hujuma ilikuwa ishara njema.
Polepole hakuwa muhanga. Polepole alikuwa mpigania fursa, alikuwa mtu aliyeshiriki kuunda mfumo huo. Hakuwa na shida na mfumo alikuwa na shida na rais Samia.

Muhanga ni innocent victim.

Polepole was not an innocent victim.

Polepole was jockeying for position.

Kama hujasema specifically mimi nilifanya hili na hili na naomba radhi hujaomba radhi unatafuta public sympathy kisanii tu.
 
Kama hujasema specifically mimi nilifanya hili na hili na naomba radhi hujaomba radhi unatafuta public sympathy kisanii tu.
Hilo la server za mifumo ya uchaguzi kuunganishwa na Ccm yeye ndiye alilisema
 
Hilo la server za mifumo ya uchaguzi kuunganishwa na Ccm yeye ndiye alilisema
Hilo si kuomba radhi. Hajasema yeye kahusika vipi na hizo servers.

Kuomba radhi ni kusema mimi nilihusika kuunganisha servers na kwa hilo naomba radhi.

Hajasema hilo.
 
Back
Top Bottom