Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 10,860
- 15,382
naunga mkonoHakusema kuwa CCM tatizo alingangania kuwa system ya kina Rostam. Lakini angeukana CCM na kusema matatizo yalianza na Magufuli angekumbukwa leo. Tumeshamsahau kwa sababu aliongelea ujinga na upumbavu kuwa wabadilishe mgombea.