Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,492
- 42,564
Hii Lugha wengi wao hawawezi ielewa!! Ndio maana Polepole alipuuzwa sana na wanaCCM wenzie akawa anapendwa na kuliliwa na waliojiita wana mageuzi!!!Polepole hakuwa muhanga. Polepole alikuwa mpigania fursa, alikuwa mtu aliyeshiriki kuunda mfumo huo. Hakuwa na shida na mfumo alikuwa na shida na rais Samia.
Muhanga ni innocent victim.
Polepole was not an innocent victim.
Polepole was jockeying for position.
Kama hujasema specifically mimi nilifanya hili na hili na naomba radhi hujaomba radhi unatafuta public sympathy kisanii tu.
Shida kuu ya Polepole ilikua ni Samia si vinginevyo!!