Nimekoma kuchukua machangudoa

Wewe kumbe unae mke changudoa ulimchukua wa nini wkt unaenda kwa mkeo asubuhi tu.Chapati ni ile ile ikipikwa Tanga,Mombasa au Tukuyu umepata hasara kizembe
Hii kizembe haswa
 
Wewe kumbe unae mke changudoa ulimchukua wa nini wkt unaenda kwa mkeo asubuhi tu.Chapati ni ile ile ikipikwa Tanga,Mombasa au Tukuyu umepata hasara kizembe
Amekwambia nani? zinatofaut zake bhana kufanana labda jina tu!
 
Wadanganye watoto wenzako nani mwenye akili analala na malaya hotel? Wenzako wanagonga wima kimoja unamlipa 20 yake unafukuza funga mlango lala.
 
Pole sana mkuu. Machanguduoa wa Dar sio wa kukaa nao hadi asubuhi mkuu....ni unagonga papuchi, unamlipa chake unasepa. Anyway, hili ni funzo kwa wengine wanaong'ang'ania kugegeda vyangudoa hadi asubuhi. Hawafugiki wale....ni kunguru kuliko kunguru unaowafahamu.
 
Wadanganye watoto wenzako nani mwenye akili analala na malaya hotel? Wenzako wanagonga wima kimoja unamlipa 20 yake unafukuza funga mlango lala.
mkuu mimi sio mwanaume wa dar mwenye kupiga kamoja tu na kuchoka sisi wa mikoani bila ya tatu au mbili bado sijalidhika.
 
pole kwa mkosi kakutia usingizi mzigo hukufaidi dah labda nikushauri mwambie mama watoto umevamiwa na majambazi
Amwambie tu mama kuwa alitekwa na watu wasiojulikana na kupelekwa mahali kusikojulikana hadi wasamaria walipomuokota asubuhi akiwa hajitambui. Ama kweli mjini SHULE!
 
Uliwekewa kadawa kenye effect ya kusinzia mkuu pole sana.
Ndo tabia ya mjin hiyo.Siku ingine usilale na demu ucyemjua,n bora upige bao 1 umwache aondoke
Mimi naona ni bora kujigegedea changudoa wa barabarani na kusepa kuliko changu wa mtaani.
 
Usibadilishe maneno, mweleze mkeo kilichotokea.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…