ndio jina langu mkuu sema nini mama watoto ndio tabu yote ipo hapo.Kama hilo hapo ndilo jina lako, basi hujakosea! Rudi nyumbani kajipange upya. Pole.
ni katika moja ya kushughulisha akili na labda nitapata mawazo mbadala kwa memba wenzangu
kwa kweli mkuu ata mimi nilijisi ivyo lakini nikajikagua mala mbili mbili nipo salama kwa upande wa nyumaVipi mkuu ulijikagua sehemu zako za haja kubwa kama hakuna mikwaruzo?
Pole mkuu, karibu Dar. Ila usikome kuchukua machangudoa tu, Ukome na umalaya pia.habari zenu wadau
Jamani kisa kilichonikuta ni aibu hata kusimulia ni kuhusu hawa machangudoa
mimi ni mfanyabiashara wa mazao siku hiyo niliongea na wafanyabiashara wenzangu kabla sijaondoka kuelekea sokoni
wakaniambia aina ya mazao nilikuwa nayo ,buguruni ni sehemu muafaka na nitauza mara moja na kweli nilipotua mzigo nikauza baada ya hapo nikakaa nikisubiria pesa za malipo yangu
jioni nikalipwa ikawa siku imeshapita nikapanga kuondoka asubuhi ya pili,
baada ya kukabidhiwa tu fungu nikaenda kuchukua chumba cha kujihifadhi kwa usiku mmoja
nilifika pale gest nikapokewa na mhudumu wa mapokezi akanionyesha chumba nikaingiza mizigo yangu pamoja na magunia matupu,
nikapumzika kidogo nikaamka nikaoga nikaenda kidogo pembeni ya gesti kupata chakula kwa mama lishe
baada ya hapo nikarudi gesti nikawasiliana na mama watoto kidogo nikamaliza,
kwa kuwa hiyo gesti ina bar na kuna bendi ya muziki ilikuwa ikikonga nyoyo nikaona si mbaya kujisogeza na kupata moja moto moja baridi
kwa kuwa niko peke yangu nikaona nipate mwenzangu wa kupotezea muda kupitisha usiku na pia kingine kilichonipa msukumo nilitaka kuonja totozi wa jiji kubwa,
nikaangaza ndani ya ile baa nikaona msichana matata yupo peke yake akiwa na chupa moja mezani nikamsabahi nikamuuliza kama naweza kujumuika kwenye meza yake akanijibu nipo huru
stori za hapa na pale akanijulisha anasoma chuo kikuu mwaka wa pili si nikaona bahati iliyoje nami nikamueleza kuhusu biashara zangu nikaona kwa kuwa nataka kuondoka asubuhi sikuwa na haja ya kuchelewa pale mpaka usiku mwingi
nimkashika mkono msomi nikaingia nae ndani mwenzenu zile dakika za mwanzo nilijua nafanya nini lakini niliposema nipumzike kidogo nimekuja kushtuka nagongewa chumba na mhudumu anataka kusafisha duuh kuangalia pembeni yule msichana simuoni naangalia vitu vyangu na pesa hakuna nimebaki na yale magunia matupu nikatoka kasi mpaka mapokezi wakaniambia yule msichana aliwaaga anakwenda kuchukua nguo za kubadili kwa kuwa tutakaa pale gesti siku mbili jamani nimechukuliwa kadi zangu za ATM na vitambulisho na vibali vyangu vya kusafirishia mazao
jamani changu doa kaniibia jamani nilienda kuripoti polis wamenipa RB tu nimtafute naombeni msaada wenu
Hata kurudi nyumbani ni msala nimekoma na machangu doa
assanteni



Kwani namba za siri za ATM anazijuwa? Anaenda kuzifanyia nini hizo atm cards?habari zenu wadau
Jamani kisa kilichonikuta ni aibu hata kusimulia ni kuhusu hawa machangudoa
mimi ni mfanyabiashara wa mazao siku hiyo niliongea na wafanyabiashara wenzangu kabla sijaondoka kuelekea sokoni
wakaniambia aina ya mazao nilikuwa nayo ,buguruni ni sehemu muafaka na nitauza mara moja na kweli nilipotua mzigo nikauza baada ya hapo nikakaa nikisubiria pesa za malipo yangu
jioni nikalipwa ikawa siku imeshapita nikapanga kuondoka asubuhi ya pili,
baada ya kukabidhiwa tu fungu nikaenda kuchukua chumba cha kujihifadhi kwa usiku mmoja
nilifika pale gest nikapokewa na mhudumu wa mapokezi akanionyesha chumba nikaingiza mizigo yangu pamoja na magunia matupu,
nikapumzika kidogo nikaamka nikaoga nikaenda kidogo pembeni ya gesti kupata chakula kwa mama lishe
baada ya hapo nikarudi gesti nikawasiliana na mama watoto kidogo nikamaliza,
kwa kuwa hiyo gesti ina bar na kuna bendi ya muziki ilikuwa ikikonga nyoyo nikaona si mbaya kujisogeza na kupata moja moto moja baridi
kwa kuwa niko peke yangu nikaona nipate mwenzangu wa kupotezea muda kupitisha usiku na pia kingine kilichonipa msukumo nilitaka kuonja totozi wa jiji kubwa,
nikaangaza ndani ya ile baa nikaona msichana matata yupo peke yake akiwa na chupa moja mezani nikamsabahi nikamuuliza kama naweza kujumuika kwenye meza yake akanijibu nipo huru
stori za hapa na pale akanijulisha anasoma chuo kikuu mwaka wa pili si nikaona bahati iliyoje nami nikamueleza kuhusu biashara zangu nikaona kwa kuwa nataka kuondoka asubuhi sikuwa na haja ya kuchelewa pale mpaka usiku mwingi
nimkashika mkono msomi nikaingia nae ndani mwenzenu zile dakika za mwanzo nilijua nafanya nini lakini niliposema nipumzike kidogo nimekuja kushtuka nagongewa chumba na mhudumu anataka kusafisha duuh kuangalia pembeni yule msichana simuoni naangalia vitu vyangu na pesa hakuna nimebaki na yale magunia matupu nikatoka kasi mpaka mapokezi wakaniambia yule msichana aliwaaga anakwenda kuchukua nguo za kubadili kwa kuwa tutakaa pale gesti siku mbili jamani nimechukuliwa kadi zangu za ATM na vitambulisho na vibali vyangu vya kusafirishia mazao
jamani changu doa kaniibia jamani nilienda kuripoti polis wamenipa RB tu nimtafute naombeni msaada wenu
Hata kurudi nyumbani ni msala nimekoma na machangu doa
assanteni
Hizo ni changamoto za kawaida mkuu,umeshapata uzoefu wa kutosha na siku nyingine ukichukua hao viumbe utakuwa makini zaidi..!!habari zenu wadau
Jamani kisa kilichonikuta ni aibu hata kusimulia ni kuhusu hawa machangudoa
mimi ni mfanyabiashara wa mazao siku hiyo niliongea na wafanyabiashara wenzangu kabla sijaondoka kuelekea sokoni
wakaniambia aina ya mazao nilikuwa nayo ,buguruni ni sehemu muafaka na nitauza mara moja na kweli nilipotua mzigo nikauza baada ya hapo nikakaa nikisubiria pesa za malipo yangu
jioni nikalipwa ikawa siku imeshapita nikapanga kuondoka asubuhi ya pili,
baada ya kukabidhiwa tu fungu nikaenda kuchukua chumba cha kujihifadhi kwa usiku mmoja
nilifika pale gest nikapokewa na mhudumu wa mapokezi akanionyesha chumba nikaingiza mizigo yangu pamoja na magunia matupu,
nikapumzika kidogo nikaamka nikaoga nikaenda kidogo pembeni ya gesti kupata chakula kwa mama lishe
baada ya hapo nikarudi gesti nikawasiliana na mama watoto kidogo nikamaliza,
kwa kuwa hiyo gesti ina bar na kuna bendi ya muziki ilikuwa ikikonga nyoyo nikaona si mbaya kujisogeza na kupata moja moto moja baridi
kwa kuwa niko peke yangu nikaona nipate mwenzangu wa kupotezea muda kupitisha usiku na pia kingine kilichonipa msukumo nilitaka kuonja totozi wa jiji kubwa,
nikaangaza ndani ya ile baa nikaona msichana matata yupo peke yake akiwa na chupa moja mezani nikamsabahi nikamuuliza kama naweza kujumuika kwenye meza yake akanijibu nipo huru
stori za hapa na pale akanijulisha anasoma chuo kikuu mwaka wa pili si nikaona bahati iliyoje nami nikamueleza kuhusu biashara zangu nikaona kwa kuwa nataka kuondoka asubuhi sikuwa na haja ya kuchelewa pale mpaka usiku mwingi
nimkashika mkono msomi nikaingia nae ndani mwenzenu zile dakika za mwanzo nilijua nafanya nini lakini niliposema nipumzike kidogo nimekuja kushtuka nagongewa chumba na mhudumu anataka kusafisha duuh kuangalia pembeni yule msichana simuoni naangalia vitu vyangu na pesa hakuna nimebaki na yale magunia matupu nikatoka kasi mpaka mapokezi wakaniambia yule msichana aliwaaga anakwenda kuchukua nguo za kubadili kwa kuwa tutakaa pale gesti siku mbili jamani nimechukuliwa kadi zangu za ATM na vitambulisho na vibali vyangu vya kusafirishia mazao
jamani changu doa kaniibia jamani nilienda kuripoti polis wamenipa RB tu nimtafute naombeni msaada wenu
Hata kurudi nyumbani ni msala nimekoma na machangu doa
assanteni
ILa ni somo tu wewe sio wa kwanza wala wa mwisho. Hayo mambo hayahitaji kuchekana ni kama timu ya mpira kufungwaasante sana mkuu siunajua tena totozi za dar na mimi nilitaka kuonja
karibu mjin...duuh. hatari kuibiwa sio ushamba mkuuDuh!! Ajali kazn ushamba sio lazma kuwa na migomba kichwani!!![]()