kichwa maji jr
Member
- Apr 13, 2017
- 28
- 32
- Thread starter
- #81
wanawake wa dar sio watu ni majini .Karibu sana dar.ushakuwa mwenyeji sasa
wanawake wa dar sio watu ni majini .Karibu sana dar.ushakuwa mwenyeji sasa
balaa lipo kwa mama watoto sijui kama ataelewa somo la mimi kutekwa na watu wasiojulikanaKweli kichwa maji usirudie tena iwe fundisho
Fanya kilichokuleta Sepa ushapata hasara sasa
Huyu ushamba umechangia anababaika na wadada wa town, yamemkuta salama yk kaachiwa izo kende lkn wajanja wangeng'oa pia akabak empty na ushamba wake, min shuleduuh. hatari kuibiwa sio ushamba mkuu

Kaa hapo hapo usitoke.kaniambia saa 10 alasiri atakurejeshea pesa zako.nukuu..."TUNZA SANA MAGUNIO HAYO"asipokuja njoo kariakoo shimoni uyalalie.habari zenu wadau
Jamani kisa kilichonikuta ni aibu hata kusimulia ni kuhusu hawa machangudoa
mimi ni mfanyabiashara wa mazao siku hiyo niliongea na wafanyabiashara wenzangu kabla sijaondoka kuelekea sokoni
wakaniambia aina ya mazao nilikuwa nayo ,buguruni ni sehemu muafaka na nitauza mara moja na kweli nilipotua mzigo nikauza baada ya hapo nikakaa nikisubiria pesa za malipo yangu
jioni nikalipwa ikawa siku imeshapita nikapanga kuondoka asubuhi ya pili,
baada ya kukabidhiwa tu fungu nikaenda kuchukua chumba cha kujihifadhi kwa usiku mmoja
nilifika pale gest nikapokewa na mhudumu wa mapokezi akanionyesha chumba nikaingiza mizigo yangu pamoja na magunia matupu,
nikapumzika kidogo nikaamka nikaoga nikaenda kidogo pembeni ya gesti kupata chakula kwa mama lishe
baada ya hapo nikarudi gesti nikawasiliana na mama watoto kidogo nikamaliza,
kwa kuwa hiyo gesti ina bar na kuna bendi ya muziki ilikuwa ikikonga nyoyo nikaona si mbaya kujisogeza na kupata moja moto moja baridi
kwa kuwa niko peke yangu nikaona nipate mwenzangu wa kupotezea muda kupitisha usiku na pia kingine kilichonipa msukumo nilitaka kuonja totozi wa jiji kubwa,
nikaangaza ndani ya ile baa nikaona msichana matata yupo peke yake akiwa na chupa moja mezani nikamsabahi nikamuuliza kama naweza kujumuika kwenye meza yake akanijibu nipo huru
stori za hapa na pale akanijulisha anasoma chuo kikuu mwaka wa pili si nikaona bahati iliyoje nami nikamueleza kuhusu biashara zangu nikaona kwa kuwa nataka kuondoka asubuhi sikuwa na haja ya kuchelewa pale mpaka usiku mwingi
nimkashika mkono msomi nikaingia nae ndani mwenzenu zile dakika za mwanzo nilijua nafanya nini lakini niliposema nipumzike kidogo nimekuja kushtuka nagongewa chumba na mhudumu anataka kusafisha duuh kuangalia pembeni yule msichana simuoni naangalia vitu vyangu na pesa hakuna nimebaki na yale magunia matupu nikatoka kasi mpaka mapokezi wakaniambia yule msichana aliwaaga anakwenda kuchukua nguo za kubadili kwa kuwa tutakaa pale gesti siku mbili jamani nimechukuliwa kadi zangu za ATM na vitambulisho na vibali vyangu vya kusafirishia mazao
jamani changu doa kaniibia jamani nilienda kuripoti polis wamenipa RB tu nimtafute naombeni msaada wenu
Hata kurudi nyumbani ni msala nimekoma na machangu doa
assanteni
Sisi wavumilivu atakuelewa tubalaa lipo kwa mama watoto sijui kama ataelewa somo la mimi kutekwa na watu wasiojulikana
habari zenu wadau
Jamani kisa kilichonikuta ni aibu hata kusimulia ni kuhusu hawa machangudoa
mimi ni mfanyabiashara wa mazao siku hiyo niliongea na wafanyabiashara wenzangu kabla sijaondoka kuelekea sokoni
wakaniambia aina ya mazao nilikuwa nayo ,buguruni ni sehemu muafaka na nitauza mara moja na kweli nilipotua mzigo nikauza baada ya hapo nikakaa nikisubiria pesa za malipo yangu
jioni nikalipwa ikawa siku imeshapita nikapanga kuondoka asubuhi ya pili,
baada ya kukabidhiwa tu fungu nikaenda kuchukua chumba cha kujihifadhi kwa usiku mmoja
nilifika pale gest nikapokewa na mhudumu wa mapokezi akanionyesha chumba nikaingiza mizigo yangu pamoja na magunia matupu,
nikapumzika kidogo nikaamka nikaoga nikaenda kidogo pembeni ya gesti kupata chakula kwa mama lishe
baada ya hapo nikarudi gesti nikawasiliana na mama watoto kidogo nikamaliza,
kwa kuwa hiyo gesti ina bar na kuna bendi ya muziki ilikuwa ikikonga nyoyo nikaona si mbaya kujisogeza na kupata moja moto moja baridi
kwa kuwa niko peke yangu nikaona nipate mwenzangu wa kupotezea muda kupitisha usiku na pia kingine kilichonipa msukumo nilitaka kuonja totozi wa jiji kubwa,
nikaangaza ndani ya ile baa nikaona msichana matata yupo peke yake akiwa na chupa moja mezani nikamsabahi nikamuuliza kama naweza kujumuika kwenye meza yake akanijibu nipo huru
stori za hapa na pale akanijulisha anasoma chuo kikuu mwaka wa pili si nikaona bahati iliyoje nami nikamueleza kuhusu biashara zangu nikaona kwa kuwa nataka kuondoka asubuhi sikuwa na haja ya kuchelewa pale mpaka usiku mwingi
nimkashika mkono msomi nikaingia nae ndani mwenzenu zile dakika za mwanzo nilijua nafanya nini lakini niliposema nipumzike kidogo nimekuja kushtuka nagongewa chumba na mhudumu anataka kusafisha duuh kuangalia pembeni yule msichana simuoni naangalia vitu vyangu na pesa hakuna nimebaki na yale magunia matupu nikatoka kasi mpaka mapokezi wakaniambia yule msichana aliwaaga anakwenda kuchukua nguo za kubadili kwa kuwa tutakaa pale gesti siku mbili jamani nimechukuliwa kadi zangu za ATM na vitambulisho na vibali vyangu vya kusafirishia mazao
jamani changu doa kaniibia jamani nilienda kuripoti polis wamenipa RB tu nimtafute naombeni msaada wenu
Hata kurudi nyumbani ni msala nimekoma na machangu doa
assanteni
mkuu huu sio upuuzi ni ajari kazi tu hata wewe yanaweza kukuta aya.Bonge la elimu, natumaini hautarudia upuuzi huo
sasa hivi ntakuja dar. kwa taadhali kubwa sana kumbe wanawake wote wa mjini ni hatari sanaSisi wavumilivu atakuelewa tu
Usinichekeshe eti somo la kutekwa wewe umejiteka menyewe kubabaika wadada wa chuo
Maskini ndo mara ya kwanza ukute umejaribu yakakakuta waachie wenye mji wao buanaaa
habari zenu wadau
Jamani kisa kilichonikuta ni aibu hata kusimulia ni kuhusu hawa machangudoa
mimi ni mfanyabiashara wa mazao siku hiyo niliongea na wafanyabiashara wenzangu kabla sijaondoka kuelekea sokoni
wakaniambia aina ya mazao nilikuwa nayo ,buguruni ni sehemu muafaka na nitauza mara moja na kweli nilipotua mzigo nikauza baada ya hapo nikakaa nikisubiria pesa za malipo yangu
jioni nikalipwa ikawa siku imeshapita nikapanga kuondoka asubuhi ya pili,
baada ya kukabidhiwa tu fungu nikaenda kuchukua chumba cha kujihifadhi kwa usiku mmoja
nilifika pale gest nikapokewa na mhudumu wa mapokezi akanionyesha chumba nikaingiza mizigo yangu pamoja na magunia matupu,
nikapumzika kidogo nikaamka nikaoga nikaenda kidogo pembeni ya gesti kupata chakula kwa mama lishe
baada ya hapo nikarudi gesti nikawasiliana na mama watoto kidogo nikamaliza,
kwa kuwa hiyo gesti ina bar na kuna bendi ya muziki ilikuwa ikikonga nyoyo nikaona si mbaya kujisogeza na kupata moja moto moja baridi
kwa kuwa niko peke yangu nikaona nipate mwenzangu wa kupotezea muda kupitisha usiku na pia kingine kilichonipa msukumo nilitaka kuonja totozi wa jiji kubwa,
nikaangaza ndani ya ile baa nikaona msichana matata yupo peke yake akiwa na chupa moja mezani nikamsabahi nikamuuliza kama naweza kujumuika kwenye meza yake akanijibu nipo huru
stori za hapa na pale akanijulisha anasoma chuo kikuu mwaka wa pili si nikaona bahati iliyoje nami nikamueleza kuhusu biashara zangu nikaona kwa kuwa nataka kuondoka asubuhi sikuwa na haja ya kuchelewa pale mpaka usiku mwingi
nimkashika mkono msomi nikaingia nae ndani mwenzenu zile dakika za mwanzo nilijua nafanya nini lakini niliposema nipumzike kidogo nimekuja kushtuka nagongewa chumba na mhudumu anataka kusafisha duuh kuangalia pembeni yule msichana simuoni naangalia vitu vyangu na pesa hakuna nimebaki na yale magunia matupu nikatoka kasi mpaka mapokezi wakaniambia yule msichana aliwaaga anakwenda kuchukua nguo za kubadili kwa kuwa tutakaa pale gesti siku mbili jamani nimechukuliwa kadi zangu za ATM na vitambulisho na vibali vyangu vya kusafirishia mazao
jamani changu doa kaniibia jamani nilienda kuripoti polis wamenipa RB tu nimtafute naombeni msaada wenu
Hata kurudi nyumbani ni msala nimekoma na machangu doa
assanteni
Safi sana kubwa jinga jr kwa kumuonesha kichwa maji jr nini kimemponza, nahisi mnakaundugu kakidesign!mkuu nyege zimekuponza
Hiyo ndio dawa ya mwanaume malayahabari zenu wadau
Jamani kisa kilichonikuta ni aibu hata kusimulia ni kuhusu hawa machangudoa
mimi ni mfanyabiashara wa mazao siku hiyo niliongea na wafanyabiashara wenzangu kabla sijaondoka kuelekea sokoni
wakaniambia aina ya mazao nilikuwa nayo ,buguruni ni sehemu muafaka na nitauza mara moja na kweli nilipotua mzigo nikauza baada ya hapo nikakaa nikisubiria pesa za malipo yangu
jioni nikalipwa ikawa siku imeshapita nikapanga kuondoka asubuhi ya pili,
baada ya kukabidhiwa tu fungu nikaenda kuchukua chumba cha kujihifadhi kwa usiku mmoja
nilifika pale gest nikapokewa na mhudumu wa mapokezi akanionyesha chumba nikaingiza mizigo yangu pamoja na magunia matupu,
nikapumzika kidogo nikaamka nikaoga nikaenda kidogo pembeni ya gesti kupata chakula kwa mama lishe
baada ya hapo nikarudi gesti nikawasiliana na mama watoto kidogo nikamaliza,
kwa kuwa hiyo gesti ina bar na kuna bendi ya muziki ilikuwa ikikonga nyoyo nikaona si mbaya kujisogeza na kupata moja moto moja baridi
kwa kuwa niko peke yangu nikaona nipate mwenzangu wa kupotezea muda kupitisha usiku na pia kingine kilichonipa msukumo nilitaka kuonja totozi wa jiji kubwa,
nikaangaza ndani ya ile baa nikaona msichana matata yupo peke yake akiwa na chupa moja mezani nikamsabahi nikamuuliza kama naweza kujumuika kwenye meza yake akanijibu nipo huru
stori za hapa na pale akanijulisha anasoma chuo kikuu mwaka wa pili si nikaona bahati iliyoje nami nikamueleza kuhusu biashara zangu nikaona kwa kuwa nataka kuondoka asubuhi sikuwa na haja ya kuchelewa pale mpaka usiku mwingi
nimkashika mkono msomi nikaingia nae ndani mwenzenu zile dakika za mwanzo nilijua nafanya nini lakini niliposema nipumzike kidogo nimekuja kushtuka nagongewa chumba na mhudumu anataka kusafisha duuh kuangalia pembeni yule msichana simuoni naangalia vitu vyangu na pesa hakuna nimebaki na yale magunia matupu nikatoka kasi mpaka mapokezi wakaniambia yule msichana aliwaaga anakwenda kuchukua nguo za kubadili kwa kuwa tutakaa pale gesti siku mbili jamani nimechukuliwa kadi zangu za ATM na vitambulisho na vibali vyangu vya kusafirishia mazao
jamani changu doa kaniibia jamani nilienda kuripoti polis wamenipa RB tu nimtafute naombeni msaada wenu
Hata kurudi nyumbani ni msala nimekoma na machangu doa
assanteni