Nimekoma kuchukua machangudoa

Nimekoma kuchukua machangudoa

habari zenu wadau

Jamani kisa kilichonikuta ni aibu hata kusimulia ni kuhusu hawa machangudoa

mimi ni mfanyabiashara wa mazao siku hiyo niliongea na wafanyabiashara wenzangu kabla sijaondoka kuelekea sokoni

wakaniambia aina ya mazao nilikuwa nayo ,buguruni ni sehemu muafaka na nitauza mara moja na kweli nilipotua mzigo nikauza baada ya hapo nikakaa nikisubiria pesa za malipo yangu

jioni nikalipwa ikawa siku imeshapita nikapanga kuondoka asubuhi ya pili,

baada ya kukabidhiwa tu fungu nikaenda kuchukua chumba cha kujihifadhi kwa usiku mmoja

nilifika pale gest nikapokewa na mhudumu wa mapokezi akanionyesha chumba nikaingiza mizigo yangu pamoja na magunia matupu,
nikapumzika kidogo nikaamka nikaoga nikaenda kidogo pembeni ya gesti kupata chakula kwa mama lishe

baada ya hapo nikarudi gesti nikawasiliana na mama watoto kidogo nikamaliza,
kwa kuwa hiyo gesti ina bar na kuna bendi ya muziki ilikuwa ikikonga nyoyo nikaona si mbaya kujisogeza na kupata moja moto moja baridi

kwa kuwa niko peke yangu nikaona nipate mwenzangu wa kupotezea muda kupitisha usiku na pia kingine kilichonipa msukumo nilitaka kuonja totozi wa jiji kubwa,

nikaangaza ndani ya ile baa nikaona msichana matata yupo peke yake akiwa na chupa moja mezani nikamsabahi nikamuuliza kama naweza kujumuika kwenye meza yake akanijibu nipo huru

stori za hapa na pale akanijulisha anasoma chuo kikuu mwaka wa pili si nikaona bahati iliyoje nami nikamueleza kuhusu biashara zangu nikaona kwa kuwa nataka kuondoka asubuhi sikuwa na haja ya kuchelewa pale mpaka usiku mwingi
nimkashika mkono msomi nikaingia nae ndani mwenzenu zile dakika za mwanzo nilijua nafanya nini lakini niliposema nipumzike kidogo nimekuja kushtuka nagongewa chumba na mhudumu anataka kusafisha duuh kuangalia pembeni yule msichana simuoni naangalia vitu vyangu na pesa hakuna nimebaki na yale magunia matupu nikatoka kasi mpaka mapokezi wakaniambia yule msichana aliwaaga anakwenda kuchukua nguo za kubadili kwa kuwa tutakaa pale gesti siku mbili jamani nimechukuliwa kadi zangu za ATM na vitambulisho na vibali vyangu vya kusafirishia mazao

jamani changu doa kaniibia jamani nilienda kuripoti polis wamenipa RB tu nimtafute naombeni msaada wenu

Hata kurudi nyumbani ni msala nimekoma na machangu doa

assanteni
Kaa hapo hapo usitoke.kaniambia saa 10 alasiri atakurejeshea pesa zako.nukuu..."TUNZA SANA MAGUNIO HAYO"asipokuja njoo kariakoo shimoni uyalalie.
 
balaa lipo kwa mama watoto sijui kama ataelewa somo la mimi kutekwa na watu wasiojulikana
Sisi wavumilivu atakuelewa tu

Usinichekeshe eti somo la kutekwa wewe umejiteka menyewe kubabaika wadada wa chuo

Maskini ndo mara ya kwanza ukute umejaribu yakakakuta waachie wenye mji wao buanaaa
 
habari zenu wadau

Jamani kisa kilichonikuta ni aibu hata kusimulia ni kuhusu hawa machangudoa

mimi ni mfanyabiashara wa mazao siku hiyo niliongea na wafanyabiashara wenzangu kabla sijaondoka kuelekea sokoni

wakaniambia aina ya mazao nilikuwa nayo ,buguruni ni sehemu muafaka na nitauza mara moja na kweli nilipotua mzigo nikauza baada ya hapo nikakaa nikisubiria pesa za malipo yangu

jioni nikalipwa ikawa siku imeshapita nikapanga kuondoka asubuhi ya pili,

baada ya kukabidhiwa tu fungu nikaenda kuchukua chumba cha kujihifadhi kwa usiku mmoja

nilifika pale gest nikapokewa na mhudumu wa mapokezi akanionyesha chumba nikaingiza mizigo yangu pamoja na magunia matupu,
nikapumzika kidogo nikaamka nikaoga nikaenda kidogo pembeni ya gesti kupata chakula kwa mama lishe

baada ya hapo nikarudi gesti nikawasiliana na mama watoto kidogo nikamaliza,
kwa kuwa hiyo gesti ina bar na kuna bendi ya muziki ilikuwa ikikonga nyoyo nikaona si mbaya kujisogeza na kupata moja moto moja baridi

kwa kuwa niko peke yangu nikaona nipate mwenzangu wa kupotezea muda kupitisha usiku na pia kingine kilichonipa msukumo nilitaka kuonja totozi wa jiji kubwa,

nikaangaza ndani ya ile baa nikaona msichana matata yupo peke yake akiwa na chupa moja mezani nikamsabahi nikamuuliza kama naweza kujumuika kwenye meza yake akanijibu nipo huru

stori za hapa na pale akanijulisha anasoma chuo kikuu mwaka wa pili si nikaona bahati iliyoje nami nikamueleza kuhusu biashara zangu nikaona kwa kuwa nataka kuondoka asubuhi sikuwa na haja ya kuchelewa pale mpaka usiku mwingi
nimkashika mkono msomi nikaingia nae ndani mwenzenu zile dakika za mwanzo nilijua nafanya nini lakini niliposema nipumzike kidogo nimekuja kushtuka nagongewa chumba na mhudumu anataka kusafisha duuh kuangalia pembeni yule msichana simuoni naangalia vitu vyangu na pesa hakuna nimebaki na yale magunia matupu nikatoka kasi mpaka mapokezi wakaniambia yule msichana aliwaaga anakwenda kuchukua nguo za kubadili kwa kuwa tutakaa pale gesti siku mbili jamani nimechukuliwa kadi zangu za ATM na vitambulisho na vibali vyangu vya kusafirishia mazao

jamani changu doa kaniibia jamani nilienda kuripoti polis wamenipa RB tu nimtafute naombeni msaada wenu

Hata kurudi nyumbani ni msala nimekoma na machangu doa

assanteni


KWA GHARAMA HIYO KAMA UMEJIFUNZA NI BORA.
 
Kichwa Maji Jr
Hili jina lina Laana kutoka kwa Kichwa Maji Senior
 
Sisi wavumilivu atakuelewa tu

Usinichekeshe eti somo la kutekwa wewe umejiteka menyewe kubabaika wadada wa chuo

Maskini ndo mara ya kwanza ukute umejaribu yakakakuta waachie wenye mji wao buanaaa
sasa hivi ntakuja dar. kwa taadhali kubwa sana kumbe wanawake wote wa mjini ni hatari sana
 
habari zenu wadau

Jamani kisa kilichonikuta ni aibu hata kusimulia ni kuhusu hawa machangudoa

mimi ni mfanyabiashara wa mazao siku hiyo niliongea na wafanyabiashara wenzangu kabla sijaondoka kuelekea sokoni

wakaniambia aina ya mazao nilikuwa nayo ,buguruni ni sehemu muafaka na nitauza mara moja na kweli nilipotua mzigo nikauza baada ya hapo nikakaa nikisubiria pesa za malipo yangu

jioni nikalipwa ikawa siku imeshapita nikapanga kuondoka asubuhi ya pili,

baada ya kukabidhiwa tu fungu nikaenda kuchukua chumba cha kujihifadhi kwa usiku mmoja

nilifika pale gest nikapokewa na mhudumu wa mapokezi akanionyesha chumba nikaingiza mizigo yangu pamoja na magunia matupu,
nikapumzika kidogo nikaamka nikaoga nikaenda kidogo pembeni ya gesti kupata chakula kwa mama lishe

baada ya hapo nikarudi gesti nikawasiliana na mama watoto kidogo nikamaliza,
kwa kuwa hiyo gesti ina bar na kuna bendi ya muziki ilikuwa ikikonga nyoyo nikaona si mbaya kujisogeza na kupata moja moto moja baridi

kwa kuwa niko peke yangu nikaona nipate mwenzangu wa kupotezea muda kupitisha usiku na pia kingine kilichonipa msukumo nilitaka kuonja totozi wa jiji kubwa,

nikaangaza ndani ya ile baa nikaona msichana matata yupo peke yake akiwa na chupa moja mezani nikamsabahi nikamuuliza kama naweza kujumuika kwenye meza yake akanijibu nipo huru

stori za hapa na pale akanijulisha anasoma chuo kikuu mwaka wa pili si nikaona bahati iliyoje nami nikamueleza kuhusu biashara zangu nikaona kwa kuwa nataka kuondoka asubuhi sikuwa na haja ya kuchelewa pale mpaka usiku mwingi
nimkashika mkono msomi nikaingia nae ndani mwenzenu zile dakika za mwanzo nilijua nafanya nini lakini niliposema nipumzike kidogo nimekuja kushtuka nagongewa chumba na mhudumu anataka kusafisha duuh kuangalia pembeni yule msichana simuoni naangalia vitu vyangu na pesa hakuna nimebaki na yale magunia matupu nikatoka kasi mpaka mapokezi wakaniambia yule msichana aliwaaga anakwenda kuchukua nguo za kubadili kwa kuwa tutakaa pale gesti siku mbili jamani nimechukuliwa kadi zangu za ATM na vitambulisho na vibali vyangu vya kusafirishia mazao

jamani changu doa kaniibia jamani nilienda kuripoti polis wamenipa RB tu nimtafute naombeni msaada wenu

Hata kurudi nyumbani ni msala nimekoma na machangu doa

assanteni

Tulia hivyo hivyo dawa iingie usitingishike utavunja sindano!! Karibu mjini ila usinogewe sana na raha unazopewa ukadhani uko na mkeo. hapo vitani mkuu hakuna kulala hata ukilala we chukua wallet weka kwenye viatu vyake akikukagua night asipokuta kitu hawezi ondoka mtupu lazima asubirie ela yake asubuhi. Japo si mara zote hii mbinu inafanya kazi (disclaimer)
 
Karibu kwenye jiji la CHIKAKA????? Leo kwi kwi kwi kwi.. alafu haujatuambia kama ulitumia ile kitu yetu!!!!
 
habari zenu wadau

Jamani kisa kilichonikuta ni aibu hata kusimulia ni kuhusu hawa machangudoa

mimi ni mfanyabiashara wa mazao siku hiyo niliongea na wafanyabiashara wenzangu kabla sijaondoka kuelekea sokoni

wakaniambia aina ya mazao nilikuwa nayo ,buguruni ni sehemu muafaka na nitauza mara moja na kweli nilipotua mzigo nikauza baada ya hapo nikakaa nikisubiria pesa za malipo yangu

jioni nikalipwa ikawa siku imeshapita nikapanga kuondoka asubuhi ya pili,

baada ya kukabidhiwa tu fungu nikaenda kuchukua chumba cha kujihifadhi kwa usiku mmoja

nilifika pale gest nikapokewa na mhudumu wa mapokezi akanionyesha chumba nikaingiza mizigo yangu pamoja na magunia matupu,
nikapumzika kidogo nikaamka nikaoga nikaenda kidogo pembeni ya gesti kupata chakula kwa mama lishe

baada ya hapo nikarudi gesti nikawasiliana na mama watoto kidogo nikamaliza,
kwa kuwa hiyo gesti ina bar na kuna bendi ya muziki ilikuwa ikikonga nyoyo nikaona si mbaya kujisogeza na kupata moja moto moja baridi

kwa kuwa niko peke yangu nikaona nipate mwenzangu wa kupotezea muda kupitisha usiku na pia kingine kilichonipa msukumo nilitaka kuonja totozi wa jiji kubwa,

nikaangaza ndani ya ile baa nikaona msichana matata yupo peke yake akiwa na chupa moja mezani nikamsabahi nikamuuliza kama naweza kujumuika kwenye meza yake akanijibu nipo huru

stori za hapa na pale akanijulisha anasoma chuo kikuu mwaka wa pili si nikaona bahati iliyoje nami nikamueleza kuhusu biashara zangu nikaona kwa kuwa nataka kuondoka asubuhi sikuwa na haja ya kuchelewa pale mpaka usiku mwingi
nimkashika mkono msomi nikaingia nae ndani mwenzenu zile dakika za mwanzo nilijua nafanya nini lakini niliposema nipumzike kidogo nimekuja kushtuka nagongewa chumba na mhudumu anataka kusafisha duuh kuangalia pembeni yule msichana simuoni naangalia vitu vyangu na pesa hakuna nimebaki na yale magunia matupu nikatoka kasi mpaka mapokezi wakaniambia yule msichana aliwaaga anakwenda kuchukua nguo za kubadili kwa kuwa tutakaa pale gesti siku mbili jamani nimechukuliwa kadi zangu za ATM na vitambulisho na vibali vyangu vya kusafirishia mazao

jamani changu doa kaniibia jamani nilienda kuripoti polis wamenipa RB tu nimtafute naombeni msaada wenu

Hata kurudi nyumbani ni msala nimekoma na machangu doa

assanteni
Hiyo ndio dawa ya mwanaume malaya
 
Back
Top Bottom