Nimekoma kuchukua machangudoa

Nimekoma kuchukua machangudoa

Amwambie tu mama kuwa alitekwa na watu wasiojulikana na kupelekwa mahali kusikojulikana hadi wasamaria walipomuokota asubuhi akiwa hajitambui. Ama kweli mjini SHULE!
aaaahahahaaa dah ni mwenzetu hakuna la kufanya zaidi ya ushauri
 
habari zenu wadau

Jamani kisa kilichonikuta ni aibu hata kusimulia ni kuhusu hawa machangudoa

mimi ni mfanyabiashara wa mazao siku hiyo niliongea na wafanyabiashara wenzangu kabla sijaondoka kuelekea sokoni

wakaniambia aina ya mazao nilikuwa nayo ,buguruni ni sehemu muafaka na nitauza mara moja na kweli nilipotua mzigo nikauza baada ya hapo nikakaa nikisubiria pesa za malipo yangu

jioni nikalipwa ikawa siku imeshapita nikapanga kuondoka asubuhi ya pili,

baada ya kukabidhiwa tu fungu nikaenda kuchukua chumba cha kujihifadhi kwa usiku mmoja

nilifika pale gest nikapokewa na mhudumu wa mapokezi akanionyesha chumba nikaingiza mizigo yangu pamoja na magunia matupu,
nikapumzika kidogo nikaamka nikaoga nikaenda kidogo pembeni ya gesti kupata chakula kwa mama lishe

baada ya hapo nikarudi gesti nikawasiliana na mama watoto kidogo nikamaliza,
kwa kuwa hiyo gesti ina bar na kuna bendi ya muziki ilikuwa ikikonga nyoyo nikaona si mbaya kujisogeza na kupata moja moto moja baridi

kwa kuwa niko peke yangu nikaona nipate mwenzangu wa kupotezea muda kupitisha usiku na pia kingine kilichonipa msukumo nilitaka kuonja totozi wa jiji kubwa,

nikaangaza ndani ya ile baa nikaona msichana matata yupo peke yake akiwa na chupa moja mezani nikamsabahi nikamuuliza kama naweza kujumuika kwenye meza yake akanijibu nipo huru

stori za hapa na pale akanijulisha anasoma chuo kikuu mwaka wa pili si nikaona bahati iliyoje nami nikamueleza kuhusu biashara zangu nikaona kwa kuwa nataka kuondoka asubuhi sikuwa na haja ya kuchelewa pale mpaka usiku mwingi
nimkashika mkono msomi nikaingia nae ndani mwenzenu zile dakika za mwanzo nilijua nafanya nini lakini niliposema nipumzike kidogo nimekuja kushtuka nagongewa chumba na mhudumu anataka kusafisha duuh kuangalia pembeni yule msichana simuoni naangalia vitu vyangu na pesa hakuna nimebaki na yale magunia matupu nikatoka kasi mpaka mapokezi wakaniambia yule msichana aliwaaga anakwenda kuchukua nguo za kubadili kwa kuwa tutakaa pale gesti siku mbili jamani nimechukuliwa kadi zangu za ATM na vitambulisho na vibali vyangu vya kusafirishia mazao

jamani changu doa kaniibia jamani nilienda kuripoti polis wamenipa RB tu nimtafute naombeni msaada wenu

Hata kurudi nyumbani ni msala nimekoma na machangu doa

assanteni
Sina uhakika kama kweli umeibiwa, umepata wapi nguvu ya kuandikia huu uzi ?

Checking...100%
Network searching...0%

Network failed!
Near by Ileje Mbeya.
 
habari zenu wadau

Jamani kisa kilichonikuta ni aibu hata kusimulia ni kuhusu hawa machangudoa

mimi ni mfanyabiashara wa mazao siku hiyo niliongea na wafanyabiashara wenzangu kabla sijaondoka kuelekea sokoni

wakaniambia aina ya mazao nilikuwa nayo ,buguruni ni sehemu muafaka na nitauza mara moja na kweli nilipotua mzigo nikauza baada ya hapo nikakaa nikisubiria pesa za malipo yangu

jioni nikalipwa ikawa siku imeshapita nikapanga kuondoka asubuhi ya pili,

baada ya kukabidhiwa tu fungu nikaenda kuchukua chumba cha kujihifadhi kwa usiku mmoja

nilifika pale gest nikapokewa na mhudumu wa mapokezi akanionyesha chumba nikaingiza mizigo yangu pamoja na magunia matupu,
nikapumzika kidogo nikaamka nikaoga nikaenda kidogo pembeni ya gesti kupata chakula kwa mama lishe

baada ya hapo nikarudi gesti nikawasiliana na mama watoto kidogo nikamaliza,
kwa kuwa hiyo gesti ina bar na kuna bendi ya muziki ilikuwa ikikonga nyoyo nikaona si mbaya kujisogeza na kupata moja moto moja baridi

kwa kuwa niko peke yangu nikaona nipate mwenzangu wa kupotezea muda kupitisha usiku na pia kingine kilichonipa msukumo nilitaka kuonja totozi wa jiji kubwa,

nikaangaza ndani ya ile baa nikaona msichana matata yupo peke yake akiwa na chupa moja mezani nikamsabahi nikamuuliza kama naweza kujumuika kwenye meza yake akanijibu nipo huru

stori za hapa na pale akanijulisha anasoma chuo kikuu mwaka wa pili si nikaona bahati iliyoje nami nikamueleza kuhusu biashara zangu nikaona kwa kuwa nataka kuondoka asubuhi sikuwa na haja ya kuchelewa pale mpaka usiku mwingi
nimkashika mkono msomi nikaingia nae ndani mwenzenu zile dakika za mwanzo nilijua nafanya nini lakini niliposema nipumzike kidogo nimekuja kushtuka nagongewa chumba na mhudumu anataka kusafisha duuh kuangalia pembeni yule msichana simuoni naangalia vitu vyangu na pesa hakuna nimebaki na yale magunia matupu nikatoka kasi mpaka mapokezi wakaniambia yule msichana aliwaaga anakwenda kuchukua nguo za kubadili kwa kuwa tutakaa pale gesti siku mbili jamani nimechukuliwa kadi zangu za ATM na vitambulisho na vibali vyangu vya kusafirishia mazao

jamani changu doa kaniibia jamani nilienda kuripoti polis wamenipa RB tu nimtafute naombeni msaada wenu

Hata kurudi nyumbani ni msala nimekoma na machangu doa

assanteni
Simu alikuachia?? Ukalog in kutuambia....duh!
 
Sina uhakika kama kweli umeibiwa, umepata wapi nguvu ya kuandikia huu uzi ?

Checking...100%
Network searching...0%

Network failed!
Near by Ileje Mbeya.
ni katika moja ya kushughulisha akili na labda nitapata mawazo mbadala kwa memba wenzangu
 
Pole mkuu, maana hapo upo kama mwendawazimu kila mtu mbele yako unamuona ana raha na busara kuliko wewe, hasa kwa kuwa hapo si kwako, upo mji wa watu, aseee, pole sana,
Sasa akija si atakuruka shahidi yako atakuwa nani, jiji ni kubwa labda umemfananisha, watakuhukumu shoga zake hapo na kukuaibisha zaidi, bora usepe ukaanze na moja,
 
Bongoooo....Bongo Dar Es Salaaam......Utaliaa.....Liaaa.....Ndani Ya Dar Es Salaammm.....Kaa Chonjoo Eeheee...Ndan Ya Dar Es Salaammm....Bongooo Eheeeee.....Bongo Dar Esalaammm Kaaa X3 Poleee Acha Usalitii!!!
 
Pole mkuu, maana hapo upo kama mwendawazimu kila mtu mbele yako unamuona ana raha na busara kuliko wewe, hasa kwa kuwa hapo si kwako, upo mji wa watu, aseee, pole sana,
Sasa akija si atakuruka shahidi yako atakuwa nani, jiji ni kubwa labda umemfananisha, watakuhukumu shoga zake hapo na kukuaibisha zaidi, bora usepe ukaanze na moja,
daaa ndugu yangu we acha tu yani hapa nilipo nipo kama sio mimi vile. lakini Rb ninayo
 
habari zenu wadau

Jamani kisa kilichonikuta ni aibu hata kusimulia ni kuhusu hawa machangudoa

mimi ni mfanyabiashara wa mazao siku hiyo niliongea na wafanyabiashara wenzangu kabla sijaondoka kuelekea sokoni

wakaniambia aina ya mazao nilikuwa nayo ,buguruni ni sehemu muafaka na nitauza mara moja na kweli nilipotua mzigo nikauza baada ya hapo nikakaa nikisubiria pesa za malipo yangu

jioni nikalipwa ikawa siku imeshapita nikapanga kuondoka asubuhi ya pili,

baada ya kukabidhiwa tu fungu nikaenda kuchukua chumba cha kujihifadhi kwa usiku mmoja

nilifika pale gest nikapokewa na mhudumu wa mapokezi akanionyesha chumba nikaingiza mizigo yangu pamoja na magunia matupu,
nikapumzika kidogo nikaamka nikaoga nikaenda kidogo pembeni ya gesti kupata chakula kwa mama lishe

baada ya hapo nikarudi gesti nikawasiliana na mama watoto kidogo nikamaliza,
kwa kuwa hiyo gesti ina bar na kuna bendi ya muziki ilikuwa ikikonga nyoyo nikaona si mbaya kujisogeza na kupata moja moto moja baridi

kwa kuwa niko peke yangu nikaona nipate mwenzangu wa kupotezea muda kupitisha usiku na pia kingine kilichonipa msukumo nilitaka kuonja totozi wa jiji kubwa,

nikaangaza ndani ya ile baa nikaona msichana matata yupo peke yake akiwa na chupa moja mezani nikamsabahi nikamuuliza kama naweza kujumuika kwenye meza yake akanijibu nipo huru

stori za hapa na pale akanijulisha anasoma chuo kikuu mwaka wa pili si nikaona bahati iliyoje nami nikamueleza kuhusu biashara zangu nikaona kwa kuwa nataka kuondoka asubuhi sikuwa na haja ya kuchelewa pale mpaka usiku mwingi
nimkashika mkono msomi nikaingia nae ndani mwenzenu zile dakika za mwanzo nilijua nafanya nini lakini niliposema nipumzike kidogo nimekuja kushtuka nagongewa chumba na mhudumu anataka kusafisha duuh kuangalia pembeni yule msichana simuoni naangalia vitu vyangu na pesa hakuna nimebaki na yale magunia matupu nikatoka kasi mpaka mapokezi wakaniambia yule msichana aliwaaga anakwenda kuchukua nguo za kubadili kwa kuwa tutakaa pale gesti siku mbili jamani nimechukuliwa kadi zangu za ATM na vitambulisho na vibali vyangu vya kusafirishia mazao

jamani changu doa kaniibia jamani nilienda kuripoti polis wamenipa RB tu nimtafute naombeni msaada wenu

Hata kurudi nyumbani ni msala nimekoma na machangu doa

assanteni
Kama hilo hapo ndilo jina lako, basi hujakosea! Rudi nyumbani kajipange upya. Pole.
 
Back
Top Bottom