madala mujipa
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 1,421
- 864
aaaahahahaaa dah ni mwenzetu hakuna la kufanya zaidi ya ushauriAmwambie tu mama kuwa alitekwa na watu wasiojulikana na kupelekwa mahali kusikojulikana hadi wasamaria walipomuokota asubuhi akiwa hajitambui. Ama kweli mjini SHULE!