Nimekimbia FB nimekuja JF.

Nimekimbia FB nimekuja JF.

sasa Kirikou Wa Kwanza sema unamtaka nani Madame B ama mimi??
manake nakuona huelewi unamtaka nani

Acha wivu Dada gfsonwin........
Tutashare......
two-women-one-man-2-630x350.jpg
 
Nitakukubalije wakati siujui mfuko wako vizuri ewe mtz one?

Ok sina kipato kikubwa switii mshahara wang n kiasi tu ilmu yangu nina BA(ed) MA (linguistics) kaz mhadhiri msaidiz mshahara n siri ila kipato c kikubwa c unajua walimu tena?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom