The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,333
- 4,153
- Thread starter
- #21
Sawaa mrejesho utakuja soon stay tuned bro....Usisahau kuleta mrejesho mwanachuo.
Sawaa mrejesho utakuja soon stay tuned bro....Usisahau kuleta mrejesho mwanachuo.
We mpe tu utabarikiwa....saiv hatutumii mapaziaa ndugu, afu kati ya vyote ulivosema sina hata kimojaa vyote nagongeaa tu kwa wadau.
Anyway naiikuna napofikia , wa chuo ninayee ila ukorean mwingi usitoke tu kwenda mjini anataka zawadi , lqkini yeye hataa hatoii
Baraka za wazee wangu zinanitosha sana , hizo zingine wawatunzie watoto wao tuWe mpe tu utabarikiwa....
Ni fresher dadaaUpo chuo mwaka wa ngapi?
Sasa tumpende nan jaman mmeanza kutukataa kisa hatuna fedha tenaa.....Wanachuo mlikuwa zamani sio sasa hivi wengi hamna hela hamna ajira nani awapende
Ndio ndugu wazazi wake ni strict sana na yeye mwenyewe inshort ananielewaa , alikaata shule ili afanye biashara ndo anavonambia sasa sijui kama aliniingiza mjini au wazazi wake huko alikotoka waligoma kumsomeshaGeti kali std 7
Mmhhh????Ndio ndugu wazazi wake ni strict sana na yeye mwenyewe inshort ananielewaa , alikaata shule ili afanye biashara ndo anavonambia sasa sijui kama aliniingiza mjini au wazazi wake huko alikotoka waligoma kumsomesha
nyie mnaokula wake za wajeda mtaja liwa kimasihara mjue (kidding) . Yawezekana ni fix tu lakini nimekuelewa shule kwanza kakaSaiv kumtongoza manz akagundua ni mwanachuo sio dili bali anajua hapa pesa hakuna pili demu kukuambia kuwa sildi kwa mdomo hapo umeingizwa cha kike tatu kuwa et ni dem wa dukan sijui blah blah amna kitu sembuse tunakula masister au mke wa mjeda huyo wa dukan wahuni watashindwa vipi tulia mzee piga kitabu achana na hiyo nyupj ya dukan
Anaweza sasa...ushaskia huyo dada ni geti kali halafu kaishia stnd 7....kuna geti kali alieishia stnd 7....huyo ni hausigel muuza duka...sasa kama levo zake ni za mahausigel unahis anauwezo wa kuchkua demu wa chuo...kwanza aseme ni chuo gan?..usikute veta..Si utongoze wanachuo wenzako msaidiane kula mikate mkiishiwa, unakompliketisha maisha....
Dogo kaja leo jf nin...yaan anadanganya wakongwe....et geti kali standrd 7....yaan badala aseme hausigeli yeye kaja na gia ya geti kali...aseme tu.hausigel muuza duka...hakuna get kali aliyeishia stnd 7....halaf kama kaamin aliyoambiwa na huyo haisigel bas mtoa mada anauwezo mdogo sana wa kufkiri..sidhan kama hata anasoma chuo..labda vetaMmhhh????
Hahaha umeua.Dogo kaja leo jf nin...yaan anadanganya wakongwe....et geti kali standrd 7....yaan badala aseme hausigeli yeye kaja na gia ya geti kali...aseme tu.hausigel muuza duka...hakuna get kali aliyeishia stnd 7....halaf kama kaamin aliyoambiwa na huyo haisigel bas mtoa mada anauwezo mdogo sana wa kufkiri..sidhan kama hata anasoma chuo..labda veta
Moja ya komenti bora kuwahi kutokea jf.Si utongoze wanachuo wenzako msaidiane kula mikate mkiishiwa, unakompliketisha maisha....
Acha chuoHapana sio kuwa najisifu la hasha, ni kitu ambacho hakijifichi kuwa ni mwanachuo coz ashawai niuliza
Mrejesho wa nasingiziwa mimba.Usisahau kuleta mrejesho mwanachuo.
Wasamehe mkuu duu..Namuunga mkono, wanachuo wengi ni waongo, matapeli, masikini , waigizaji na wasio na future, wapo wapo tuu, waachojua ni kuweka MBs kwa simu zao na kuposti ujinga ujinga, wakimaliza wanatupiga mizinga mikubwa hadi wazazi wetu wanatuachia laana, wanatulazimisha tuwapeleke mbuga za wanyama na nchi za kiarabu mpaka tunashindwa kumalizia majengo yetu, manina zao