Nimekataliwa kisa ni mwanachuo

Yan dogo unaongelea ku graduate form 4 na. Standard seveni utafkiri unaongelea vitu vya maana...hili neno ku graduate naona linatumika vibaya sasa..ndio maana ni ile ile ila sio kihivyo sasa mdau

Halafu kutongoza mahausigeli na akakukataa..kama mwanachuo umeiabisha tasnia..

Wew endelea kupiga puchu tu
Awee!!, Mkuu chaputa hatuna mwanachama wa hivi huyu abaki tu kwenye udomo zege chama chetu hatumtaki.
 
Namuunga mkono, wanachuo wengi ni waongo, matapeli, masikini , waigizaji na wasio na future, wapo wapo tuu, waachojua ni kuweka MBs kwa simu zao na kuposti ujinga ujinga, wakimaliza wanatupiga mizinga mikubwa hadi wazazi wetu wanatuachia laana, wanatulazimisha tuwapeleke mbuga za wanyama na nchi za kiarabu mpaka tunashindwa kumalizia majengo yetu, manina zao
mkuuuu taratibu basii, wanachuo uongo ni sehemu ya CAT
 
Yan dogo unaongelea ku graduate form 4 na. Standard seveni utafkiri unaongelea vitu vya maana...hili neno ku graduate naona linatumika vibaya sasa..ndio maana ni ile ile ila sio kihivyo sasa mdau

Halafu kutongoza mahausigeli na akakukataa..kama mwanachuo umeiabisha tasnia..

Wew endelea kupiga puchu tu
Puchu kaka zina madhara sasa
 
Anaweza sasa...ushaskia huyo dada ni geti kali halafu kaishia stnd 7....kuna geti kali alieishia stnd 7....huyo ni hausigel muuza duka...sasa kama levo zake ni za mahausigel unahis anauwezo wa kuchkua demu wa chuo...kwanza aseme ni chuo gan?..usikute veta..

Duh.nmemchambua kijana had nmemwonea huruma.anisamehe tu
Ahahaha ila we jamaaa, sema nini alijirudi mwenyewe mbonaa sahivi nampelekea gwaridee zamu yake
 
Dogo kaja leo jf nin...yaan anadanganya wakongwe....et geti kali standrd 7....yaan badala aseme hausigeli yeye kaja na gia ya geti kali...aseme tu.hausigel muuza duka...hakuna get kali aliyeishia stnd 7....halaf kama kaamin aliyoambiwa na huyo haisigel bas mtoa mada anauwezo mdogo sana wa kufkiri..sidhan kama hata anasoma chuo..labda veta
bro as if tushawahi gombabia colony moja
 
Yuko sawa kabisa. Ni heri ukaolewa na mwanamme ambae hajasoma lakini anayajuwa maisha, na kikubwa zaidi ya yote ni "awe mchamungu, mwenyi hofu na Mungu na alieturia"
 
Yuko sawa kabisa. Ni heri ukaolewa na mwanamme ambae hajasoma lakini anayajuwa maisha, na kikubwa zaidi ya yote ni "awe mchamungu, mwenyi hofu na Mungu na alieturia"
Mhhhh sasa kutuliaa siinategemea na uliyempata yukojee
 
Habarini za jioni wana jamvi.

Kuna binti tumefahamiana miaka miwili iliopita, ni dada ambae tunakaa sehemu moja.
Aliniomba urafiki kwa kuwa alikuwa ananijuaa lakini mie sikuwa namjuaa kwakuwa kwao ni geti kali kidogo na ni mtu wa kushinda dukani.

Maisha yakaendelea baada ya kumkubalia ombi lake, tukafahamiana vizuri , stories za maisha na kujuliana hali zikaendeleaa.

Kwa kipindi hicho chote sikuwahi kumtamkiaa kuwa nampenda na ofcoz sikuwa namhitaji japo ye anasema ni sealed , hii alinambia katika piga piga story kama unavojua jinsia mbili mkikutana mkashibana basi story kama hizi hazikosi.

Inshort dogo anavosema hana mtu anae date nae na kweli ukiangalia routines zake, ni mtu wa dukani, kanisani na home tu.

Siku za hivi karibuni nimekuwa nikimgusia kuhusu suala la mahusiano lakini ameonekana anapinga na sababu kuu anayoniambiaa nikuwa siwezi oana na msomi mie , nyie wasomi mnadharau na mbaya zaidi kanambiaa sikupendi though tulikuwa tunaongeaa katika joking. LAKINI point yake kubwa hawezi oana na mwanachuo kwasababu.
1.ni waongo sana.
2.wanajidai sana, kwaio bora atafutee ambae hajasoma mwenzake
Elimu yake ni std 7 but anaakili sana za maisha na business.

Nyingine pia, jana hiyo , kuna dada namfahamu anafanya kazi sehemu fulani ni form 4 graduate wa 2018 ,nikamgusia habari za mchumba wake akasema ye hana , nkamuuliza vipi nikutafutiee huku chuoni akanambiaa HAPANA wanachuo ni waongo na hatuna time na watu tuliowaacha mtaaani.

Vilpi ndugu yangu, ushawai kataliwa au kataa mtu kwakuwa ye ni msomi au mwanachuo ??? Kama ndio ulipewa au ulitoa kisingizio gani.
Hajapenda kukueleza ukweli tu.Yafuatayo ni mambo yawezayo kuwa sababu;
-anaogopa kuwa na mahusiano ya mapenzi na mwanafunzi atafungwa,
-anakupigia hesabu anaona hauna pesa,
-anaye wa kwake tayari.
ANGALIZO.
Yote niliyoandika ni utani tu.Kaza uzi akuone upo siriazi unachukua kimwana.Umuoe na si wa ku-buy buy time tu.
 
Hajapenda kukueleza ukweli tu.Yafuatayo ni mambo yawezayo kuwa sababu;
-anaogopa kuwa na mahusiano ya mapenzi na mwanafunzi atafungwa,
-anakupigia hesabu anaona hauna pesa,
-anaye wa kwake tayari.
ANGALIZO.
Yote niliyoandika ni utani tu.Kaza uzi akuone upo siriazi unachukua kimwana.Umuoe na si wa ku-buy buy time tu.
Asante sana kaka, umesema vyema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom