Nimekata tamaa ya kupata Mtoto

lusanasaimon

Senior Member
Jan 19, 2023
111
264
Habari za wakati huu,

Wakuu naomba angalau msaada wa mawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya.

Mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini sijafanikiwa kupata mtoto na ni mwaka wa 3 toka nimekutana na mke wangu ingawa yeye ana mtoto aliyempata akiwa secondary. Tumesha kwenda hospital kupima tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumeshatumia dawa mbalimbali lakini tumeshindwa kufanikisha lengo.

Lakini bila kusahau nimesha muuliza wife kama alishawahi kutumia uzazi wa mpango hapo kabla, akasema nikweli aliwahi kutumia p2 na hata sindano lakini ni muda umepita coz kunakipindi aliwahi kutokwa na kijinyama fulani, na alikua anasumbuliwa na tumbo na mzunguko wa hedhi usioeleweka japokua tumeshatafuta mitishamba sasa yuko good kuhusu maumivu na hedhi kukaa vizuri.

Kwakweli imefikia kipindi nawaza sana maana umri unayoyoma tuu, naomba kama kuna watu wameshapitia changamoto kama hizi wanisaidie japo mawazo.
 
habari za wakati huu,
wakuu naomba angalau msaada wamawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya

mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini sijafanikiwa kupata mtoto na ni mwaka wa 3 toka nimekutana na mke wangu ingawa yeye anamtoto alie mpata akiwa secondary. tumesha kwenda hospital kupima tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumesha tumia dawa mbali mbali lakini tumeshindwa kufanikisha lengo

lakini bila kusahau nimesha muuliza wife kama alisha wahi kutumia uzazi wa mpango hapo kabla, akasema nikweli aliwahi kutumia p2 na hata sindano lakini ni muda umepita coz kunakipindi aliwahi kutokwa na kijinyama fulani. na alikua ana sumbuliwaga na tumbo na mzunguko wa hedhi usioeleweka japokua tumesha tafuta miti shamba sasa yuko good kuhusu maumivu na hedhi kukaa vizuri.

kwakweli imefikia kipindi nawaza sana maana umri unayoyoma tuu. naomba kama kuna watu wamesha pitia changamoto kama hizi wanisaidie japo mawazo
Fanya jaribio kwa mpango wa kando halafu utanishukuru baadayel
 
habari za wakati huu,
wakuu naomba angalau msaada wamawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya

mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini sijafanikiwa kupata mtoto na ni mwaka wa 3 toka nimekutana na mke wangu ingawa yeye anamtoto alie mpata akiwa secondary. tumesha kwenda hospital kupima tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumesha tumia dawa mbali mbali lakini tumeshindwa kufanikisha lengo

lakini bila kusahau nimesha muuliza wife kama alisha wahi kutumia uzazi wa mpango hapo kabla, akasema nikweli aliwahi kutumia p2 na hata sindano lakini ni muda umepita coz kunakipindi aliwahi kutokwa na kijinyama fulani. na alikua ana sumbuliwaga na tumbo na mzunguko wa hedhi usioeleweka japokua tumesha tafuta miti shamba sasa yuko good kuhusu maumivu na hedhi kukaa vizuri.

kwakweli imefikia kipindi nawaza sana maana umri unayoyoma tuu. naomba kama kuna watu wamesha pitia changamoto kama hizi wanisaidie japo mawazo
Dogo acha wenge. Nimeamua kutumia lugha ya mtaani kwa sababu nashangaa sana. Wewe bado ni mdogo halafu una miaka mitatu tu kwenye ndoa. Huu ni muda mfupi wa kukata tamaa. Kama umepima na kila kitu kiko sawa basi nina uhakika utapata. Hata mimi mtoto wa kwanza nilikuwa na kiherehere, mwaka mmoja tu nikaona kama nachelewa ikabidi niende hospital. Nilipewa vidonge na mke akashika mimbana kuzaa salama. Baada ya mimba ya kwanza ikawa kama ndiyo tumefungilia rasmi. Kila nikumgusa kidogo, mimba yaani ilifikia kipindi nilikuwa masomoni na nikija likizo siku ya kwanza mimba inaingia. Nachotaka kukushauri ni kuwa usijione kama unachelewa na utakuja kupata. Jaribu kwenda sehemu kama Muhimbili mwone bingwa atakusaidia zaidi. Na wewe ujifunze kufanya timing kulingana na mizunguko yake siyo unakimbilia kujaribu kila siku.
 
Dogo acha wenge. Nimeamua kutumia lugha ya mtaani kwa sababu nashangaa sana. Wewe bado ni mdogo halafu una miaka mitatu tu kwenye ndoa. Huu ni muda mfupi wa kukata tamaa. Kama umepima na kila kitu kiko sawa basi nina uhakika utapata. Hata mimi mtoto wa kwanza nilikuwa na kiherehere, mwaka mmoja tu nikaona kama nachelewa ikabidi niende hospital. Nilipewa vidonge na mke akashika mimbana kuzaa salama. Baada ya mimba ya kwanza ikawa kama ndiyo tumefungilia rasmi. Kila nikumgusa kidogo, mimba yaani ilifikia kipindi nilikuwa masomoni na nikija likizo siku ya kwanza mimba inaingia. Nachotaka kukushauri ni kuwa usijione kama unachelewa na utakuja kupata. Jaribu kwenda sehemu kama Muhimbili mwone bingwa atakusaidia zaidi. Na wewe ujifunze kufanya timing kulingana na mizunguko yake siyo unakimbilia kujaribu kila siku.
asante sana kaka
 
habari za wakati huu,
wakuu naomba angalau msaada wamawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya

mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini sijafanikiwa kupata mtoto na ni mwaka wa 3 toka nimekutana na mke wangu ingawa yeye anamtoto alie mpata akiwa secondary. tumesha kwenda hospital kupima tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumesha tumia dawa mbali mbali lakini tumeshindwa kufanikisha lengo

lakini bila kusahau nimesha muuliza wife kama alisha wahi kutumia uzazi wa mpango hapo kabla, akasema nikweli aliwahi kutumia p2 na hata sindano lakini ni muda umepita coz kunakipindi aliwahi kutokwa na kijinyama fulani. na alikua ana sumbuliwaga na tumbo na mzunguko wa hedhi usioeleweka japokua tumesha tafuta miti shamba sasa yuko good kuhusu maumivu na hedhi kukaa vizuri.

kwakweli imefikia kipindi nawaza sana maana umri unayoyoma tuu. naomba kama kuna watu wamesha pitia changamoto kama hizi wanisaidie japo mawazo
Pole sana.

Kwanza, ondoa hofu. Ni jambo la kawaida. Hupaswi kulikatia tamaa. Bado una nafasi kubwa ya kupata watoto.

Pili,Kwa kuwa umesema mmeshaenda hospitali, naomba kufahamu ni vipimo gani mlichukua huko hospital?

Karibu.
 
Back
Top Bottom