Mjukuu wa mama
Member
- Sep 18, 2023
- 35
- 45
- Thread starter
- #41
bro me siombi pesa sory kama utanielewa vibaya niliyoyapitia nahs enough ,, kuna watu walikua wananitegemea but sina namnaUnazingua bro, kujiua sio suluhisho la deni.
Unadaiwa bei gan?? Kuna namna tunaweza shauri ana saidia