Nimekata tamaa kwa madeni

Nimekata tamaa kwa madeni

mtu binafs,,, sina mtoto wala familia


Mimi naona hauna tatizo na kama ungetaka kujiua sifikirii kama ungeshindwa


Kwahiyo kama ni MTU binafsi anakudai mil 3 hiyo ni hela ndogo sana .

Kama una CV share hapa watu wakupe kazi au fursa ambayo itakusaidia kulipa madeni .


Kwahiyo ukisema watu wakupe dawa au sumu inayoua ua haraka sifikirii kama ungeamua kutafuta huko ulipo ungekosa


Kama umekuja hapa jukwaani maana yake unabidi ulenge kupata relief na njia za kutoka ktk hiyo depression yako.
 
Mimi naona hauna tatizo na kama ungetaka kujiua sifikirii kama ungeshindwa


Kwahiyo kama ni MTU binafsi anakudai mil 3 hiyo ni hela ndogo sana .

Kama una CV share hapa watu wakupe kazi au fursa ambayo itakusaidia kulipa madeni .


Kwahiyo ukisema watu wakupe dawa au sumu inayoua ua haraka sifikirii kama ungeamua kutafuta huko ulipo ungekosa


Kama umekuja hapa jukwaani maana yake unabidi ulenge kupata relief na njia za kutoka ktk hiyo depression yako.
 
Mimi naona hauna tatizo na kama ungetaka kujiua sifikirii kama ungeshindwa


Kwahiyo kama ni MTU binafsi anakudai mil 3 hiyo ni hela ndogo sana .

Kama una CV share hapa watu wakupe kazi au fursa ambayo itakusaidia kulipa madeni .


Kwahiyo ukisema watu wakupe dawa au sumu inayoua ua haraka sifikirii kama ungeamua kutafuta huko ulipo ungekosa


Kama umekuja hapa jukwaani maana yake unabidi ulenge kupata relief na njia za kutoka ktk hiyo depression yako.

Kuna kamtindo naona.
JF sikuhizi imekuwa sio ya kutumia ili kupata msaada wa ushauri /mawazo au relief.

Bali kutania tania na kuzingua watu.
Huyu jamaa Hadaiwi na wala hatak kujiua. Anatuchora tu hapa.

Makebo yake.
 
Kuna kamtindo naona.
JF sikuhizi imekuwa sio ya kutumia ili kupata msaada wa ushauri /mawazo au relief.

Bali kutania tania na kuzingua watu.
Huyu jamaa Hadaiwi na wala hatak kujiua. Anatuchora tu hapa.

Makebo yake.
sawa,,, ila nimetafuta nyuzi zote sijapata kuna niliowafata inbox ,,,
 
Dawa ni kuyapiga chini madeni yote, kuanzia sasa usilipe hata 100 jipambanie mwenyewe, tena toroka mahali ulipo nenda mbali!
 
Unazingua bro, kujiua sio suluhisho la deni.
Unadaiwa bei gan?? Kuna namna tunaweza shauri ana saidia
 
Back
Top Bottom