sungusungu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 3,055
- 715
Kuna wakati nilikuta mapango ya Amboni Tanga mtu ametelekeza jogoo pangoni huku akiwa amemtoa manyoa baadhi ya maeneo,nilimwuliza mwenyeji wangu kama naweza kumchukua,niliondoka naye.Watu tunatafuna nazi wanazovunja njia panda nazinavyojaza