Imeisha hiyo baba...jiandae na majanga kwako, nduguzo au familia yako!!Wakati natembea nikiwa sina hili wala lile nimejikuta nakanyaga haya mazaga katikati ya njia panda.
Kwa kweli nimeghafilika sana! Na hii si mara ya kwanza.
Naona mwamba aliambiwa aweke na chumvi ya mawe😅😅 kisha akaja kupasulia shida zake hapa.
Ahahahahahahahahaha....ni noma sananashangaa wabongo wa JF wanasema hakuna uchawi.
mi nimekutana live na vibwengo
Maziwa fresh yametoka kukamuliwa yaligandishwa ndani ya dakika 10 yakiwa kwenye gallon
Tanga enzi hizo ilikuwa ni mwiko kula huku unatembea barabarani, mtaani. Otherwise uwe na screen protector mwilini
Hii ndo Jf unaweza pata hofu mara100Duh, pole kwa kuchukua laana ya mtu mwingine. Tunaomba mrejesho ukishaamka salama kesho asubuhi.
Hii ni dalili ya kifo.....pole sanaNimeamka kwa ndoto kali sana mkuu. Naendesha gari kali sana iko full tenki.
natoka kijijini kwetu narudi mjini.
Hii ndoto imenipa mawazo sana maana sina gari wala pikipiki.
alafu hii tabia ya kuendesha speed 120 sinaga😅😅😅
Yakikufika mbona utaenda,kuna jamaa yangu aliambiwa akaoge feri enzi zile hakuna uzio tena mchana kweupe na alioga😀😀.Hivyo vyungu sherit la kwanza ni kupeleka ukiwa uchi usiku wa manane!
But jisikie amani hakukulenga wewe
Unapotembea jifunze kuscan njia unayopita.Wakati natembea nikiwa sina hili wala lile nimejikuta nakanyaga haya mazaga katikati ya njia panda.
Kwa kweli nimeghafilika sana! Na hii si mara ya kwanza.
Naona mwamba aliambiwa aweke na chumvi ya mawe kisha akaja kupasulia shida zake hapa.
Haya majitu kama yamelengwa kwa watu wote itakuwaje?Uwe na amani hakuna kibaya kitakupata as long as hujalengwa wewe.
Makafiri bana!!Jitakase kwa Damu ya Yesu Kristo. Hayo yote hayana nguvu mbele ya Yesu Kristo tena unasagasaga kabisha uchafu huo na kuutupa mbali hakuna kitu hapo kama upo na Yesu.
Usiwe na wasiwasi.Ni kachungu kadogo tu.Je,ungekanyaga mtungi?Si ungefariki kwa sonona?Wakati natembea nikiwa sina hili wala lile nimejikuta nakanyaga haya mazaga katikati ya njia panda.
Kwa kweli nimeghafilika sana! Na hii si mara ya kwanza.
Naona mwamba aliambiwa aweke na chumvi ya mawe😅😅 kisha akaja kupasulia shida zake hapa.
Ulitaka kusemaje kwani wewe mvaa kobazi.Makafiri bana!!