Satirical Yet Awesome
JF-Expert Member
- Oct 11, 2023
- 727
- 1,846
Ila wewe😂Likewise bro.....ukuni mtamu aisee....unaweza kuta kuchungulia simu ya mwenzio ndiyo kukupelekea kuipoteza na sweet yenyewe😉
Ila wewe😂Likewise bro.....ukuni mtamu aisee....unaweza kuta kuchungulia simu ya mwenzio ndiyo kukupelekea kuipoteza na sweet yenyewe😉
Kabisa, wakati mwingine ni vyema kumuamini mtu moja kwa moja as long anakuheshimu na kutimiza wajibu wake, hayo mengine ni ya kwake mradi tu siyajui na wala sitaki kuyajuaHii nzuri, kuna kauli ya kaka Mshana Jr aliwahi isema nanukuu, "usiyatafute matatizo acha yaje yenyewe". Nilimuelewa sana.
Kuanza kupekuana ni kuyatafuta matatizo kwa lazima.
Hakika umesema vyema kabisa mkuu. Ni rahisi kujenga uaminifu kwa mtu ambae haukuwahi kumuamini kabisa lakini sio kwa mtu ambae ulimuamini na kuuvunja uaminifu.Kabisa, wakati mwingine ni vyema kumuamini mtu moja kwa moja as long anakuheshimu na kutimiza wajibu wake, hayo mengine ni ya kwake mradi tu siyajui na wala sitaki kuyajua
kabisaHakika umesema vyema kabisa mkuu. Ni rahisi kujenga uaminifu kwa mtu ambae haukuwahi kumuamini kabisa lakini sio kwa mtu ambae ulimuamini na kuuvunja uaminifu.
Najaribu kumweka mbali na mazingira yangu ya kazi na hata binafsi sipendi kua karibu na mambo yake ya kaziniMambo ya kazini akiona kuna tatizo gani?
Na muamala ina tatizo gani?
Trust is earned oooh.Hakika umesema vyema kabisa mkuu. Ni rahisi kujenga uaminifu kwa mtu ambae haukuwahi kumuamini kabisa lakini sio kwa mtu ambae ulimuamini na kuuvunja uaminifu.
Mtu unayedate naye sawa basi; na kwa mkeo mwendo ni huohuo au?Najaribu kumweka mbali na mazingira yangu ya kazi na hata binafsi sipendi kua karibu na mambo yake ya kazini
Mi ni mtu ambae sipendi mtu naedate nae ajue financial status yangu, iwe nina hela sina hela sipendi mtu yeyote ajue
Mwanamke akiamua kusambaza k huwez mzuiaJe wapenzi wanapaswa kuwa na uhuru, kila Moja na simu ya mwenzake?
Jibu "Ndiyo " au "Hapana"
Kwanini?
Faida zake ni zipi?
Hasara zake ni zipi? View attachment 2784316
Sasa ukiona sms ya mams mwingine ana sifia ubo0 wangu roho si itakuuma?;!Hapana,maana kilichonileta kwake ni uboo simu ya nini? Akiificha ile msosi akwende tu
hazitishi,😂
Hivi kwani simu zinatisha kiasi hicho?
Ukiona hivyo ndio kabisaa usihangaike na hiyo simu maana utatangulia ahera kabla ya siku zakoTrust is earned oooh.
Mfano tu unakuwa na mtu ambaye muda wote akiwa na wewe simu inawekwa "flight mode". Kuna watu wanaficha simu hadi muda wa kuoga anaingia nayo bafuni; bado hutoiba simu yake ujue yaliyomo? Halafu mtu akiwa huru na simu yake kwako; unajikuta unaiona tu ya kawaida, wala hutohangaika nayo unnecessarily. Mtu anakwambia kabisa, naweka hii password kwa sababu sitaki mke wangu aguse simu yangu; does it make sense?
mkishafika huko ndoa inakua utumwa mnasubiri tu kifo kiwatenganisheUkiona hivyo ndio kabisaa usihangaike na hiyo simu maana utatangulia ahera kabla ya siku zako
Mkifikia hapo; jua hakuna ndoa; mnasogeza tu siku.Ukiona hivyo ndio kabisaa usihangaike na hiyo simu maana utatangulia ahera kabla ya siku zako
Mambo ya kuoa bado sana hata sijafikiria Kwa kwelMtu unayedate naye sawa basi; na kwa mkeo mwendo ni huohuo au?
Mambo ya kuoa bado sana hata sijafikiria Kwa kweli
🙌🙌🙌🙌🙌🙌Ooh sawa mdogo angu
If you keep money, secret details and other useful information for the family then yes, but if not don't share, women are too selfish to trust them, but when it comes to children and their future you have to find an acceptable balance.Je wapenzi wanapaswa kuwa na uhuru, kila Moja na simu ya mwenzake?
Jibu "Ndiyo " au "Hapana"
Kwanini?
Faida zake ni zipi?
Hasara zake ni zipi? View attachment 2784316
Nilikutana na psychological bomb 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ndiyo maana sideal na simu ya MTUSasa ukiona sms ya mams mwingine ana sifia ubo0 wangu roho si itakuuma?;!