Yoyote atalipa Mkuu....!! Yatauzwa Mashamba watauzwa mifugo watalipa Mkuu.....!Labda alinunua simu ya wizi lakini mwizi husika aliyeiba hawezi kukupa hiyo gharama na faida juu,
Unaanza kutengeneza mpango wa Hela Toka Maelezo Yako ya kwanza Police ... Gharama zitarudi.Hapo ukishampata mwizi wako na wewe unamtoa hela tu afidie gharama zako
Ahaa..maybeNenda Msimbazi na Oysterbay kuna kesi nyingi sana mamia za wizi wa simu, kila siku kesi mpya. Tazama kesi nyingi ni za simu gani, na hapo Apple ni kampuni mojawapo kati ya makampuni kadhaa common hapa bongo kwenye smartphones.
Simu zinazoibwa zaidi ni iPhone na mwizi hawazi habari ya wewe kukamatwa. Anachofanya anakuibia simu anaipeleka kwa IT inakuwa bypassed then anaiuza sokoni kwa wale wakurupukaji wa bei ya chini. Kama mwizi hana hiyo hela ya kubypass anamuuzia huyo mtaalamu, wapo wachache sana Kariakoo wengine waliuwawa, wengine walitoroka mji na wengine walipotezwa haijulikani wako wapi.
Samsung nyingi midrange na low end hazina ugumu, mamia ya Samsung A series za mkopo zimebadilishwa IMEI na hazisomeki kwenye systems za wakopeshaji mpaka mtu aki-reset ndio anakuta kumbe ilifungiwa muda mrefu.
Leo hii hamna mtu anaiba iPhone anaenda kutoa spare parts, hiyo ni zamani au mtu kaiokota ila mwizi anayejipanga anajua cha kufanya.
Check your PmKituo nilichoenda kwa kweli ni kidogo
Wakaniunganisha na mtu ambae nimeona kama nitapoteza pesa
Leo ndo nataka nikachek changombe hapo
Hii ni 100%โ ๏ธPolisi watakula pesa yako wataitrack simu watamkamata huyo mwizi au aliyeuziwa watakula hela yake watamwachia simu wataichukua polisi na hawatakupa wanaiuza wanapata pesa.
Hao ndio Polisi wa Tanzania
HaaahaaaNjoo madhabahuni tuwafunge taji la miiba.
Very big adviceniliwahi kushauri
kwa nini TCRA wasiwe wanazifungia simu zinazoibiwa
mmiliki awapatie imei namba na taarifa ya upotevu tokea polisi
Yani kuna watu wana maisha magumu ukoo mzimaYoyote atalipa Mkuu....!! Yatauzwa Mashamba watauzwa mifugo watalipa Mkuu.....!
Unaanza kutengeneza mpango wa Hela Toka Maelezo Yako ya kwanza Police ... Gharama zitarudi.
Very big advice
๐๐๐atakuwa kakusoma, kuna mazingira aliyeipata simu alitaka kuendelea kupewa pesa kila akienda bar ni kupigiwa simu nitume hela, hata usiku wa manane atapiga kwa fujo, mara kutongozana tena,, ikawa kero kiukweli nilimblock na kufuta namba zake,Please naomba uongeee nae mwambie mimi ndugu yako๐ฅน๐ฅน๐ฅน
Nasikia ina labia refu hatari๐น๐น๐น Tena mbunye ya kimasai awwwehh..!!
๐ PyumbafyuuuUtapoteza simu pamoja na hela zaidi ya thamani ya simu iliyoibiwa.
Simu ikiibiwa unatakiwa usali novena na kumuachia Mungu.
Mimi niliibiwa visigino vyangu lakini sikulalamika popote, nadunda tu.
Cc: secretarybird
๐น๐น๐น falah weeehh..!!Nasikia ina labia refu hatari